Kwenye impact ndogo gari ya kijapani utaikataa. Hili hata mimi nimeprove, Kuna Jeep grand cherokee inagongana na Toyota noah sr40, Ile jeep ilivunjika tu taa ya mbele upande wa dereva na mikwaruzo kidunchu.Hata yeye inawezekana alikuwa speed sana, barabarani kuna phycology yake,kuna watu fulani wenye aina fulani za magari huwa wanaamini sana magari yao mkuu kisa sio za kijapani,hawa ukikutana nao wanakuwa "Kiatu" sio cha nchi hii.(Speed)
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hiyo siyo ajali ya kuanguka. Amegongana na gari nyingine. Mbona picha iko wazi?kuangusha Ford Ranger ni uzembe, pale unapokanyaga kibati mpaka mwisho hata kwenye kona kali.
Dunia ya sasa imejaa watu wavuvu sana hata simple research in case haijui jambo. Yani Kuna majamaa wanakuambia hiyo Ford Ranger ya UK, mwingine anasema ya Marekani as if Ranger ya Marekani inafanana na hizi makaratasi, mwingine anasema Japan 😃😃😃😃 full ujuaji ingali hawajataka hata kujisumbua kidogo japo kutafuta facts kwenye Google yao iliyowarahisishia mambo.Ford ranger ni Ford America, hizo Ford ranger ni franchise ya Ford uko South Africa. Quality yake siyo sawa na Ford ranger ya USA
... na hasa ukute walikuwa na ligi barabarani; hakuna anayetaka kushindwa; kuoneshana umwamba. Nina Ranger utanipitaje na "matako ya nyani"; ukikutana na obstacle however small it is, hayo ndio majibu yake sawia - huchomoki! Tunalaumu sana tochi ila sometimes zinasadia ku--save life; tycoon huyu angekuwa ameokoa maisha yake na wote wanaomtegemena - familia, wafanyakazi, etc.Madhara ya gari,angalia ilivyoisha.
Japo bado tunasubiria uchunguzi zaidi,ila lazima mwamba alikuwa anamimika hasa
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Sasa hiyo Ford sio mjapani na imeisha hivyo, jaribu kuvuta picha alikuwa anamwagikaje?Kwenye impact ndogo gari ya kijapani utaikataa. Hili hata mimi nimeprove, Kuna Jeep grand cherokee inagongana na Toyota noah sr40, Ile jeep ilivunjika tu taa ya mbele upande wa dereva na mikwaruzo kidunchu.
Kilichotokea kwenye noah ni disaster. Iliminywa almost half of the engine compartment.
same spot ...Msamvu Oilcom ...Curved road...overtaking kwenye barabara upinde( curved) uso kwa uso na LoriHii speed ilikuwa zaidi ya 100
Barabarani kuna ligi kali sana,hapa muda huu saizi kuna "Wamba" wanaumana huko.... na hasa ukute walikuwa na ligi barabarani; hakuna anayetaka kushindwa; kuoneshana umwamba. Nina Ranger utanipitaje na "matako ya nyani"; ukikutana na obstacle however small it is, hayo ndio majibu yake sawia - huchomoki! Tunalaumu sana tochi ila sometimes zinasadia ku--save life; tycoon huyu angekuwa ameokoa maisha yake na wote wanaomtegemena - familia, wafanyakazi, etc.
Ulikuwepo?Hii speed ilikuwa zaidi ya 100
Hongera sn mkuuHahahahhaa Mimi namshukuru MUNGU nimeshasaidia kuepusha ajali karibia nne au tano na ya mwisho ilikua mwezi uliopita, tumetoka Kahama na Coster, tumefika maeneo ya Bwawani kwa mbele kumbe dereva amesinzia aisee, hio ni saa kumi usiku. Nikamstua akarudi kwenye line. Akapata yale maeneji drinki tukasimama Chalinze kidogo
poleni sana ndugu , jamaa na marafiki, Mke wa marehemu nampa pole maalum.Ni Mjasiriamali maafuru Mlowo Mbozi mkoani Songwe ambaye pamoja na mambo mengine alikua anamiliki kiwanda cha kukoboa kahawa ktk mji wa Mlowo kafariki kwa ajali usiku wa kuamkia leo Morogoro.
Alikua pia maarufu kwa jina la FULL DOZE na GDM
Bwana ametoa bwana ametwaa. Jina lake libarikiwe
View attachment 1851508
View attachment 1851509
Htr snKwenye impact ndogo gari ya kijapani utaikataa. Hili hata mimi nimeprove, Kuna Jeep grand cherokee inagongana na Toyota noah sr40, Ile jeep ilivunjika tu taa ya mbele upande wa dereva na mikwaruzo kidunchu.
Kilichotokea kwenye noah ni disaster. Iliminywa almost half of the engine compartment.