Goli la Mama: Rais Samia kununua kila goli Tsh. Milioni 5 mechi za Simba, Yanga CAF

Nenda chato ukazikwe nae

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Safi sana. Kwa hili Mama apewe mataji yake.
 
Rais Samia Suluhu anakuza sekta ya michezo yani huyu Mama haachi gepu kila sehemu anaimarisha
 
Sasa huo ni uoga ndugu yangu wewe itakuwa ni Yanga unajua hautatoboa lakini sisi Simba tunaona Rais ameongeza hamasa kwa wachezaji pole sana
 
Sasa huo ni uoga ndugu yangu wewe itakuwa ni Yanga unajua hautatoboa lakini sisi Simba tunaona Rais ameongeza hamasa kwa wachezaji pole sana
Hamna siyo woga. Mambo hayo hayana tija siku hizi. Juzi Horoya kwenye mechi na Simba waliahidiwa milioni 11 kila mmoja kama sikosei.
 
Ni jambo jema sema lakini hii nchi ni tajiri sana.
 
Hapo MILIONI 15 ni za mayele
 
Haya ndio mambo tunayoyapenda safi sana MAMA na Asante.
 
Hapo Watani nawao wanatakiwa wanunue Kila goli watalofunga kwa 2million maana hii biashara mwenye hasara ni Hangaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…