Guinea: Kigogo Baltasar Ebang Engonga anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati

Guinea: Kigogo Baltasar Ebang Engonga anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati

Status
Not open for further replies.
Sijazitazama hizo video na wala sizitafuti BUT nimesoma story ya huyu bazazi na hao wanawake aliowala. Sikubaliani na mleta uzi kwamba eti mwanamke anapenda mwanaume mwenye cheo au na mwanaume mwenye pesa; kwa muktadha wa tukio hili, wanawake almost wote aliowala waume zao wana status kubwa kuliko yeye, and I assume hata pesa wanazo nyingi kuliko jamaa. Kapiga mke wa IGP wa kule, amekula mke wa AG wa kule, amekula mkuu wa walinzi wa rais (kwa hapa kwetu we could say, kamla mke wa mkurugenzi wa TISS) amekula wake wa mawaziri wengi tu, kapita na dada wa Rais; hao wote wanatoka kwenye familia bora bro, huwezi kusema walifata pesa zake, na usikute hakuna kati yao hata 1 aliyepewa pesa za huduma; labda yule mke wa mjomba wake, cousin wake labda hao ndio hatujui status za waume/baba zao BUT again, huyu jamaa inasemekana ni mtoto wa Rais mstaafu wa nchi yake so again I'm assuming hata hao ndugu zake aliowala nao ni familia bora, mboga saba mezani always. Anyway, mtazamo wangu. Kuna kitu zaidi ya pesa na umaarufu pale, either jamaa zao hawapigi machine vizuri or zile matrix za dunia zimehusika
Wanawake nao wana matamanio yao kama wanaume tu tulivyo.

Fahari unayoipata kupita na pisi kali za kutosha inawezekana ikawa sawa kabisa na fahari wanayoipata wao kupitiwa na high status guys.

Kwahiyo ni kweli inawezekana shekel haikua sababu bt they enjoyed the thrill of getting laid by another high status dude.
 
Mkuu, maelezo ya huyo manzi yanaweza kuwa kweli kwa kiasi fulani tu, ila siyo ukweli wote.

Attention bila pesa ni kelele, usumbufu, kero..
Yaani ni kama supu ya pweza bila pilipili, utaishia kutapika tu
Muda umefika sisi wanaume, tuwape nafasi wanawake waseme wanachotaka 🤣
 
Wanawake nao wana matamanio yao kama wanaume tu tulivyo.

Fahari unayoipata kupita na pisi kali za kutosha inawezekana ikawa sawa kabisa na fahari wanayoipata wao kupitiwa na high status guys.

Kwahiyo ni kweli inawezekana shekel haikua sababu bt they enjoyed the thrill of getting laid by another high status dude.
Sahihi sana, nilikua najaribu kua kinyume na mtazamo wa mleta uzi kwamba mapenzi yale yalikua yamehamasishwa na pesa or cheo; % kubwa ya wale wanawake wanaotajwa waume zao wanazo pesa za kutosha na wana vyeo as well. Kuna mmoja ka katisha ziara yake from Dubai, mkewe kamnunulia gari 2, means the guy is not a poor man. Well, ila kuna watu hawaogopi aise, imagine unapita na mke wa IGP, AG na mkurugenzi wa usalama wa taifa plus mchungaji wake, hu ujasiri sio wa kawaida
 
Pesa si anazipata kwa mme wake na mshahara wake.

Kiasili kila mwanamke anahitaji vitu 4 kwa wakati mmoja. Akikosa hata kimoja, atakitafuta nje.

Sababu moja wapo kati ya hizi, mwanamke anaweza kuchepuka:-

1. Financial support (Mpe Pesa na matunzo)
2. Good sex (mtombe vizuri na alidhike)
3. Attention (mfano:- simu za mara kwa mara kumjulia hari, msifie, mpe zawadi kama pipi, mchombeze e.t.c)
4. Quality time (mtoe out, fanya naye kazi za nyumbani, kaa naye na msikilize, yaani mpe muda)

Ukiweza kumpa hivi vitu 4 mwanamke kwa wakati mmoja, akichepuka lazima ajilaumu sana na ni ngumu mno kutoka.

Assumption ya huyo manzi ni kwamba wanawake ambao mwamba kawala wana 1, 2 na 4 ila wamekosa 3.

Na hiyo namba 3 ndiyo inayo wasubua wanawake ambao wako stable financially kama mashangazi, wake wa vigogo, watoto wa kishua e.t.c.

Huyo manzi yuko sahihi.
Huyo mwanamke inabidi apewe platform nzuri ili afunguke zaidi.
 
Media za Bongo kwa kujadili ujinga na udaku hazijambo. Haya ni mambo ya kupuuzwa kabisa hata watoto wetu wasiyasikie.
 
Wanawake ni viumbe wenye unafiki wa hali ya juu. Kila siku kwenye mitandao ya kijamii wanasifia wanaume weusi, warefu, na wenye mvuto (‘black, tall, and handsome’), huku wakiwakosoa wanaume wenye ngozi nyeupe kwa kila aina ya kashfa.

Lakini sasa ona yaliyotokea huko Guinea: yule jamaa Baltazar ni white na handsome, na amefanikiwa kutembea na wanawake wengi wenye hadhi – na hilo bila kutumia nguvu au mbinu yoyote ya kulazimisha nauhakika moja ya sababu iliyokuwa inawavutia wanawake hao ni white wake na handsome wake.

Nahakika kabisa kama angekuwa mweusi, asilimia 50 ya wanawake aliowapiga nao wangemkataa.

Sitakaa tena kuwa na imani na hivi viumbe wanawake wa Kiafrika. Kwa sababu wao ndio hao hao wapo bize wanaotumia vipodozi na mbinu zote kutafuta weupe, huku wakitupigia sifa wanaume ‘black, tall, and handsome.’
 
Sahihi sana, nilikua najaribu kua kinyume na mtazamo wa mleta uzi kwamba mapenzi yale yalikua yamehamasishwa na pesa or cheo; % kubwa ya wale wanawake wanaotajwa waume zao wanazo pesa za kutosha na wana vyeo as well. Kuna mmoja ka katisha ziara yake from Dubai, mkewe kamnunulia gari 2, means the guy is not a poor man. Well, ila kuna watu hawaogopi aise, imagine unapita na mke wa IGP, AG na mkurugenzi wa usalama wa taifa plus mchungaji wake, hu ujasiri sio wa kawaida
Uko sahihi mkuu ila pale unapokuwa na mafanikio makubwa ndiopo ongezeko la probability la kupata wanawake wengi linakuwa kubwa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom