Hii siyo fani yako kafuge Kuku.View attachment 2773711
Hutaki unaacha , lakini huu ndio ukweli halisi , Nikiwa ka Mtanzania kwenye kundi hili Yanga havuki , hapo ndio Mwisho .
Pichani : ni mtoto mdogo akiizomea Yanga ilipofungwa na Ihefu
View attachment 2773705
Mwaka kafungwa mechi mbil akawa bingwa na kufika fainal CAF ww unaweza?Kwa jinsi alivyonyanyaswa juzi na Ihefu sidhani kama Yanga itapata hata sare kwenye group stage
Hahahha huo ulikuwa ulozi mkuu ina maana Ihefu ni wazuri kuliko AlmerkKwa jinsi alivyonyanyaswa juzi na Ihefu sidhani kama Yanga itapata hata sare kwenye group stage
KabisaAahaaaaaaaaa,
Wanatamani kusema kuwa Al Ahyl ni kibonde kuliko msimu uliopita,ila wakikumbuka kuwa wanaye hapa bongo tarehe 20/10/2023 nguvu za kukosoa wanakosa
Wamebakiza kubwatuka Ihefu Ihefu ahaaa
OkayNyayo zishafunikwa na mchanga
Habari ni Al Ahyl kuja bongo mara mbili,kwanza akicheza na Simba a pili akicheza na Yanga
Wanapeeeeeenda kutukatisha tamaaView attachment 2773711
Hutaki unaacha , lakini huu ndio ukweli halisi , Nikiwa ka Mtanzania kwenye kundi hili Yanga havuki , hapo ndio Mwisho .
Pichani : ni mtoto mdogo akiizomea Yanga ilipofungwa na Ihefu
View attachment 2773705
Siku zijazo utakuja kujuta kwa nini ulianzisha huu uzi wako.View attachment 2773711
Hutaki unaacha , lakini huu ndio ukweli halisi , Nikiwa ka Mtanzania kwenye kundi hili Yanga havuki , hapo ndio Mwisho .
Pichani : ni mtoto mdogo akiizomea Yanga ilipofungwa na Ihefu
View attachment 2773705
Aaa Wapi !Siku zijazo utakuja kujuta kwa nini ulianzisha huu uzi wako.
Hata akiroga kuanzia Januari mpaka Disemba hatoboi
Comment zako huwa zinaenda kinyume
Hata akiroga kuanzia Januari mpaka Disemba hatoboi
[emoji28][emoji28]Aahaaaaaa,wanashindwa wasemeje makolo
Wakimuita Al Ahyl kibonde wanakumbuka na wao wanaye hapa bongo tarehe 20
Wakisema ni timu kibonde ,wanaogopa wanaweza chapwa nje ndani na Yanga akamchapanja nje ndani Al Ahyl
Aaahaaaa,
Hawajui washike lipi
Tayari Ushamnasa mzee wa kutoa maboko [emoji23]View attachment 2773953
Kazi yangu ni kukutumzia risit zako
Usije tukana watu muda ukifika
Usije tupangia tena muda wakupig mashine wake zetu kama kawaida yako
Tumetunza hii..[emoji16]Hata akiroga kuanzia Januari mpaka Disemba hatoboi
Hawachelew kusema hizo timu mbovuNi vizuri mmesema nyie ili baadae msije badili maneno