Guinea: Kigogo Baltasar Ebang Engonga anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati

Guinea: Kigogo Baltasar Ebang Engonga anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati

Status
Not open for further replies.
Hapo ndo ujue mambo ya ndoa na uaminifu ni usanii tu.

Supposedly, jamaa ana mke na watoto. Kwa hiyo kakosa uaminifu kwa mkewe [labda kama mkewe aliridhia jamaa atoke nje].

Hao wake za watu nao wana miji yao. Lakini wamechepuka [labda kama walipewa ruhusa na wenza wao].

Si ajabu wote [jamaa na hao wazinifu wenzie] wote walikuwa wakirudi majumbani mwao na kujifanya wanawapenda sana wenza wao 🤣.

Ni usanii tu kwa kwenda mbele. Na uaminifu ni siri ya mtu moyoni mwake.

Siwezi kusema watu wote si waaminifu. Ila kwa kiasi kikubwa sana binadamu karibu wote hatuko waaminifu kikamilifu.

Ni suala la fursa tu. Endapo mtu atapata fursa ya kuchepuka na kuamini kwamba itabaki kuwa siri, naweza kusema hakuna atakayekuwa mwaminifu kivile.

Halafu kwa nini ajirekodi mavideo yote hayo? Au ni mcheza ngono asiyelipwa [amateur porn star]?

Poleni mlio kwenye ndoa 🤣.

The whole thing looks like a hot steaming mess.
 
Kwanini? Huyo jamaa sio shoga, angekuwa shoga angetongoza mashoga wenzie na angewarecord hivyo hivyo!

Fortunately/unfotunately anatongoza wanawake na wanawake wanamkubalia, Hii lawama ya upande mmoja inatoka wapi?
Kwa nini ukubali kutongozwa na kupigwa miti wakati unajua tayari umeolewa?

Tena hao wanawake wengine si kwamba ni maskini sana au wanashida ya hela, Hapana wameridhia kabisa.

Maana mwenye maamuzi ya mwisho ya kutoa mbususu ni mwanamke wala si mwanaume.


Huyo jamaa hajabakwa, mtu wa hovyo nambari one ni yeye, namba zinazofuata ni hao wa hovyo wenzie.
P
 
Kwa nini ukubali kutongozwa na kupigwa miti wakati unajua tayari umeolewa?

Tena hao wanawake wengine si kwamba ni maskini sana au wanashida ya hela, Hapana wameridhia kabisa.

Maana mwenye maamuzi ya mwisho ya kutoa mbususu ni mwanamke wala si mwanaume.



P
💯%.

Mwanamke uliyeolewa unatongozwaje halafu unakubali?

Huna uwezo wa kusema hapana?
 
Angalia tena uandishi katika paragrah ya kingereza lilipotumika neno 'cousin'.

Panctuation mark comma(,) ilivyotumika baada ya neno 'cousin' kisha kufuatiwa na neno 'and' inamuondoa kwenye ubinamu wa mke wa Rais na kubaki kuwa ni binamu wa mzinzi.

Kwa hiyo sikubaliani na fasiri ya kiswahili ya mtoa mada.
Ukiendeleza ubishi nitakusakizia wanajamvi watuamue.
Huelewi kitu, wenzako ikiletwa habari mpya JF kwanza tunahakiki kwenye mtandao.

Naamini hiki kisanga cha huko wewe hata huelewi kwanini na kimeanzia wapi.

Hakikuzuka tu.
 
Teknolojia ni kitu ya kuogopa sana, Na kuwa nayo makini sana.

Ila Wanawake ni viumbe vya hovyo sanaa.

Natafuta Ajira na mockers njoo muone viumbe wenu huku.
Ukiona mwanaume anakosea kitu kimoja , ujue kitu hichohicho mwanamke anaweza kukosea mara 10 tena asijue kama ni kosa, na ndio iliandikwa mwanamke mpumbavu huivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe, means wanaochangia hata mahusiano mengi kuvunjika ni wanawake, kwa upumbavu wao
 
Utetezi 😂
20241105_044838.jpg
 
Hapo ndo ujue mambo ya ndoa na uaminifu ni usanii tu.

Supposedly, jamaa ana mke na watoto. Kwa hiyo kakosa uaminifu kwa mkewe [labda kama mkewe aliridhia jamaa atoke nje].

Hao wake za watu nao wana miji yao. Lakini wamechepuka [labda kama walipewa ruhusa na wenza wao].

Si ajabu wote [jamaa na hao wazinifu wenzie] wote walikuwa wakirudi majumbani mwao na kujifanya wanawapenda sana wenza wao 🤣.

Ni usanii tu kwa kwenda mbele. Na uaminifu ni siri ya mtu moyoni mwake.

Siwezi kusema watu wote si waaminifu. Ila kwa kiasi kikubwa sana binadamu karibu wote hatuko waaminifu kikamilifu.

Ni suala la fursa tu. Endapo mtu atapata fursa ya kuchepuka na kuamini kwamba itabaki kuwa siri, naweza kusema hakuna atakayekuwa mwaminifu kivile.

Halafu kwa nini ajirekodi mavideo yote hayo? Au ni mcheza ngono asiyelipwa [amateur porn star]?

Poleni mlio kwenye ndoa 🤣.

The whole thing looks like a hot steaming mess.
Kwa upwiru alionao hakuna namna mke wake alikuwa anaweza kumtosheleza. Nahisi hata mke alikuwa anaridhia tu kuwa jamaa aachwe tu acheze mechi za ugenini. Mke bila kusaidiwa angeharibiwa kizazi na lile boro
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom