Black Mirror
JF-Expert Member
- Oct 17, 2019
- 919
- 1,192
Safi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nivumilie kidogo Mkuu, muelendelezo utakuja karibuniRare Sapphire mkuu umepotelea wapi?
Sio waandishi tu hata hizi habari kama hii ripoti huwezi kuniona kwenye media yeyote bongo hiiTuko pamoja mkuu, tunasubiri mwendelezo. Kwasasa hatuna waandishi wa habari Observers kama hawa hapa nchini. Mbaya zaidi Makanjanja Kama Kitenge ndio wanaosikilizwa ptuh[emoji30]
Huku bongo utaionea wapi habari kama hii? Bado sanaa! Ila Pascal Mayalla angeweza kuandika habari zinazofanana na hizi,ni vile tu labda anahofia usalama wake!Sio waandishi tu hata hizi habari kama hii ripoti huwezi kuniona kwenye media yeyote bongo hii
ZIMBWABWE South Africa Dubai nikiona kwenye aljezira Witness Kuna yule pastor, halafu mnangwagwa halafu Kuna mhindi mmoja pale SA halafu kuna Gupta brothers aise kama movieWaandishi wa habari undercover wanajifanya kuwa majambazi wenye dola bilioni moja za pesa chafu zinazohitaji kusafishwa. Wanapata upenyo kwa wanachama wa Afrika wa Gold Mafia na kurekodi mikutano ya siri na viongozi wa uhalifu.
Balozi Mkubwa wa Afrika anatoa huduma ya kutakatisha pesa chafu zenye thamani ya dola milioni 1.2 kwa kutumia kofia yake ya Udiplomasia.
Wenyewe wanakwambia kwa Afrika ilimradi unatotoa chochote kitu basi mambo yako yanaenda bila shida yoyote. Gold Mafia imesambaa, hakuna mamlaka au serikali yoyote Afrika inayojaribu kusogeza pua yake.
Wahalifu hutoa donge nono kutakatisha zaidi ya dola milioni 100 kupitia miradi ya serikali ya usafirishaji wa dhahabu. Kitovu cha shughuli zao ni kituo kikubwa cha kutakatisha pesa kusini mwa Afrika, Benki Kuu ya Zimbabwe.
Gold Maafia, ni mfululizo wa sehemu nne wa kitengo cha uchunguzi cha Al Jazeera, unaoangalia jinsi tamaa ya jamii kumiliki dhahabu wanavyoendeleza na kuunga mkono uchumi haramu ulimwenguni. Timu ya siri inafanikiwa kuingia kwenye makundi hasimu ambayo hubadilisha pesa chafu kuwa dhahabu, ambayo baadae inauzwa ulimwenguni kote.
Kupitia maelfu ya nyaraka za siri na mahojiano ya moja kwa moja na whistleblowers kutoka ndani ya makundi vya uhalifu, wachunguzi wanapata muundo wa operesheni za utakatishaji wa pesa zenye thamani ya mabilioni ya pesa ambazo huudumia viongozi wa kisiasa, uchunguzi huo unatupeleka kwenye ofisi za juu Kusini mwa Afrika.
Unadhani viongozi gani wanajihusisha na biashara hii haramu Afrika Kusini, vipi nchi nyingine, je, na Tanzania kuna viongozi wanaojihusisha na biashara hiyo?
Itaendelea...
Kuanza nayo soma Episode 1 - Sehemu ya 1
ipo youtube yoteMkuu Rare Sapphire hii kama haina muendelezo tuweke wazi mkuu
Kwa title gani?ipo youtube yote
Natweka leoMkuu Rare Sapphire hii kama haina muendelezo tuweke wazi mkuu
Gold MafiaKwa title gani?
Weka tunasubiri mkuuNatweka leo
tayariWeka tunasubiri mkuu
Muendelezo vp mkuu?tayari