Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Dah kitu la mb 200+ licheki twita bana š¤£Ni pm basi madam... Tugawane dhambi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah kitu la mb 200+ licheki twita bana š¤£Ni pm basi madam... Tugawane dhambi
Dah sawa bwanaDah kitu la mb 200+ licheki twita bana š¤£
Jamaa ni wale wa kupiga kimoja chali. Hana maajabu kwenye izo mbanga zake zilizovujaAna kiuno kibovu shoo zake nyingi yeye ndio kapigwa shoo ana nguvu hafifu sana za kusukuma boooa boa boooaaa
Unaomba mzigo, una nn? Mwenzako ana cheo, ana pesa. Kapuku omba mzigo km hutoonekana unapiga kelele tu.Nilijokifunza kwa mwamba kuomba mzigo kwa mwanamke ni uoga wako.
Yaani kwa ujasiri wa mwamba 80% yetu wanaume ni madomo zege
Kosa ni kujua kwamba wewe umeolewa na ni mke wa mtu, Tena una wadhifa mkubwa kabisa na hadhi kubwa, Lakini unakubali kuliwa na kurekodiwa.Huwa mnatongoza ili mkataliwe ? Wote wakiwakataa mtamtomb*a nani? Humo kuna wanawake hawajaolewa nao kosa lao ni
lipi?
š
Ndio mimi nasema: Kwanini mnamtoa huyo ME kwenye makosa?Kosa ni kujua kwamba wewe umeolewa na ni mke wa mtu, Tena una wadhifa mkubwa kabisa na hadhi kubwa, Lakini unakubali kuliwa na kurekodiwa.
Unajua afadhali Malaya anayeliwa kutokana na ugumu wa maisha.
Kuliko mke wa mtu anayekubali kuliwa na kurekodiwa.
Mimi ni Nani mkuu?Ni mpelelezi mkuu wa masuala ya kifedha wa hiyo nchi, kazaliwa mwaka 1970, nitajiri sana. Kuna mdada kasema ilipewa USD 10,000 cash ili aliwe ofisini juu ya meza.
.je wewe ukipewa USD 10,000 cash ili uliwe utakataa? š¤£
Mi nakataa kurekodiwa mkuuNi mpelelezi mkuu wa masuala ya kifedha wa hiyo nchi, kazaliwa mwaka 1970, nitajiri sana. Kuna mdada kasema ilipewa USD 10,000 cash ili aliwe ofisini juu ya meza.
.je wewe ukipewa USD 10,000 cash ili uliwe utakataa? š¤£
Huyo ME hana makosa. Mwenye maamuzi ya mwisho kukubali au kukataa kutongozwa ni hao KE.Ndio mimi nasema: Kwanini mnamtoa huyo ME kwenye makosa?
Hivi hao wanawake wangekataa kumpa mzigo angefanikiwa kuwala?Mkosaji namba moja ni yeye, mnaandika as if yeye hana makosa, Ni mtumishi wa Umma, ni mume, ni baba wa familiaā¦ā¦
Kuna tofauti kubwa sana ya Malaya wa mtaani wasio na ndoa, familia au watoto.My point: Wanaume mkijitoa katika makosa haya you are not helping.. Umalaya hauwezi isha kama wanaume malaya wapo, wanaume malaya wanatengeneza kundi la wanawake malaya.
Mwenye maamuzi ya kukubali au kukataa kutongozwa ni nani?Acheni kutongoza tuone kama KE watafanyana wenyewe.
Mwenye maamuzi ya mwisho kwenye uzinzi ni mwanamke.Jamii haisaidiki kama likitokea tukio la uzinzi mwanaume anasifiwa mwanamke ndio anaadhibiwa.
USD10,000 sio pesa ya kitoto š¤£š¤£Mi nakataa kurekodiwa mkuu
Yuko segerea ya kwao Equatorial Guinea,amin amin nakwambia atafia jela,alikuwa na makosa ya rushwa,alikuwa chini ya uchunguzi sasa wanaotakiwa kumhukumu kawagongea wake zao,watamfunga kwa makosa ya rushwa kwenye makaratasi ila kiuhalusia kula wake wa wakubwa kimasiara ndio kutamponzaNimeiona, huyu mwamba anapatikana wapi kwani.....š
Sawa,nimeku dmSina mme ndo maana nimetamani.
Hapo ndo nilipochoka kabisaaSasa alikuwa akigonga wake za watu pamoja na ndugu zake huku akijirekodi, hii ni kuonesha jeuri ya madaraka ama nini sijui?
Halafu alikua anagonga kwa hasira kama vile anakomoa..... Huyo alikua kwenye revengeYuko segerea ya kwao Equatorial Guinea,amin amin nakwambia atafia jela,alikuwa na makosa ya rushwa,alikuwa chini ya uchunguzi sasa wanaotakiwa kumhukumu kawagongea wake zao,watamfunga kwa makosa ya rushwa kwenye makaratasi ila kiuhalusia kula wake wa wakubwa kimasiara ndio kutamponza
š¤£Kweli Kila mtu na hulka yake
Sisi tusiokunywa pombe, Mungu atusaidie šš
Huwezi kushindana na sehemu uliyotokea,hilo hakulijuaHalafu alikua anagonga kwa hasira kama vile anakomoa..... Huyo alikua kwenye revenge