Guinea: Baltazar na Watumishi wa Umma walioshiriki naye Ngono ofisini kufukuzwa kazi

Guinea: Baltazar na Watumishi wa Umma walioshiriki naye Ngono ofisini kufukuzwa kazi

Nchi iliyokuwa na UTAJIRI MKUBWA WA MAFUTA hadi (2014) nadhani imetawaliwa na Spain wao Bata juu ya Bata.... kisha wapo wachache saaana... (2M)Uchumi wake Ulipanda (GDP) Elimu bure mpaka University na ukipasua unakuwa Sponsored na Gvt. NEPOTISM ndio imekithiri hata huyu MWAMBA ni Ndugu na Rais, Makamu,Uongozi wowote ni Familia yao.
Aisee kumbe
Ila sidhani kama watamuacha salama
Hii ni kashfa kubwa sana na yeye anasema eti sio kweli bali wanamchafua kwa kutumia technology ya Artificial Intelligence ila sidhani

Sasa kuwa na maisha mazuri ndio wafanye uchafu wote huo na kwanini wake za wakubwa wote, halafu wote wakubali kulala nae
Ni maajabu ila ukweli utatoka na nini nyuma ya haya

Nasikia mwanamke mmoja amejiuwa kwa kashfa hii
 
Huyu jamaa ni mvuto? Pesa? Urijali? Nyota? Uganga? Au? Nifah?
Mpaka sasa hivi nimeshindwa kuelewa ndugu yangu.

Lakini, pengine tunayachukulia poa haya mambo huenda yanafanyika zaidi ya haya huko maofisini, ni kwa vile jamaa aliweka ushahidi wa video pekee ndio maana imekuja kwa mshtuko huu mkubwa!

Kiukweli nimeshangazwa mno, nimeangalia video kadhaa nimekosa majibu! Hadi nimetafakari utimamu wa akili wa jamaa kama uko sawa.
 
Mpaka sasa hivi nimeshindwa kuelewa ndugu yangu.

Lakini, pengine tunayachukulia poa haya mambo huenda yanafanyika zaidi ya haya huko maofisini, ni kwa vile jamaa aliweka ushahidi wa video pekee ndio maana imekuja kwa mshtuko huu mkubwa!

Kiukweli nimeshangazwa mno, nimeangalia video kadhaa nimekosa majibu! Hadi nimetafakari utimamu wa akili wa jamaa kama uko sawa.
Itoshe tu kusema ni mgonjwa. That's totally abnormal for a human being.
 
Namfikiria mke wake sana, ni kwamba hakuwahi kuhisi chochote? Au alikuwa anafahamu lakini akachagua kuvumilia?
Ww ukifahamu mumeo anakucheat utafanya nini!!??
Si ajabu anakucheat na hujui
 
Eti “Ebang Engonga”

Ni bang bang/kugonga gonga kwa sana.

Jina limeendana na ufedhuli wake. Huko alipo anahitaji ulinzi mkubwa sana.😀
 
Wanawake wanapenda people za namna hiyo. Wewe tanguliza Useminari wako sijui ustaarabu uone kama Mademu watakupa papuchi.

Wanawake wanapenda Bata wachafu kama huyo jamaa, wanapenda rough riders,crooks na washenzi wengine.

Ni rahisi kwa Kijana mwenye mademu 5 kupata demu wa 6.Ila ni vigumu kwa Kijana mstaarabu asiye na demu kupata demu.
 
View attachment 3144100
Makamu wa Rais wa Equatorial Guinea, Teodoro Obiang Nguema Mangue amesema Serikali ya Nchi hiyo itawatimua kazini Maafisa na Watumishi wote wa Umma ambao ni miongoni mwa Wanawake zaidi ya 400 waliorekodiwa wakifanya mapenzi na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kitaifa la Upelelezi wa Fedha (ANIF) la Nchini humo, Baltasar Ebang Engonga (54) katika maeneo mbalimbali ikiwemo kwenye Ofisi za Serikali na nyumbani kwa Ebang.

Ebang ambaye ni Baba wa Familia ya Watoto sita, tayari amekamatwa kwa kosa la kujirekodi akiwa anafanya mapenzi na Wanawake hao ambao wengine ni Wake za Watu Mdogo Mke wa Kaka yake, Binadamu yake, Dada wa Rais wa Nchi hiyo, Mke wa Mkuu wa Ulinzi wa Rais wa Nchi hiyo, Mke wa Mwanasheria Mkuu wa Nchi hiyo na Mtoto wa Mkuu wa Jeshi la Polisi la Nchi hiyo.

Wengine walioonekana wakifanya mapenzi na Ebang kwenye video hizo ni Mke wa Mlinzi wake (Bodyguard), Mke wa Mchungaji wake, Wake wa Mawaziri kadhaa wa Nchi hiyo, Mke wa Mjomba wake ambaye ni Mjamzito, Marafiki 15 wa Mdogo wake wa kike na Wanawake wengine mbalimbali ambapo imeelezwa wote hao walionekana kuridhia video hizo kurekodiwa.

Ebang Engonga ni Mkurugenzi Mkuu Shirika la ANIF ambalo ni Shirika la Kitaifa la Upelelezi wa Fedha la Equtorial Guinea linalohusika na kusimamia uchunguzi wa kifedha na kusimamia shughuli zinazolenga kudhibiti ufisadi wa kifedha Nchini humo.

Habari Nyingine Zinazofanana
- Guinea: Kigogo anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati
Ebang ambaye ni Baba wa Familia ya Watoto sita, tayari amekamatwa kwa kosa la kujirekodi akiwa anafanya mapenzi na Wanawake hao ambao wengine ni Wake za Watu Mdogo Mke wa Kaka yake, Binadamu yake, Dada wa Rais wa Nchi hiyo, Mke wa Mkuu wa Ulinzi wa Rais wa Nchi hiyo, Mke wa Mwanasheria Mkuu wa Nchi hiyo na Mtoto wa Mkuu wa Jeshi la Polisi la Nchi hiyo.🥺
 
Mpaka sasa hivi nimeshindwa kuelewa ndugu yangu.

Lakini, pengine tunayachukulia poa haya mambo huenda yanafanyika zaidi ya haya huko maofisini, ni kwa vile jamaa aliweka ushahidi wa video pekee ndio maana imekuja kwa mshtuko huu mkubwa!

Kiukweli nimeshangazwa mno, nimeangalia video kadhaa nimekosa majibu! Hadi nimetafakari utimamu wa akili wa jamaa kama uko sawa.
Jaman connection mhm, mi sjaona hata video moja, naona mastori tu mtandaoni
 
Kwema wakuu
Je kama kila mtu angekuwa anarecord mademu anaogonga huyu jamaa si angeonekana hamna kitu. Kuna watu washafanya hayo mambo mpaka wamechoka. Na sio mpaka nimgomge mke wa Attorney General, demu ni demu tu hata awe mama ntilie
 
Back
Top Bottom