Kwa nini logic kilugha au logic kifani tu?Logic kilugha au logic kifani ? Unatakiwa uulize swali kama mtu anajua anacho kiandika.
Nilikuonyesha ya kuwa ukijadili logic kilugha haikai katika hoja zenu na nyinyi mnajadiki logic siku zote kama fani na si kilugha.
Ngoja nikupe faida hapa, maana ya kilugha huwa ni pana sana zaidi kuliko maana ya kifani. Logic kwa maana ya kilugha ni chenye kutamkwa. Sasa utaniambia wewe, chenye kutamkwa ndiyo huwa mnakikusudia au hili pia hamlijui ?
Sasa kati ya taaluma na jambo lililo kiini cha taaluma, nini kinaanza?
Unaelewa kwamba kuweka taaluma ya logic haina maana kuwa umeanzisha logic?
Unaelewa kwamba Aristotle hakuanzisha logic?
Unaelewa kuna wanafalsafa wengi waliishi kabla ya Aristotle na walitumia logic?
Shida yenu mlisoma hizi fani bila kufundishwa ile misingi kumi ya kila fani.Kwa nini logic kilugha au logic kifani tu?
Kwa nini unajichagulia swali?
How about logic the concept?
Logic.Limeanza jambo kabla ya taaluma.
Logic kilugha au logic kiistilahi ? Logic hhaikuwahi kusimama nje ya fani. Sasa hili swali lako si sahihi. Ndiyo maana huwezi kuiongelea leo logic nje ya fani. Na ukisoma falsafa na logic wa Watu wa Magharibi ya kale utaona kabisa ni mtindo mpya uliowekwa wa kufikiri.
Aristoto ni muanzilishi wa logic. Kwanini hutaki kutuambia maana ya logic mzee ? Unakimbia kimbia swali rahisi kama hili.
Nawajua wanafalsafa wengi kabla ya Aristoto kama vile Homeri mshairi kadhalika Thales na wengine. Nitajie ambao walikuwa wanatumia logic kabla ya Aristoto.
Safi kabisa ndiyo maana nikataka uweke maana ya logic. Maana yako umeielezea kifani na si kilugha. Sasa hapo tunakuja kukutaka ututajie hizo kanuni. Hizo kanuni sasa ndizo zinazo tofautisha logic na Falsafa, logic na Fizikia, kadhalika logic na Metafizikia.Logic.
reasoning conducted or assessed according to strict principles of validity.
Sasa Aristotle ndiye aliyeanzisha ku asses reasoning according to strict principles of validity?
Hawa pre-Socratic philosophers waliishi kabla ya Aristotle, na walitumia logic.
Umesoma link na kujua kwamba Aristotle hajaanzisha logic?Safi kabisa ndiyo maana nikataka uweke maana ya logic. Maana yako umeielezea kifani na si kilugha. Sasa hapo tunakuja kukutaka ututajie hizo kanuni. Hizo kanuni sasa ndizo zinazo tofautisha logic na Falsafa, logic na Fizikia, kadhalika logic na Metafizikia.
Safi kabisa, tuwekee hizo kanuni walizo zitumia kuainisha hoja kwenye kuutafuta ukweli. Haya mambo mepesi sana, ndiyo maana nilitaka uweke maana.
Nimesoma mwanzo naona wanamrejelea Aristoto,naendelea kusoma mpaka pale nitakapo ona mfumo na hizo kanuni zilizowekwa kabla ya Aristoto.Umesoma link na kujua kwamba Aristotle hajaanzisha logic?
Au Kiingereza mgogoro?
Soma umalize kwanza kabla ya kurudi hapa wakati hujapata elimu kamili.Nimesoma mwanzo naona wanamrejelea Aristoto,naendelea kusoma mpaka pale nitakapo ona mfumo na hizo kanuni zilizowekwa kabla ya Aristoto.
Hili la kwanza. Pili, naona umekubali ya kuwa huwezi kuiongelea logic nje ya fani, vyovyote itakavyo kuwa. Kwa minajili hiyo kusema kwako logic ilianza kabla ya Aristoto mathalani, bado inaongelewa kama fani na si kama msamiati wa kilugha. Hili kwanza unatakiwa ukiri.
Kiri kwanza nilichokuandikia kwamba huwezi kuelezea logic nje ya fani. Mimi naendelea kusoma hii link.Soma umalize kwanza kabla ya kurudi hapa wakati hujapata elimu kamili.
Wapi nimekubali kwamba siwezi kuiongelea logic nje ya fani?
Kama fani ni taaluma, vitu kuwekwa rasmi kitaalamu, formalized logic, unaweza kuiongelea logic nje ya fani.Kiri kwanza nilichokuandikia kwamba huwezi kuelezea logic nje ya fani. Mimi naendelea kusoma hii link.
Namaanisha ya kuwa kuna vitu hutakiwi kuvibishia wakati vipwazi mno.
Kingine katika makala hii nimeona wanaongelea suala la "Concepts" na "Definitions" hili pia litahitaji mjadala na kujua msingi wa wazo kwa watu hao na suala la definitions je walikuwa wanapatia kulielezea ?
Unapouliza nani...kwani hapa unajadiliana na nani?Kwanza nimekosolewa na nani ? Wapi ? Huna uwezo wa kukosoa ninachokiandika hasa katika haya mambo.
Kuwepo kwa ulimwengu ni self evident truth. Ukaniuliza naijua au naandika tu, badala ya kuonyesha kuwa siyo evident truth unaishia kusema ni logical fallacy, hivi ndivyo mnavunja hoja za watu oasi na kuigusa hoja husika ?
Kuwepo kwako wewe kunaonyesha wewe umezaliwa na ni matokeo ya baba na mama yako. Sasa kuwepo kwa Ulimwengu ni self evident truth kunaonyesha wazi kabisa Ulimwengu yupo aliye usanifu na lazima awe na sifa zaidi ya tatu nazo ni Uwezo, elimu, nguvu, malengo na hekima.
Sasa kosoa kwamba si evident truth, na unipe maana ya self evident truth.
Yaani msikimbie kimbie hoja.
Utoto umeanza kuuleta wewe kwa kile ulichokiandika halafu ukakiita uthibitishoWewe naon unaleta utoto. Ngoja nijadiliane na mwenye afadhali kuliko wewe potelea mbali.
Kijana jenga hoja kutaja hii misamiati ni jambo dogo sana, naweza nikakutajia mpaka ya Kiarabu. Sasa wewe jibu hoja na kosoa hoja.Unapouliza nani...kwani hapa unajadiliana na nani?
Pengine hata fallacy of Appeal to self evident truth huijui na ndio maana huelewi kama umekosolewa
Sasa ulitakiwa uonyeshe kama si uthibitisho, mwenzako nimemuonyesha kwamba ule ni uthibitisho na ni uhalisia. Sasa kama jambo limekushinda waache wenye kuliweza waende nalo.Utoto umeanza kuuleta wewe kwa kile ulichokiandika halafu ukakiita uthibitisho
Yaani sasa hapa ulitakiwa uonyeshe kuwezekana kwa hilo jambo kuliko kupoteza muda namna hiyo.Kama fani ni taaluma, vitu kuwekwa rasmi kitaalamu, formalized logic, unaweza kuiongelea logic nje ya fani.
Kwa sababu kuna informal logic. Ni informal, lakini nayo ni logic pia.
Hili pia linaonyesha uchachefu wa maarifa yako, suala la kujua idadi ya mambo, miaka kitofautisha mambo haya ameyaweka Mola tangu alipo umba mbingu na ardhi.Same thing kwenye hesabu.
Watu walijua tofauti ya chungwa moja na mawili kabla hesabu hazijaanza kuwekwa kwenye taaluma na kuwa formal subject, kutengwa kwenye geometry, arithmetics, algebra etc.
Mfano wa hesabu ni mfano maalumu na unavyo hoji kwa mtindo huu unatoka nje ya uhalisia. Ndiyo maana huko nyuma nilikuonyesha wazi namna elimu zinavyoundwa, na ndiyo maana nikatolea mfano maalumu wa tamko logic. Shida yanu mnashindwa kutofautisha mambo ya jumla na mambo maalumu.Sasa, wewe unachosema ni kwamba, kabla ya hesabu kuwekwa kwenye taaluma rasmi, watu walikuwa hawajui tofauti ya chungwa moja na machungwa mawili.
That is ridiculous.
Kwa hivyo kabla ya hesabu kuwa taaluma, watu hawakujua tofauti ya chungwa moja na machungwa mawili?Yaani sasa hapa ulitakiwa uonyeshe kuwezekana kwa hilo jambo kuliko kupoteza muda namna hiyo.
Mfano mimi nikisema siyo lazima usome au ujifunze falsafa ndiyo uwe hodari wa kujenga hoja na kukosoa, ujue hiki nilichokisema au kukiandika naweza kukithibitisha.
Sasa unaposema kuna "Informal Logic" unatakiwa uonyeshe hilo na uweke mifano. Hivi ndivyo watu wanao yajua haya mambo wanafanya.
Hili pia linaonyesha uchachefu wa maarifa yako, suala la kujua idadi ya mambo, miaka kitofautisha mambo haya ameyaweka Mola tangu alipo umba mbingu na ardhi.
Kuelezea hesabu kwa mtindo huu ni kulazimisha ya kuwa hapakuwa na hesabu kabla ya ya kina al-Khawarizm na wengineo wakati wakati suala la kujua idadi ya machungwa hakuhitaji kanuni za kihesabu unazozitaja wewe.
Mfano wa hesabu ni mfano maalumu na unavyo hoji kwa mtindo huu unatoka nje ya uhalisia. Ndiyo maana huko nyuma nilikuonyesha wazi namna elimu zinavyoundwa, na ndiyo maana nikatolea mfano maalumu wa tamko logic. Shida yanu mnashindwa kutofautisha mambo ya jumla na mambo maalumu.
Ndiyo maana hao wote waliokuja baadae hawasemwi walimevumbua hesabu, bali vijisehemu tu vya mahasebu.
Unauliza swali ambalo nimeshakujibu tayari.Kwa hivyo kabla ya hesabu kuwa taaluma, watu hawakujua tofauti ya chungwa moja na machungwa mawili?
Nilipoandika 'maana hata kama tupo nje ya logic ya moja kwa moja, logic sio tool pekee inayotusaidia katika kuielewa reality.' Nilimaanisha sio zile logic zamojakwamoja; kama A imemzaa B an B imemzaa C basi C ni mwana wa A. Hapa kuna mtiririko kutoka msingi hadi paa lake.Wewe unaikandia logic kuwa si tool pekee ya kuelewa reality, hapo hapo unatumia analogy, unajua analogy nayo ni sehemu ya logic?
Unaelewa kwamba analogy ya kitu kilichopo na kitu kisichopo ambacho hakithibitishiki kuwepo kwa muktadha ulioutoa ni ujinga?
Unaweza kuthibitisha huyo Mungu yupo na habari za kuwepo kwake si hadithi tupu zilizotungwa na watu tu?
Sijabadilisha, nimefafanua. Nimeamua kutafsiri neno picha ili uelewe zaidi maana mimi mda wote ninasisitiza kuwa sisi tunajenga picha/taswira fulani akilini mwetu.Saizi umebadilisha kutoka picha ya Mungu kubadilika mpaka kuongeza taswira akilini mwetu?
Vipi kama kubadilika kwa taswira ya Mungu akilini mwako ni kutokana na kutokuwepo kwake kiasi cha kufanya upate ugumu unapojaribu kumfikiria katika uhalisia?
Unaiponda logic na kusisitiza analogy.Nilipoandika 'maana hata kama tupo nje ya logic ya moja kwa moja, logic sio tool pekee inayotusaidia katika kuielewa reality.' Nilimaanisha sio zile logic zamojakwamoja; kama A imemzaa B an B imemzaa C basi C ni mwana wa A. Hapa kuna mtiririko kutoka msingi hadi paa lake.
Bali hii ni analojia ambayo mfano wake ni kusema; unaona jinsi ABC inavyosaundi gudi! basi hata XYZ inasaundi gudi pia😏. Usiandike YXZ haipendezi iga ABC ilivyo ndio sahihi. Tunatumia hiyo kwa sababu kuna mifanano inaweza kutusaidia kujenga mantiki katika vitu vingine hata vyenye asili tofauti. Naitumiaga zaidi kulinganisha mifumo.
Analogy huwa sio uthibitisho wa moja kwa moja wa kitu kama ilivyo logic. Mfano katika sehemu moja ukusaidie kuielewa sehemu nyingine. So hizo non sequtor zako za kufanya uikatae analogy wakati ingekusaidia kuelewa vizuri unajipunguzia mbinu za kuielewa reality.