DOKEZO Habari hii ikufikie Waziri wa Afya, ubabe wa Hospitali ya Muhimbili utaniua

DOKEZO Habari hii ikufikie Waziri wa Afya, ubabe wa Hospitali ya Muhimbili utaniua

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kitengo cha ICT naona wana watu wendawazimu.

Kufanya Uploading ya data za kwenye CD kuziingiza kwenye mfumo ni kuijaza DATABASE bila sababu ya msingi. Kwanini Daktari asiwe na files zake yeye mwenyewe bila kuwa redirected na watu wengine? Kingine faragha ya Mgonjwa ipo wapi hapo? Maana IT anaona kila kitu.

Kwa upande wa pili, kwanini hizo Hospital za rufaa zisiwe na portal ya kutuma hizo data moja kwa moja kwa daktari wa Muhimbili? Dunia inatoka ktk physical devices hasa hzi storage devices kama vile CD.

Inatakiwa Ubunifu wa hali ya juu ktk hii ishu mifumo isomane.
Hapo kwenye kuna mjadala mrefu.
Kuwezesha mifumo kuonana ndiyo Jambo rahisi na salama.
Inatakiwa mfumo uwe na API ya kuwezesha baadhi ya data kuonekana au kusomwa kwenye mifumo mingine iliyopo remote place.

Kuruhusu kila storage device kama flash disk na CD/DVD kuingizwa ovyo inaweza kusababisha mfumo kushambuliwa na virus au hackers. Kunaweza kuwa kuna embedded malicious code ndani ya hivyo vifaa.

Jasusi uchwara tu anaweza kwenda hospital kama Muhimbili na CD yake ina Trojan horse akadukua taarifa za afya ya kiongozi nyeti aliye pata matibabu hapo.tu anaweza disrupt system yao akaomba pesa kama blackmail.
 
Ishu ni kwamba kwanini DAKTARI asiweze ku_upload yeye mpk Mgonjwa aende kwa mtu wa ICT?

Kingine.. unavyosema ufinyu wa Mtandao unamaanisha nini exactly..?
Kama wewe ni mtu wa ICT au utaalamu wa mifumo ya Hospitali inavyofanya kazi utagundua kuwa kila mtu amepewa acces ya Huduma kadhaa..

Kwamfano wote wanaweza kutumia mfumo huo huo mmoja ila ni vigumu Mhasibu Kuona taarifa za kitabibu kwa sababu hana acces nazo..

Na ni vigumu kwa Daktari kuona Taarifa za kihasibu kwa sababu hana acces nazo labda kama atapewa acces hiyo...

Kwahiyo daktari kumtuma aende kwa ICT anaweza akawa sahihi labda pengine Wenye uwezo wa ku-Upload taarifa hiyo ni ICT na Idara ya Mionzi (Radiology) ....lakini kumbuka Idara ya Mionzi hawawezi ku-Upload Taarifa ambayo hawakuifanyia kzi kwa hiyo inabki chance moja ambayo ni ICT pekee...
So from there nahisi wako sahihi .....

Ufinyu wa mtandao

Serkali kushirikiana na PS3 walianzisha mifumo ya Kiserkali ya Wagonjwa Na pilot yao.ilikuwa mifumo yote iwe Countrywide ...
Yaani mimi naweza kumtibu semini hapa nyanguruchiro hospitali halafu akaenda kesho Sujundu Hospitali Akakuta taarifa zake zote za alikotoka zipo..
Tatizo likawa kuna baadhi ya sehemu na maeneo kutokuwa n mtandao wa kutosha kuimili Mfumo wa internet kwa muda wote..
Kwahyo hospitali nyingi zinatumia Locahost (Offline Database) ya mfumo..Japo Kuna baadhi wana Tumia online lakini....ndo wale ukicika unaambiwa mtandao unasumbua ngoja ukae sawa tutakutibu 😅 ..
 
Hapo kwenye kuna mjadala mrefu.
Kuwezesha mifumo kuonana ndiyo Jambo rahisi na salama.
Inatakiwa mfumo uwe na API ya kuwezesha baadhi ya data kuonekana au kusomwa kwenye mifumo mingine iliyopo remote place.

Kuruhusu kila storage device kama flash disk na CD/DVD kuingizwa ovyo inaweza kusababisha mfumo kushambuliwa na virus au hackers. Kunaweza kuwa kuna embedded malicious code ndani ya hivyo vifaa.

Jasusi uchwara tu anaweza kwenda hospital kama Muhimbili na CD yake ina Trojan horse akadukua taarifa za afya ya kiongozi nyeti aliye pata matibabu hapo.tu anaweza disrupt system yao akaomba pesa kama blackmail.
Asante sana mkuu, nafikiri umeongea Point kubwa Sana ningekuwa karibu ungepata hata soda
CC:- Gentlemen_
 
Mbona CD dakitari ameweza kuifungua, kwahiyo unanishauri nipige picha hapo nyingine ya x-ray na ct-scan!
Ukiweza kupiga nyingine ni sawa zaidi il ukiwwza kwenda kwa ICT ni sawa pia TATIZO HILO NI LA KIMFUMO ZAIDI..
Na kumvisha Daktri bomu si sawa 😅😅
 
Waziri wa Afya ninaandika hili kwa uchungu mkubwa na majuto ya kujitawala, mimi ninaumwa nilikwenda hosipitali ya mkoa nikafanya X-Ray na Ct-Scan, kisha nikapewa rufaa kwenda Muhimbili.

Nimeenda Muhimbili tarehe 9/11/2023 nikiwa na CD ya Ct-Scan ili daktari aicheze kuona tatizo langu, daktari hawezi kuicheza mpaka niipeleke ICT eti waikopi waiweke kwenye mfumo wa Muhimbili!

Na ili waikopi ninatakiwa nilipe sh 86,000/=? Bila hivyo nikae na CD yangu nikafilie mbali, sina hela hiyo na pia sioni uhalali wa malipo hayo kwani hiyo CD ukiweka kwenye kompyuta inafunguka haihitaji uchawi wowote ule.

Mhe. Waziri walionipa CD hiyo ni hospitali ya Serikali na niligharamia hiyo Ct- Scan kwa ajili ya madaktari wajue tatizo langu na si kwa ajili yangu binafsi ya kutengeneza Bongo muvi, hiyo CD kwangu mimi ni nyangarakasha kwani sina utaalamu wa kuisoma na nimeingia hasara ya kufanya Ct- Scan.

Kwaheri kuonana ni majaliwa.
Unadhani Ummy atajali?

Kikubwa nenda TAKUKURU kachukue hela hiyo kawape
 
Waziri wa Afya ninaandika hili kwa uchungu mkubwa na majuto ya kujitawala, mimi ninaumwa nilikwenda hosipitali ya mkoa nikafanya X-Ray na Ct-Scan, kisha nikapewa rufaa kwenda Muhimbili.

Nimeenda Muhimbili tarehe 9/11/2023 nikiwa na CD ya Ct-Scan ili daktari aicheze kuona tatizo langu, daktari hawezi kuicheza mpaka niipeleke ICT eti waikopi waiweke kwenye mfumo wa Muhimbili!

Na ili waikopi ninatakiwa nilipe sh 86,000/=? Bila hivyo nikae na CD yangu nikafilie mbali, sina hela hiyo na pia sioni uhalali wa malipo hayo kwani hiyo CD ukiweka kwenye kompyuta inafunguka haihitaji uchawi wowote ule.

Mhe. Waziri walionipa CD hiyo ni hospitali ya Serikali na niligharamia hiyo Ct- Scan kwa ajili ya madaktari wajue tatizo langu na si kwa ajili yangu binafsi ya kutengeneza Bongo muvi, hiyo CD kwangu mimi ni nyangarakasha kwani sina utaalamu wa kuisoma na nimeingia hasara ya kufanya Ct- Scan.

Kwaheri kuonana ni majaliwa.
Hivi kumbe hospitali ya Muhimbili ni wapuuzi kiasi hiki? Hiyo 86,000 nenda tu ukailipe kule Regence au TMJ waicheze hiyo CD na kukupa majawabu bila mizengwe ikiwa hawo wapuuzi wa Muhimbili wameamua kukuchinjia baharini ufe wafurahi. Hii nchi ina midokta ya ovyo sana. Kwanza hao wapumbavu walioshindwa kukusaidia shida yako ungewapiga picha ili zimfikie Waziri wa Afya ashughulike nao.

Haya sasa ndio matatizo ya kushughulikia; sio kuwashusha walimu vyeo kwa kucheza nyimbo za ngono za Zuchu ambazo BASATA wameruhusu ziingie mtaani. Nchi ya kijinga sana hii. Inasikitisha kuona raia wanakufa kwa magonjwa yanayotibika bila sababu za msingi.
 
Naomba wote mnielewe, nilichopeleka Muhimbili ni hiyo CD iliyo kwenye mfumo wa DVD na ripoti iliyochapishwa ikionesha kinachoonekana kwenye hiyo picha ya DVD, hapa nimekamilisha kila kitu pasipo na shaka, tuanzie hapo.
Sasa mbona tayari tatizo limekwisha? Kwanini sasa hawo wapuuzi wanaendelea kukuzungusha au wanataka ufe wafurahi?
 
Komaa.:
1. Hospitali haina jukumu la kufatilia majibu ulopewa ulete. Ni wajibu wako.
2. Huruhusiwi kutoa taarifa kwa wasiohusika. Na inaonekana alifanya hilo. Bora angekiri kwamba kiutunduutundu alitaka kuona kilichomo.
Niliposema kasahau ni wapi? Na kama kasahau,kasahau kwake haijabaki sospitali.
Wauguzi hawana uelewa. Hospitali nzima walikosa mtu wa kuwaelekeza?
Jeuri zenu ndo zinazopelekea matatizo kama hayo. Kikubwa narudia,humu kuna watu wenye uwezo mkubwa wa kumsaidia akapata tiba,ila kama kibri bado kipo pale pale,nenda kamsaidie
Mkuu una matatizo. Mbona unataka kufanya presumptions na kuzitumia hizo presumptions kutoa hukumu? Acha kumzungusha mgonjwa; mpe tiba stahiki apone akalitumikie taifa. Cha kushangaza, watu wenye roho mbaya kama wewe huwa mnakuwa na maisha marefu sana.
 
Waziri wa Afya ninaandika hili kwa uchungu mkubwa na majuto ya kujitawala, mimi ninaumwa nilikwenda hosipitali ya mkoa nikafanya X-Ray na Ct-Scan, kisha nikapewa rufaa kwenda Muhimbili.

Nimeenda Muhimbili tarehe 9/11/2023 nikiwa na CD ya Ct-Scan ili daktari aicheze kuona tatizo langu, daktari hawezi kuicheza mpaka niipeleke ICT eti waikopi waiweke kwenye mfumo wa Muhimbili!

Na ili waikopi ninatakiwa nilipe sh 86,000/=? Bila hivyo nikae na CD yangu nikafilie mbali, sina hela hiyo na pia sioni uhalali wa malipo hayo kwani hiyo CD ukiweka kwenye kompyuta inafunguka haihitaji uchawi wowote ule.

Mhe. Waziri walionipa CD hiyo ni hospitali ya Serikali na niligharamia hiyo Ct- Scan kwa ajili ya madaktari wajue tatizo langu na si kwa ajili yangu binafsi ya kutengeneza Bongo muvi, hiyo CD kwangu mimi ni nyangarakasha kwani sina utaalamu wa kuisoma na nimeingia hasara ya kufanya Ct- Scan.

Kwaheri kuonana ni majaliwa.
Money first, Waziri ajitafakari, kuna mjamzito amekufa Handeni kwa kukosa 150K za operesheni ya uzazi
 
Waziri wa Afya ninaandika hili kwa uchungu mkubwa na majuto ya kujitawala, mimi ninaumwa nilikwenda hosipitali ya mkoa nikafanya X-Ray na Ct-Scan, kisha nikapewa rufaa kwenda Muhimbili.

Nimeenda Muhimbili tarehe 9/11/2023 nikiwa na CD ya Ct-Scan ili daktari aicheze kuona tatizo langu, daktari hawezi kuicheza mpaka niipeleke ICT eti waikopi waiweke kwenye mfumo wa Muhimbili!

Na ili waikopi ninatakiwa nilipe sh 86,000/=? Bila hivyo nikae na CD yangu nikafilie mbali, sina hela hiyo na pia sioni uhalali wa malipo hayo kwani hiyo CD ukiweka kwenye kompyuta inafunguka haihitaji uchawi wowote ule.

Mhe. Waziri walionipa CD hiyo ni hospitali ya Serikali na niligharamia hiyo Ct- Scan kwa ajili ya madaktari wajue tatizo langu na si kwa ajili yangu binafsi ya kutengeneza Bongo muvi, hiyo CD kwangu mimi ni nyangarakasha kwani sina utaalamu wa kuisoma na nimeingia hasara ya kufanya Ct- Scan.

Kwaheri kuonana ni majaliwa.
Money first, Waziri ajitafakari, kuna mjamzito amekufa Handeni kwa kukosa 150K za operesheni ya uzazi
 
Pole sana! Madaktari wapo radhi mtu afe kama awajapewa hongo!
Sasa kosa la daktari lipo wapi .. hospitali ina uongozi ambao ndio wameweka hayo masharti kumbuka hospitali ina mfumo wake una communicate na kuhifadhi taarifa za mgonjwa hizo zinakaa kwenye servers ... Servers zinahitaji maintanance .... Unapopiga picha pale Muhimbili costs nadhani zinakuwa included
 
Ni mambo ya ajabu sana kwa kweli.. au kwanini kusiwe na User portal ya Mgonjwa? Anaingia anaweka taarifa zake na kila kitu kumhusu kinabaki humo. Akienda ktk hosp nyingine wanalogin na kutrack historia ya matibabu yake.? Kuna mambo mengi ya kimfumo yanatakiwa yawe implemented
Mifumo haisomani..sisi bado hatujafika huko
 
iko hivi wewe wapigie kule hospitali ulikopewa rufaa wambie unaomba report ya ile CD , watakutumia pdf yake afu uwape muhimbili mchezo umeisha
Ila usipofanya hivo lazima ulipie hiyo hela hapo muhimbili ya kutafsiri hiyo CD
Dactari anatakiwa asome picha .. hatakiwi kutegemea report kutoka level ya chini
 
Waziri wa Afya ninaandika hili kwa uchungu mkubwa na majuto ya kujitawala, mimi ninaumwa nilikwenda hosipitali ya mkoa nikafanya X-Ray na Ct-Scan, kisha nikapewa rufaa kwenda Muhimbili.

Nimeenda Muhimbili tarehe 9/11/2023 nikiwa na CD ya Ct-Scan ili daktari aicheze kuona tatizo langu, daktari hawezi kuicheza mpaka niipeleke ICT eti waikopi waiweke kwenye mfumo wa Muhimbili!

Na ili waikopi ninatakiwa nilipe sh 86,000/=? Bila hivyo nikae na CD yangu nikafilie mbali, sina hela hiyo na pia sioni uhalali wa malipo hayo kwani hiyo CD ukiweka kwenye kompyuta inafunguka haihitaji uchawi wowote ule.

Mhe. Waziri walionipa CD hiyo ni hospitali ya Serikali na niligharamia hiyo Ct- Scan kwa ajili ya madaktari wajue tatizo langu na si kwa ajili yangu binafsi ya kutengeneza Bongo muvi, hiyo CD kwangu mimi ni nyangarakasha kwani sina utaalamu wa kuisoma na nimeingia hasara ya kufanya Ct- Scan.

Kwaheri kuonana ni majaliwa.
 
Tatizo hospital za umma zinapewa target ya kukusanya mapato kama Halmashauri na TRA, utashangaa unapiga X-ray Hosp A ukienda Hosp B wanataka upige tena na hiyo hawaitambui na wakati umetoka Government Hosp. Ni mambo ya kijinga sn
Mkuu hii issue imewahi kunikuta kwa mtoto niliyempeleka hospitali flani. Alifanyiwa CT scan kwa maelekezo ya daktari wa hospitali A kwa kigezo kwamba ya kwao imeharibika. Gharama zilikua kubwa na kwa uwezo wa Mungu tukalipa. Tumeleta CD daktari mwingine anasema hawezi kuisoma kwa hiyo tukarudie na akatuelekeza kwenye hospitali nyingine anayoijua yeye.

Bahati nzuri kwenye ile kuhangaika ndani ya ile ile hospitali tulikutana na daktari raia wa Kenya mwanamke, akauliza tatizo tukamuelezea A to Z. Dada aliamua kuchukua jukumu la kumtibia yule mtoto kwa kutumia CD ile ile na mtoto alifanyiwa upasuaji kuondolewa figo moja maana ilikua na shida. Huyu daktari alikua anapiga simu hadi usiku kuulizia hali ya mtoto baada ya kuruhusiwa kuondoka hospitali.

Cha kushangaza yule daktari alirudishwa kwao baada ya kufanyiwa figisu kadha wa kadha na madaktari wabongo. Maana alikua anasimamia haki. Chuki ya wabongo kwa huyu doctor nimewahi kuishuhudia live nikiwa kwenye ile wodi ya watoto.
 
Hii post ione mganga mkuu wa serikali na mkurugenzi wa hospitali ya taifa muhimbili.

Huwezi kuwa na kitu kinaitwa hospital ya taifa wakati hakiwezi kusoma taarifa kutoka hospitali za mkoa. sasa huo utaifa wamejivika wa nini?
Mkuuu hata wakiona hakuna watakachofanya
 
Mhe. Waziri walionipa CD hiyo ni hospitali ya Serikali na niligharamia hiyo Ct- Scan kwa ajili ya madaktari wajue tatizo langu na si kwa ajili yangu binafsi ya kutengeneza Bongo muvi, hiyo CD kwangu mimi ni nyangarakasha kwani sina utaalamu wa kuisoma na nimeingia hasara ya kufanya Ct- Scan.
CCM hao watakuja kutuuua mbwa hawa
 
Back
Top Bottom