DOKEZO Habari hii ikufikie Waziri wa Afya, ubabe wa Hospitali ya Muhimbili utaniua

DOKEZO Habari hii ikufikie Waziri wa Afya, ubabe wa Hospitali ya Muhimbili utaniua

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kitengo cha ICT naona wana watu wendawazimu.

Kufanya Uploading ya data za kwenye CD kuziingiza kwenye mfumo ni kuijaza DATABASE bila sababu ya msingi. Kwanini Daktari asiwe na files zake yeye mwenyewe bila kuwa redirected na watu wengine? Kingine faragha ya Mgonjwa ipo wapi hapo? Maana IT anaona kila kitu.

Kwa upande wa pili, kwanini hizo Hospital za rufaa zisiwe na portal ya kutuma hizo data moja kwa moja kwa daktari wa Muhimbili? Dunia inatoka ktk physical devices hasa hzi storage devices kama vile CD.

Inatakiwa Ubunifu wa hali ya juu ktk hii ishu mifumo isomane.
Sure. Ila wabongo kinachotuhsribia ni njaa mingi. Kwa ushauri wako watu wa ICT watakufa njaa.
 
iko hivi wewe wapigie kule hospitali ulikopewa rufaa wambie unaomba report ya ile CD , watakutumia pdf yake afu uwape muhimbili mchezo umeisha
Ila usipofanya hivo lazima ulipie hiyo hela hapo muhimbili ya kutafsiri hiyo CD
 
Kitengo cha ICT naona wana watu wendawazimu.

Kufanya Uploading ya data za kwenye CD kuziingiza kwenye mfumo ni kuijaza DATABASE bila sababu ya msingi. Kwanini Daktari asiwe na files zake yeye mwenyewe bila kuwa redirected na watu wengine? Kingine faragha ya Mgonjwa ipo wapi hapo? Maana IT anaona kila kitu.

Kwa upande wa pili, kwanini hizo Hospital za rufaa zisiwe na portal ya kutuma hizo data moja kwa moja kwa daktari wa Muhimbili? Dunia inatoka ktk physical devices hasa hzi storage devices kama vile CD.

Inatakiwa Ubunifu wa hali ya juu ktk hii ishu mifumo isomane.
Mkuu Kufanya Upload ya Data ni muhimu sana Vinginevyo kama asipokubali itabidi wamcharge Pesa nyingine ya kufanya Kipimo kingine cha CT-scan...
Kwanini kwa sababu kapewa Rufaa Kwenda muhimbili na bahati nzuri kaenda akiwa na CD (Hajaiacha Nyumbani)..

Ili Daktari aweze kufanya Uchunguzi na kufanya Maamuzi kwenye mfumo wa Tiba ni lazma Data ziingie kwenye mfumo endapo Tatzo litakuwa kubwa au linahusu kitengo kingine aweze Kupass Kwenda kitengo husika ndani ya mfumo wa matibabu ..Hivyo kufanya Registration ya Matibabu ikiwemo kuandika historia yake,Vipimo na uchunguzi uliofnywa kwa Taarifa za kidaktari ni muhimu kuliko chochote kile..
Cha msingi kama ataweza aongee na ICT hapo waiupload chap au afanye njia yoyote...

Mifumo kwa sasa ya utibuji Afya haisomani....
Hilo swala lipo kwenye mchakato Though Kuna pilot kama Tatu zilishafeli kutokana na ufinyu wa mtandao na vitendea kazi
 
Mkuu,
Kwanza pole sana kwa changamoto unazozipitia. Nakuelewa mimi. Kikawaida,japo maelezo hapa ni kama hayajitoshelezi,ila kuna haya:
1. Kiukweli mpaka CT-Scan, ni kwamba kuna tatizo.
2. Ili ifanyike hiyo CT-Scan au vipimo vya mashine hizo, lazima kuna daktari aliyekuandikia kufanya hivyo vipimo.
Mara zote iwe hiyo X-ray, Iwe CT-Scan, iwe MRI, Cd zinazotolewa huambatana na karatasi inayoripoti waliokupima wameona nini.
Hawa watu wanaokupima,ni watumiaji tu wa mashine hizo,hawawezi kamwe kuintapreti walichokiona na kumwambia mgonjwa. Wanaheshimu sana maagizo. Hivyo,unapopewa majibu,yanakuwa yamefungwa na hurudishwa kwa daktari alieomba vipimo hivyo tu.
Ikitokea hayupo karibu,huomba anaemfahamu mwenye uwezo wa kusoma na kuelewa.
Nadhani kutoka huko ulikozipata,iwe praiveti au hospitali ya serikali kwenda Muhimbili,ulipewa referal na ulitakiwa umuone either doctor fulani au uende kitengo furani na majibu yako,wakutengee doctor wa kuyasoma na kukusaidia.
Kama uliondoka na CD tu,bado unakosa ripoti inayoelezea ugonjwa wako,kwa sababu wengine akishasoma ile ripoti ataelewa tatizo lako hata asipocheza hiyo CD.
Kingine nachokiona hapa,hutaki kukili lakini ulikosea. Na kamwe usirudie au na mwingine asijaribu.
Wewe umesema kwamba hiyo CD kwenye computer inacheza. Ni kweli.
Ulijuaje inacheza?
Kwa sababu inapotoka sehemu kwenda sehemu nyingine,licha ya kuwa labda aliyekuandikia mara ya kwanza aliitazama,hawezi kukupa wazi wazi kuipeleka bila kufungwa,hiyo ni siri ya mgonjwa na ajuae ni daktari tu. Labda yeye akwambie mwenyewe. Sasa,kuna uwezekano pia wa wao kuisusia baada ya kuona imeletwa katika mazingira yasiyo salama. Kama ulifungua,ulitakiwa uombe radhi na uahidi kutorudia.
Maana akisema ulipewa uwaletee,ukapeleka kwingine,ana point.

Harafu,kwa jazba ulonayo hapa,inaoekana huenda ulifika ukawagombeza. Na wale jamaa wana akili mbovu asikwambie mtu. Japo hupaswi kubembeleza tiba,inapobidi huna namna.
Mi nahisi haya makosa mawili ulifanya.
Japo sikumbuki vizuri,si lazima watu wa ICT waupload ndo aicheze,kama ana computer inayoisoma ni rahisi.
Changamoto ipo tu kwenye hizo gharama.
Nadhani ungeweka wazi kitengo,na waliotakiwa wafanye hivyo.
JF ina kila aina ya watu na si kwamba hili hawalioni. We elezea shida bila kupindisha maneno,nakuhakikishia utapata msaada tena haraka sana. Na kama ni kosa ulifanya,we jishushe uwe mkweli,wengine ni watu wazima wanaelewa ujana na maumivu,utasaidiwa
Wewe ni mgonjwa ujiwezi wala hujui kama kuna vifungashio vingine vinatakiwa viambatanishwe unapofanyiwa transfer...au umesahau wengine wanafanyiwa transfer wakiwa hawajiwezi na wanaoshughulikia wanakuwa hawana uelewa wowote wa hizo nyaraka, je huko Mhimbili hawana uwezo wa kuwasiliana na Hospitali iliyotoa transfer ili missing documents zitumwe? Mbona taasisi zingine wanafanya mawasiliano?
Yaani kwa akili yako timamu unadiriki kumlaumu mgonjwa kuwa amesahau nyaraka ya hospitali kwenda hospitali nyingine!!! Badala ya kutoa lawama kuwa amesahau kutumia dawa kwa wakati.

Acha kutetea upumbavu
 
iko hivi wewe wapigie kule hospitali ulikopewa rufaa wambie unaomba report ya ile CD , watakutumia pdf yake afu uwape muhimbili mchezo umeisha
Ila usipofanya hivo lazima ulipie hiyo hela hapo muhimbili ya kutafsiri hiyo CD
Hiyo niliwaomba wakanipa nayo nikauwasilisha kwa dakitari cha ajabu bado wanataka iingizwe kwenye mfumo wa Muhimbili! Na uzuri hiyo CD iko kwenye mfumo wa DVD na ni rahisi kufunguka kwenye DVD yoyote.
 
Hili tatizo si la dakitari, ni kanuni ya Muhimbili kujipatia pesa za bure.
Na kwa nini wizara haitoi mwangozo? Kwa nini seikari haifanyi unified system ya nchi nzima kwa maswala haya? Basi wazibinafsishe hospitali zote ili tujue na kufanya maamuzi magumu.
 
Mkuu Kufanya Upload ya Data ni muhimu sana Vinginevyo kama asipokubali itabidi wamcharge Pesa nyingine ya kufanya Kipimo kingine cha CT-scan...
Kwanini kwa sababu kapewa Rufaa Kwenda muhimbili na bahati nzuri kaenda akiwa na CD (Hajaiacha Nyumbani)..

Ili Daktari aweze kufanya Uchunguzi na kufanya Maamuzi kwenye mfumo wa Tiba ni lazma Data ziingie kwenye mfumo endapo Tatzo litakuwa kubwa au linahusu kitengo kingine aweze Kupass Kwenda kitengo husika ndani ya mfumo wa matibabu ..Hivyo kufanya Registration ya Matibabu ikiwemo kuandika historia yake,Vipimo na uchunguzi uliofnywa kwa Taarifa za kidaktari ni muhimu kuliko chochote kile..
Cha msingi kama ataweza aongee na ICT hapo waiupload chap au afanye njia yoyote...

Mifumo kwa sasa ya utibuji Afya haisomani....
Hilo swala lipo kwenye mchakato Though Kuna pilot kama Tatu zilishafeli kutokana na ufinyu wa mtandao na vitendea kazi
Naomba wote mnielewe, nilichopeleka Muhimbili ni hiyo CD iliyo kwenye mfumo wa DVD na ripoti iliyochapishwa ikionesha kinachoonekana kwenye hiyo picha ya DVD, hapa nimekamilisha kila kitu pasipo na shaka, tuanzie hapo.
 
Mkuu Kufanya Upload ya Data ni muhimu sana Vinginevyo kama asipokubali itabidi wamcharge Pesa nyingine ya kufanya Kipimo kingine cha CT-scan...
Kwanini kwa sababu kapewa Rufaa Kwenda muhimbili na bahati nzuri kaenda akiwa na CD (Hajaiacha Nyumbani)..

Ili Daktari aweze kufanya Uchunguzi na kufanya Maamuzi kwenye mfumo wa Tiba ni lazma Data ziingie kwenye mfumo endapo Tatzo litakuwa kubwa au linahusu kitengo kingine aweze Kupass Kwenda kitengo husika ndani ya mfumo wa matibabu ..Hivyo kufanya Registration ya Matibabu ikiwemo kuandika historia yake,Vipimo na uchunguzi uliofnywa kwa Taarifa za kidaktari ni muhimu kuliko chochote kile..
Cha msingi kama ataweza aongee na ICT hapo waiupload chap au afanye njia yoyote...

Mifumo kwa sasa ya utibuji Afya haisomani....
Hilo swala lipo kwenye mchakato Though Kuna pilot kama Tatu zilishafeli kutokana na ufinyu wa mtandao na vitendea kazi
Ni DVD na inasomeka hata nikikupa wewe utaifungua, na ripoti iliyochapishwa nimewapa.
 
Kwahili nashindwa kuitetea serikali yangu chini ya chama pendwa CCM, hao ICT walipaswa mpaka muda huu wawe majobles
 
Naomba wote mnielewe, nilichopeleka Muhimbili ni hiyo CD iliyo kwenye mfumo wa DVD na ripoti iliyochapishwa ikionesha kinachoonekana kwenye hiyo picha ya DVD, hapa nimekamilisha kila kitu pasipo na shaka, tuanzie hapo.
Mkuu mimi nimekuelewa Vizuri sana na nafikir nakuelewa pia...
Ila nina Maswali kadhaa kwako!
Ulijisajili Kam mgonjwa?
Ulipeleka rufaa ili usajiliwe kwenye mfumo?
Ulilipa Pesa ya Consultation?
Ulitoa tena maelezo juu ya ugonjwa wako?

Ukinijibu maswali haya Nitaweza kukuuliza follow up Qns na baasae nitakupa mrejesho wapi ulikuwa sawa na wapi ulikosea
 
Ni DVD na inasomeka hata nikikupa wewe utaifungua, na ripoti iliyochapishwa nimewapa.
DvD mkuu nazifahamu Na najua kuzungusha Position na pia hata kuzoom na kuzoom out..
Tatizo sio kusomeka mkuu Tatizo ni utaratibu!
Ndo maana nimeuliza maswali kadhaa ili ukiyajibu nikupe jibu
 
Mkuu Kufanya Upload ya Data ni muhimu sana Vinginevyo kama asipokubali itabidi wamcharge Pesa nyingine ya kufanya Kipimo kingine cha CT-scan...
Kwanini kwa sababu kapewa Rufaa Kwenda muhimbili na bahati nzuri kaenda akiwa na CD (Hajaiacha Nyumbani)..

Ili Daktari aweze kufanya Uchunguzi na kufanya Maamuzi kwenye mfumo wa Tiba ni lazma Data ziingie kwenye mfumo endapo Tatzo litakuwa kubwa au linahusu kitengo kingine aweze Kupass Kwenda kitengo husika ndani ya mfumo wa matibabu ..Hivyo kufanya Registration ya Matibabu ikiwemo kuandika historia yake,Vipimo na uchunguzi uliofnywa kwa Taarifa za kidaktari ni muhimu kuliko chochote kile..
Cha msingi kama ataweza aongee na ICT hapo waiupload chap au afanye njia yoyote...

Mifumo kwa sasa ya utibuji Afya haisomani....
Hilo swala lipo kwenye mchakato Though Kuna pilot kama Tatu zilishafeli kutokana na ufinyu wa mtandao na vitendea kazi
Kuongea na wafanyakazi wa ICT ni hujuma dhidi ya serikali, maadam nimewasilisha CD na ripoti ya kinachoonekana ndani ya DVD sioni sababu ya mimi kulipa Sh 86,000/= kwa kitu ambacho tayari nimekwisha lipia, hatutengenezi Bongo muvi.
 
Kuongea na wafanyakazi wa ICT ni hujuma dhidi ya serikali, maadam nimewasilisha CD na ripoti ya kinachoonekana ndani ya DVD sioni sababu ya mimi kulipa Sh 86,000/= kwa kitu ambacho tayari nimekwisha lipia, hatutengenezi Bongo muvi.
Ndo nimeuliza maswali mkuu..
Ulijisajili ulipofika Hospitali nyingine?
Ulilipia pesa ya Consultation?
 
Back
Top Bottom