Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana mkuu lwa kutufumbua machoWasiofahamu kitu wanafikiri gwajima ni mchungaji Tu. Huyu jamaa anajua Siri nyingi za nchi hii.
Kipindi kile anaitwa kuhojiwa na kamati ya nidhamu ya CCM alikataa kutumia vipaza sauti na alitumia kiti chake kutoka nyumbani kwake
Tuambie na sisi mkuu tujueWasaka tonge tuu hawa hamna lolote ninaishi kwenye jamii ya kichaga nawajua vizuri sana
Tulia watu wako vitaniNaona channel zinaingiliana hapo. Naona eneo lakiroho wanapigiwa chapuo wanasiasa
Mna mu overrate sana huyu jamaaUnaambiwa katika watu waliowekeza kwenye inteligensia kwa kiwango cha juu ni Gwajima na Marehemu mzee mengi. Information is for sell brother
Usimchukulie poa huyo jamaa, kichwani yupo smart! Ana PhD ya kusoma na sio ya kupewa na ana noti hizi mabilioni kawaida..Mna mu overrate sana huyu jamaa
Usimchukulie poa huyo jamaa, kichwani yupo smart! Ana PhD ya kusoma na sio ya kupewa na ana noti hizi mabilioni kawaida..
Dharura gani tena kati ya NBC na Msama?Naona NBC wamemuita Msama kwa dharura hapo Moshi leo
Wajuvi mje mtujuzeBwana Tundu Lissu alidokezwa na Gwajima awe makini kuwa kesho yake atapigwa risasi lakini alipuuza, sijui Gwajima alijuaje.
Wataalam mtujuze.
🤔🤔Bwana lisu
Dah hatari tupu , na wengine kesho ya nchi hiiii ipo mikononi mwao si ndio?Unafikiri Gwajima ni WA kawaida kama wewe!!?
Kuna watu wanaijua kesho ya nchi hii mkuu!!