God's Conscience vs Free Will: Je, Mungu anajua hatima ya wanadamu itakuwaje?

God's Conscience vs Free Will: Je, Mungu anajua hatima ya wanadamu itakuwaje?

Sasa hapo unakuwa umeandika nini?
Nimeandika uhalisia.
Nakuambia hii simu uliyonunua ni replica kwasababu imekosa features hii na hii na kweli ukiangalia features hizo hazipo, still unakuja kusema hapana hujaonesha uwezekano wa kinyume chake
Kinana jifunze kuweka mifano sawia , weka mfano unao onyesha hiyo simu haionyeshi ya kuwa haina mtu aliye itengeneza. Hii ndiyo self evident truth.

Sasa mfano wako haufanyi kazi hapa yaani ni mfano mfu tena butu.

Dunia imejitengeneza au imetokea pasi na chochote ? Hapa ndiyo ilipo self evident truth sasa msiruke ruke.
"Elezea chanzo cha ulimwengu bila kuonyesha muanzilishi wake"

this is what we call "KISS approach" (Keep it simple stupid)
Kisha baada ya hapo hoja yako iko wapi ? Kwamba nimeandika uongo ? Kama ni uongo uko wapi ?

Kijana kuna mambo hayana kinyume na hayawezekani, ndiyo maana mnapata tabu sana kwenye hoja hii.

Sasa si ndiy uelezee chanzo cha ulimwengu ? Au unataka utuambie ni Big Bang ? Utakuwa kichaa kijana.
Vitu complex unataka kuvi articulate kwa hoja nyepesi
Kitu gani hicho ambacho ni complex ? Kijana jibu hoja yangu acha kuruka ruka.s
Namna unavyoweza kumuelezea Mungu bila chanzo ndiyo namna hiyo hiyo naeza kuelezea ulimwengu bila chanzo
Sasa si ndiyo uelezee kisha utuonyeshe ya kuwa sifa ya kisichokuwa na chanzo ni zipi ? Hili jambo rahisi sana nashangaa mnavyolikimbia.
 
Rais Mkapa aliweka mfumo mzuri wa kukusanya kodi Tanzania kwa kuanzisha TRA.

Je, Rais Mkapa ndiye aliyeanzisha kukusanya kodi Tanzania?
Mifano yenu haikidhi haja, mnatakiwa mjue kutofautisha mambo na kuyatolea mfano. Suala la kodi ni jambo maalumu, na lina misingi yake tangu awali, katika elimu kuna misingi na matawi. Aristoto aliweka misingi ndiyo maana anatajwa ya kuwa ni muanzilishi wa elimu ya logic. Kama nilvyo kutolea mfano jana kwamba Hapo kale Watu walikuwa wanatunga mashairi ya Kiarabu, lakini hawesemwi hao watunzi ndiyo walio anzisha elimu ya ushairi, bali aliyeweka misingi ndiyo husemwa muanzilishi wa fani hiyo.

Tukija katika logic kama fani Aristoto ndiyo wa mwanzo, japo hapo kabla watu walikuwa wanajenga hoja na kutamka maneno na kufanya utafiti. Lakini kujenga hoja huko hakukuitwa logic, logic hufahamika kama fani pweke au tawi katika Falsafa kadhalika.
 
Kwako wwe ni self evident truth, haina maana na mwingine ataona ni self evident truth hivyo hivyo na ndio maana unapaswa kuweka uthibitisho ku verify madai yako
Self evident truth haionekani nje ya ilivyo. Yaani leo hii niseme nyumba imejengwa halafu uje useme haijajengwa, unaakili au kichwa panzi ?
 
Haya yote ni tisa mi najiuliza imekuwaje nikawa hapa nilipo?
 
binadamu ni roho, baada ya roho kuacha mwili mwili huoza, hivyo roho ndio hubaki sehemu mabayo itasubiri kusomewa hukumu yake. Mungu atahukumu roho, ili uweze kuishi milele mwanadamu lazima uwe katikati mfumo wa roho.

Sasa shida inakuja hapa!

-Je siku ya kuhukumiwa mimi nitakua najifahamu kua ndio mimi? (Kumbuka roho ndio inabeba taarifa zako zote/kwenye roho ndio kuna mind ambayo inahusika nawe kujitambua)

-Kama nitajitambua nitawezaje kuishi heaven kwa raha huku wazazi na ndugu zangu wapendwa nimewashuhudia wakienda kuchomwa moto?

-Labda siku hiyo tutakua hatutambuani, kama hatutambuani it means hata mimi sitajitambua. Sasa kama mimi sitajitambua nitajuaje kama ni mimi ndio niko peponi au motoni? (Kumbuka kama nikijitambua sitafurahia kwenda heaven wakati my wife and any of my kids they're suffering in hell)

-Sawa nitajitambua, nitakubali na matokeo ndigu zangu wateseke motoni. Je wale wanawake 70 bikra nitawafaidi vipi wakati mimi nitakua katika mfumo wa roho, roho haiwezi kufanya mapenzi and lastly huko Mungu hawezi kuparuhusu tupafanye danguro. (Kumbuka Mbinguni tutakua kwa mfumo wa roho, sio mwili maana mwili huharibika. Kama tukiwa nao basi hatutoishi huko milele, mwili ni compatible kwa maisha ya Duniani tu)

Daa!aisee
 
Kumbuka freewill ni dhana yenye kuambatana na selection ya mambo mawili "ubaya na uzuri"
Mkuu naomba kuuliza hapa kuhusiana na free will yani mtu anakuwa na uhuru wa kuchagua zuri na baya.

So kinyume cha free will maana yake mtu anakuwa anafanya zuri lakini hana uhuru wa kufanya zuri hilo,na mtu anafanya ubaya lakini hana uhuru wa kufanya baya hilo.

Kwa maana hiyo kufanya jambo kinyume na free will maana yake unakuwa umelazimishwa.

Swali langu liko hapa,ni kitu gani kitatujulisha kwamba jambo tulilofanya tumelifanya kwa kulazimishwa pasi na free will zetu ?
 
Nimeandika uhalisia.

Kinana jifunze kuweka mifano sawia , weka mfano unao onyesha hiyo simu haionyeshi ya kuwa haina mtu aliye itengeneza. Hii ndiyo self evident truth.

Sasa mfano wako haufanyi kazi hapa yaani ni mfano mfu tena butu.

Dunia imejitengeneza au imetokea pasi na chochote ? Hapa ndiyo ilipo self evident truth sasa msiruke ruke.

Kisha baada ya hapo hoja yako iko wapi ? Kwamba nimeandika uongo ? Kama ni uongo uko wapi ?

Kijana kuna mambo hayana kinyume na hayawezekani, ndiyo maana mnapata tabu sana kwenye hoja hii.

Sasa si ndiy uelezee chanzo cha ulimwengu ? Au unataka utuambie ni Big Bang ? Utakuwa kichaa kijana.

Kitu gani hicho ambacho ni complex ? Kijana jibu hoja yangu acha kuruka ruka.s

Sasa si ndiyo uelezee kisha utuonyeshe ya kuwa sifa ya kisichokuwa na chanzo ni zipi ? Hili jambo rahisi sana nashangaa mnavyolikimbia.
Uhalisia sometimes could be based on perception and misinterpretations kwa hiyo kusema kitu fulani ni uhalisia kwasababu wewe unaona hivyo ni kuonesha namna gani hautumii reasoning vizuri

Self evident truth haitumii madai ambayo hayajathibitishwa kuwa ndio uthibitisho wa kingine ambacho unataka kuthibitisha

Simu kutengenezwa hiyo ni logic ndogo na hauwezi kushindwa kuthibitisha kwa madai kuwa ni self evident truth wakati makampuni yapo na yanathibitishika yapo

Dai lako la kwamba ulimwengu upo na kwamba umesababishwa na Mungu na hiyo ni self evident truth, dai lako hilo ni la uongo.

Kwa uthibitisho gani unaoonesha ulimwengu umeumbwa hadi hoja ya kusema ulimwenguumeumbwa iwe ni self evident truth?

Wapi umethibitisha Mungu yupo ili tujue hiyo ni self evident truth?
 
Mkuu naomba kuuliza hapa kuhusiana na free will yani mtu anakuwa na uhuru wa kuchagua zuri na baya.

So kinyume cha free will maana yake mtu anakuwa anafanya zuri lakini hana uhuru wa kufanya zuri hilo,na mtu anafanya ubaya lakini hana uhuru wa kufanya baya hilo.

Kwa maana hiyo kufanya jambo kinyume na free will maana yake unakuwa umelazimishwa.

Swali langu liko hapa,ni kitu gani kitatujulisha kwamba jambo tulilofanya tumelifanya kwa kulazimishwa pasi na free will zetu ?
Kwanza kabisa utambue kuwa free will ni illusion/hoax

Kwasababu kila kitu kilishapangwa kabla hujazaliwa
 
Kumbuka Mbinguni tutakua kwa mfumo wa roho, sio mwili maana mwili huharibika
Mkuu mimi naomba kufahamu tu mtazamo wako juu ya swali lifuatalo.

baada ya Mungu kufanya tone la manii kuwa mwili mkubwa ndani ya tumbo la mama,Je hawezi kufanya mechanism zingine huko mbinguni zitakazotufanya sisi tuwe na miili tena kama hapa duniani ?
 
Kwanza kabisa utambue kuwa free will ni illusion/hoax

Kwasababu kila kitu kilishapangwa kabla hujazaliwa
Sawa tufanye hakuna free will.

Ninachouliza ni kuwa tunajuaje kwamba hapa nimefanya kitendo hiki kwa kulazimishwa bila uhuru wangu mwenyewe ?
 
Self evident truth haionekani nje ya ilivyo. Yaani leo hii niseme nyumba imejengwa halafu uje useme haijajengwa, unaakili au kichwa panzi ?
Ukisema nyumba imejengwa inakuzuia nini mpaka ukashindwa kuthibitisha huyo mjenzi yupo?

Wajenzi wapo wanafahamika na wanathibitishika wapo, sasa huoni kama utakuwa ni mjinga kushindwa kuthibitisha mjenzi yupo kwa kung'ang'ania tu kusema self evident truth?

Yani unatengeneza madai ionekane hoja yenye kudaiwa kuwa ni self evident truth haihitaji uthibitisho inatakiwa ikubaliwe hivyo hivyo bila kuhojiwa
 
Sawa tufanye hakuna free will.

Ninachouliza ni kuwa tunajuaje kwamba hapa nimefanya kitendo hiki kwa kulazimishwa bila uhuru wangu mwenyewe ?
Kwasababu kila kitu kilishapangwa kabla hujazaliwa
 
Kwasababu kila kitu kilishapangwa kabla hujazaliwa
Kupangwa kila kitu kabla hatujazaliwa hiyo ni dhana ambayo inatakiwa ithibitishwe baada ya hayo yaliyopangwa kutokea.

Kama mimi sitaki kuingia kwenye gari ya polisi na polisi wqkataka niingie nitaona oshara kwamba labda wamwnikamata kwa nguvu,wamenivuta ndani ya gari,wamenizingira na kunipiga vibao viwili vitatu hatimae naenda kituoni.

Nikifika kituoni mimi mwenyewe nitajua kwamba nimelazimishwa kuja hapa kituoni kwa sababu nina hoja za msingi za kuon3sha kwa nini nimelazimishwa kama vile kuzingirwa,kukamatwa kwa nguvu na kutiwa garini kimabavu,hizo ni ishara za kulazimishwa.

Lakini mtu mwingine akiniona kituoni pale anaweza asijue kama nimelazimishwa kuja kituoni au sijalazimishwa ikiwa kama sina viashiria vyovyote vya kuathirika wakati nakamatwa.

Je mtu akishazini,anajuaje au ni ishara zipi zitamjulisha kwamba kitendo cha kuzini alichofanya amelazimishwa hajaamua mwenyewe kama ambavyo mimi sijaamua kwenda mwenyewe kituoni ?
 
Mifano yenu haikidhi haja, mnatakiwa mjue kutofautisha mambo na kuyatolea mfano. Suala la kodi ni jambo maalumu, na lina misingi yake tangu awali, katika elimu kuna misingi na matawi. Aristoto aliweka misingi ndiyo maana anatajwa ya kuwa ni muanzilishi wa elimu ya logic. Kama nilvyo kutolea mfano jana kwamba Hapo kale Watu walikuwa wanatunga mashairi ya Kiarabu, lakini hawesemwi hao watunzi ndiyo walio anzisha elimu ya ushairi, bali aliyeweka misingi ndiyo husemwa muanzilishi wa fani hiyo.

Tukija katika logic kama fani Aristoto ndiyo wa mwanzo, japo hapo kabla watu walikuwa wanajenga hoja na kutamka maneno na kufanya utafiti. Lakini kujenga hoja huko hakukuitwa logic, logic hufahamika kama fani pweke au tawi katika Falsafa kadhalika.
You cant think in the abstract.

You can't see ana analogy for what it is.

You get boggled down in the mundane details.

Nakueleza improving something is not starting it.

Hata huoni hilo, unaenda kuongelea kodi.

You are a waste of time.
 
Kupangwa kila kitu kabla hatujazaliwa hiyo ni dhana ambayo inatakiwa ithibitishwe baada ya hayo yaliyopangwa kutokea.

Kama mimi sitaki kuingia kwenye gari ya polisi na polisi wqkataka niingie nitaona oshara kwamba labda wamwnikamata kwa nguvu,wamenivuta ndani ya gari,wamenizingira na kunipiga vibao viwili vitatu hatimae naenda kituoni.

Nikifika kituoni mimi mwenyewe nitajua kwamba nimelazimishwa kuja hapa kituoni kwa sababu nina hoja za msingi za kuon3sha kwa nini nimelazimishwa kama vile kuzingirwa,kukamatwa kwa nguvu na kutiwa garini kimabavu,hizo ni ishara za kulazimishwa.

Lakini mtu mwingine akiniona kituoni pale anaweza asijue kama nimelazimishwa kuja kituoni au sijalazimishwa ikiwa kama sina viashiria vyovyote vya kuathirika wakati nakamatwa.

Je mtu akishazini,anajuaje au ni ishara zipi zitamjulisha kwamba kitendo cha kuzini alichofanya amelazimishwa hajaamua mwenyewe kama ambavyo mimi sijaamua kwenda mwenyewe kituoni ?
Kwasababu fate ilikwisha pangwa in the first place na huyo mtu anapita tu kwenye reli japo kila tendo analofanya anaweza ku experience some freedom but ain't real as it seem
 
Kwasababu fate ilikwisha pangwa in the first place
Mkuu hii ni dhana kama nilivyosema,inahitaji uthibitisho ambao ndio tunautafuta hapa,so kujibu swali langu kwa kutumia dhana ambayo ndio naiulizia inakuwa unaninyima elimu ndugu scars.
japo kila tendo analofanya anaweza ku experience some freedom
Najuaje kwwmba hiki ninachofeel ndio freedom yenyewe,ni vitu gani vinatokea ili nijue kwamba hii ni freedom..?
but ain't real as it seem
KWa nini isiwe real wakati ni kitu mtu anakifeel kabisa ?

mmmi nafeel joto why joto lisiwe kitu halisi wakati nalifeel ?
 
Mkuu hii ni dhana kama nilivyosema,inahitaji uthibitisho ambao ndio tunautafuta hapa,so kujibu swali langu kwa kutumia dhana ambayo ndio naiulizia inakuwa unaninyima elimu ndugu scars.

Najuaje kwwmba hiki ninachofeel ndio freedom yenyewe,ni vitu gani vinatokea ili nijue kwamba hii ni freedom..?

KWa nini isiwe real wakati ni kitu mtu anakifeel kabisa ?

mmmi nafeel joto why joto lisiwe kitu halisi wakati nalifeel ?
Utajua kupitia sifa za Mungu ambazo anazo

Ukishajua kuwa Mungu anajua vyote, na kujua kwake ni 100% kuwa kabla hata ya wewe kuzaliwa alikwisha jua maisha yako yote na mwisho wako

Na kwakujua huko huwezi kuepuka (everything has been set) maana yake umepangiwa na hakuna unachofanya kwa hiari yako japo wewe mwenyewe unaweza ukahisi kwamba unafanya hayo kwa uhuru wako
 
Huwa nafurahi sana kujadiliana na watu wepesi kama wewe.

Mantiki haiwezi kukanusha au kuthibitisha kutokuwepo kwa Allah, ndiyo maana huwa hamuigusi hoja hiyo.

Problem of evil haiwezi kuthibitisha kutokuwepo kwa Allah, sababu Allah mwenyewe ametaka mambo yawe hivyo. Sasa hili ni tatizo la ufahamu na kuchagua kuwa mjinga.

Sasa nisingekuwa na ubongo na uti wa mgongo nikaandikaje au kufanya haya ninayo yafanya, tulia utengeneze hoja.

Sijui hoja ni nini, nipe faida mzee wangu.
Allah wako ni sadist?

Ametaka watu wafe kwa majanga wakati angeweza kuumba ulimwengu ambao hauwezekani kuwa na majanga?

Allah akiona vitoto masikini vinakufa kwa njaa anachekelea?
 
Swali gani hilo ? Nikumbushe kwenye ule ule uzi.

Mimi lile swali langu, mpaka unakufa huwezi kulijibu. Kwahiyo usihangaike nalo. Salama yako ni ukiri tu.
Rudi ukasome uzi nimekukumbsha zaidi ya mara moja.

Hunaswali lisilojibika na Qur'an, isipokuwa nataka nikupe darsa mpaka uelewe, Kumbe hata nyuzi husomi, upi kwa kubishana tu, siyo kupata manufaa ya ilm.

Pole sana, wewe katika nyanja za usomi ni usiku wa kiza.
 
Uhalisia sometimes could be based on perception and misinterpretations kwa hiyo kusema kitu fulani ni uhalisia kwasababu wewe unaona hivyo ni kuonesha namna gani hautumii reasoning vizuri
Sasa hivi sababu nimeoma akili zenu ni ndogo naacha mjihukumu wenyewe, naomba mfano wa uhalisia ambao ume base katika perception na misinterpretations. Mifano miwili tu naiomba.
Self evident truth haitumii madai ambayo hayajathibitishwa kuwa ndio uthibitisho wa kingine ambacho unataka kuthibitish
Kwa mfano ?

Yaani ulivyo kuwa unajifaragua kwamba unajua au unaijua "self evident truth" kumbe hujui, maana ya self evident truth ni kitu kisichohitaji uthibitisho, yaani wewe leo hii uhitaji ithibati ya kuwa wewe ni mdogo kuliko mzazi wako ? Au unahitaji huo ushahidi ? Au kwamba ukirusha kitu juu lazima kitarudi chini, au njaa huuma. Hii ndiyo self evident truth. Uwepo wa ulimwengu ni selft evident truth kwa maana ni lazima yupo aliye iumba hii dunia hii ni maana ya self evident truth.

Sasa inatumia vipi madai wakati yenyewe ni uthibitisho kamili ?
Dai lako la kwamba ulimwengu upo na kwamba umesababishwa na Mungu na hiyo ni self evident truth, dai lako hilo ni la uongo.
Sasa thibitisha ya kuwa ulimwengu haujaumbwa na Mungu na utuambie imekuwaje ukawepo.
Kwa uthibitisho gani unaoonesha ulimwengu umeumbwa hadi hoja ya kusema ulimwenguumeumbwa iwe ni self evident truth?
Uwepo wake.
Wapi umethibitisha Mungu yupo ili tujue hiyo ni self evident truth?
Mpaka tumefikia hapa ni matokeo ya kuthibitisha ya kuwa Mola yupo.
 
Back
Top Bottom