Guinea: Kigogo Baltasar Ebang Engonga anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati

Guinea: Kigogo Baltasar Ebang Engonga anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati

Status
Not open for further replies.
Ana kiuno kibovu shoo zake nyingi yeye ndio kapigwa shoo ana nguvu hafifu sana za kusukuma boooa boa boooaaa
Jamaa ni wale wa kupiga kimoja chali. Hana maajabu kwenye izo mbanga zake zilizovuja
 
Nilijokifunza kwa mwamba kuomba mzigo kwa mwanamke ni uoga wako.

Yaani kwa ujasiri wa mwamba 80% yetu wanaume ni madomo zege
Unaomba mzigo, una nn? Mwenzako ana cheo, ana pesa. Kapuku omba mzigo km hutoonekana unapiga kelele tu.
 
Huwa mnatongoza ili mkataliwe ? Wote wakiwakataa mtamtomb*a nani? Humo kuna wanawake hawajaolewa nao kosa lao ni
lipi?

šŸ˜‚
Kosa ni kujua kwamba wewe umeolewa na ni mke wa mtu, Tena una wadhifa mkubwa kabisa na hadhi kubwa, Lakini unakubali kuliwa na kurekodiwa.

Unajua afadhali Malaya anayeliwa kutokana na ugumu wa maisha.

Kuliko mke wa mtu anayekubali kuliwa na kurekodiwa.
 
Kosa ni kujua kwamba wewe umeolewa na ni mke wa mtu, Tena una wadhifa mkubwa kabisa na hadhi kubwa, Lakini unakubali kuliwa na kurekodiwa.

Unajua afadhali Malaya anayeliwa kutokana na ugumu wa maisha.

Kuliko mke wa mtu anayekubali kuliwa na kurekodiwa.
Ndio mimi nasema: Kwanini mnamtoa huyo ME kwenye makosa?

Mkosaji namba moja ni yeye, mnaandika as if yeye hana makosa, Ni mtumishi wa Umma, ni mume, ni baba wa familia……

My point: Wanaume mkijitoa katika makosa haya you are not helping.. Umalaya hauwezi isha kama wanaume malaya wapo, wanaume malaya wanatengeneza kundi la wanawake malaya.

Acheni kutongoza tuone kama KE watafanyana wenyewe.

Jamii haisaidiki kama likitokea tukio la uzinzi mwanaume anasifiwa mwanamke ndio anaadhibiwa.
 
Ndio mimi nasema: Kwanini mnamtoa huyo ME kwenye makosa?
Huyo ME hana makosa. Mwenye maamuzi ya mwisho kukubali au kukataa kutongozwa ni hao KE.

Kwa nini utongozwe na ukubali kuliwa wakati unajua kabisa wewe ni mke wa mtu na umeolewa?
Mkosaji namba moja ni yeye, mnaandika as if yeye hana makosa, Ni mtumishi wa Umma, ni mume, ni baba wa familia……
Hivi hao wanawake wangekataa kumpa mzigo angefanikiwa kuwala?

Si waliridhia kabisa kwa maamuzi yao kabisa na tamaa zao?

Sasa huyo mwanaume ana kosa gani hapo?
My point: Wanaume mkijitoa katika makosa haya you are not helping.. Umalaya hauwezi isha kama wanaume malaya wapo, wanaume malaya wanatengeneza kundi la wanawake malaya.
Kuna tofauti kubwa sana ya Malaya wa mtaani wasio na ndoa, familia au watoto.

Hao hata wakisex na kuliwa ni haki yao ya kikatiba na uhuru wao. Maana hawana impact yeyote kwa mtu yeyote.

Ila mtu umeolewa kabisa na unajua umeolewa una familia na watoto kwa nini unakubali kuliwa?
Acheni kutongoza tuone kama KE watafanyana wenyewe.
Mwenye maamuzi ya kukubali au kukataa kutongozwa ni nani?

Mwanaume au mwanamke?
Jamii haisaidiki kama likitokea tukio la uzinzi mwanaume anasifiwa mwanamke ndio anaadhibiwa.
Mwenye maamuzi ya mwisho kwenye uzinzi ni mwanamke.

Ukikataa kutongozwa na kutoa mzigo, Labda huyo mwanaume aamue kukubaka ndio atakuwa na makosa.

Tofauti na hapo makosa ni ya mwanamke.
 
Mi nakataa kurekodiwa mkuu
USD10,000 sio pesa ya kitoto 🤣🤣


Pia kuna blog nyingine(sina, uhakika na taarifa yao) inadaiwa kuna mdada anasema alipewa USD 40,000 cash ili aliwe chapchap ofisini 🤣


Huyu mzee anaonekana ni tajiri sana na ana penda k.


Je angekupa USD40,000 cash akukule chapchap ofisini ungekataaa? 🤣🤣


Geuza USD40,000 kuwa TSh kwanza 🤣
 
Nimeiona, huyu mwamba anapatikana wapi kwani.....šŸ˜Ž
Yuko segerea ya kwao Equatorial Guinea,amin amin nakwambia atafia jela,alikuwa na makosa ya rushwa,alikuwa chini ya uchunguzi sasa wanaotakiwa kumhukumu kawagongea wake zao,watamfunga kwa makosa ya rushwa kwenye makaratasi ila kiuhalusia kula wake wa wakubwa kimasiara ndio kutamponza
 
Yuko segerea ya kwao Equatorial Guinea,amin amin nakwambia atafia jela,alikuwa na makosa ya rushwa,alikuwa chini ya uchunguzi sasa wanaotakiwa kumhukumu kawagongea wake zao,watamfunga kwa makosa ya rushwa kwenye makaratasi ila kiuhalusia kula wake wa wakubwa kimasiara ndio kutamponza
Halafu alikua anagonga kwa hasira kama vile anakomoa..... Huyo alikua kwenye revenge
 
Ebang ambaye ni Baba wa Familia ya Watoto sita, tayari amekamatwa kwa kosa la kujirekodi akiwa anafanya mapenzi na Wanawake hao ambao wengine ni Wake za Watu Mdogo Mke wa Kaka yake, Binadamu yake, Dada wa Rais wa Nchi hiyo, Mke wa Mkuu wa Ulinzi wa Rais wa Nchi hiyo, Mke wa Mwanasheria Mkuu wa Nchi hiyo na Mtoto wa Mkuu wa Jeshi la Polisi la Nchi hiyo.

Wengine walioonekana wakifanya mapenzi na Ebang kwenye video hizo ni Mke wa Mlinzi wake (Bodyguard), Mke wa Mchungaji wake, Wake wa Mawaziri kadhaa wa Nchi hiyo, Mke wa Mjomba wake ambaye ni Mjamzito, Marafiki 15 wa Mdogo wake wa kike na Wanawake wengine mbalimbali ambapo imeelezwa wote hao walionekana kuridhia video hizo kurekodiwa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom