Bloodstone
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 920
- 994
Noumaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naweka kambiWaandishi wa habari undercover wanajifanya kuwa majambazi wenye dola bilioni moja za pesa chafu zinazohitaji kusafishwa. Wanapata upenyo kwa wanachama wa Afrika wa Gold Mafia na kurekodi mikutano ya siri na viongozi wa uhalifu.
Balozi Mkubwa wa Afrika anatoa huduma ya kutakatisha pesa chafu zenye thamani ya dola milioni 1.2 kwa kutumia kofia yake ya Udiplomasia.
Wenyewe wanakwambia kwa Afrika ilimradi unatotoa chochote kitu basi mambo yako yanaenda bila shida yoyote. Gold Mafia imesambaa, hakuna mamlaka au serikali yoyote Afrika inayojaribu kusogeza pua yake.
Wahalifu hutoa donge nono kutakatisha zaidi ya dola milioni 100 kupitia miradi ya serikali ya usafirishaji wa dhahabu. Kitovu cha shughuli zao ni kituo kikubwa cha kutakatisha pesa kusini mwa Afrika, Benki Kuu ya Zimbabwe.
Gold Maafia, ni mfululizo wa sehemu nne wa kitengo cha uchunguzi cha Al Jazeera, unaoangalia jinsi tamaa ya jamii kumiliki dhahabu wanavyoendeleza na kuunga mkono uchumi haramu ulimwenguni. Timu ya siri inafanikiwa kuingia kwenye makundi hasimu ambayo hubadilisha pesa chafu kuwa dhahabu, ambayo baadae inauzwa ulimwenguni kote.
Kupitia maelfu ya nyaraka za siri na mahojiano ya moja kwa moja na whistleblowers kutoka ndani ya makundi vya uhalifu, wachunguzi wanapata muundo wa operesheni za utakatishaji wa pesa zenye thamani ya mabilioni ya pesa ambazo huudumia viongozi wa kisiasa, uchunguzi huo unatupeleka kwenye ofisi za juu Kusini mwa Afrika.
Unadhani viongozi gani wanajihusisha na biashara hii haramu Afrika Kusini, vipi nchi nyingine, je, na Tanzania kuna viongozi wanaojihusisha na biashara hiyo?
Itaendelea...
Kuanza nayo soma Episode 1 - Sehemu ya 1
Huyo alikuw tapeli tu.Kuna mwaka nilikamatwa huko kanda ya kaskanzini nikalala sero siku tatu siku nikaamishiwa gerezani c nikakuta kuna mgeni wa nje ya Tz tukaanza kula story yule ndugu akaniambia Kuna ela ipo online nitafute kituo Cha watot yatima ndo tupigie dili la kuingiza hizo fedha nchini Sasa tatizo likaja huku cjaweka mchongo wangu vizuri ndugu zangu wakawa washamaliza kesi huko nje nashangaa nakuja itwa nisepe hm niliona wamenipotezea utajiri
Huyo alikuw tapeli tu.Kuna mwaka nilikamatwa huko kanda ya kaskanzini nikalala sero siku tatu siku nikaamishiwa gerezani c nikakuta kuna mgeni wa nje ya Tz tukaanza kula story yule ndugu akaniambia Kuna ela ipo online nitafute kituo Cha watot yatima ndo tupigie dili la kuingiza hizo fedha nchini Sasa tatizo likaja huku cjaweka mchongo wangu vizuri ndugu zangu wakawa washamaliza kesi huko nje nashangaa nakuja itwa nisepe hm niliona wamenipotezea utajiri
Wanakwambia Jpm alikuwa ananifungulia viwanda vyangu.......wajanja tuligundua mapema sanaAkina rostame aziko
Suti hazikauki mwilini
Hapa nimeona mchoro wa dogo mmoja aliyeibuka majuzi kwa hekima na kuhubiri akiingia kwenye mfumo!
They are smart enough to pick their allies. Huyu nabii yupo Bongo toka jana.
Huu uzi na DP vinaenda sambamba kabisa.Hii ndo JF ninayoifahamu ya miaka ile. Kongole sana umeleta hbr ambazo zinatuonesha maisha ya akina Rost na DP World yanavyokuwa na Serikali zetu hizi.
Huu uzi na DP vinaenda sambamba kabisa.Hii ndo JF ninayoifahamu ya miaka ile. Kongole sana umeleta hbr ambazo zinatuonesha maisha ya akina Rost na DP World yanavyokuwa na Serikali zetu hizi.