DOKEZO Habari hii ikufikie Waziri wa Afya, ubabe wa Hospitali ya Muhimbili utaniua

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Komaaaa. Tiba unayotaka apewe tofauti na kuelekezwa anachotakiwa kufanya ni nini? Short and clear. Mgonjwa anaeletwa na ambulance,huyo anakuwa amezidiwa na anapewa kipaumbele. Mgonjwa anaetembea, bado ana uwezo wa kusubiria au kuwatumia waliomsindikiza kufata taratibu. Sasa niache na roho mbaya yangu ila ukweli ndo huo. Hata nikifa leo,ukweli utabaki pale pale. Kuliko kutokwa na pavu humu,si ungeongozana nae ukamsaidie kadai haki yake?
 
 
Kitengo cha ICT naona wana watu wendawazimu.
Hao wa kitengo cha ICT unawaonea tu. Wao wanafuata utaratibu uliowekwa na management, ambapo wao sio sehemu ya management. Wao ni sehemu ya implementation, kama ilivyo kwa madaktari.

Wa kulaumiwa hapa ni uongozi wa hospital unaoweka hizi taratibu, na sio doctors au ICT officers.
 
Kama hosipitali ya rufaa ya mkoa haiiaminiki na hosipitali ya rufaa ya taifa? Yaani wa mkoa waweke virusi kuishambulia ya taifa! Ili iweje, haitatokea maishani.
 
Mkuuu hata wakiona hakuna watakachofanya
Wataona aibu kwenye mioyo yao lakini wataigeuza fursa kwa kuombea maokoto kwenye bajeti ya mwakani.
Halafu wanampa Sa1:00 anairemba kuwa anataka mifumo ya hospitali isomane kuanzia zahanati ya kijiji cha kizimkazi hadi Muhimbili National Hospital
 
Shida wanapewa target ya makusanyo utadhani nao ni TRA, ni mambo ya kijinga sn
Sasa hapo shida ni ya hao wanaowapa malengo ya kukusanya mapato, na sio wanaopewa malengo.

Kuna watu wako kwenye upande wa management ndio wanaleta huu uozo. Na hata huwa hawaoni kabisa hizi shida wanazopata wagonjwa.
 
Navyofahamu kuna Manager au Mkurugenzi wa ICT ambae ndio anatakiwa kuwasilisha WAZO au Ubunifu kwa Management au Bodi.

Sijakosea kuwaita wendawazimu, kuanzia Bosi mpk Maafisa.
 
Mpaka sasa sijaona mtu akiguswa na hiyo gharama ya shs. 86,000/= kukopi.
 
Kama hosipitali ya rufaa ya mkoa haiiaminiki na hosipitali ya rufaa ya taifa? Yaani wa mkoa waweke virusi kuishambulia ya taifa! Ili iweje, haitatokea maishani.
Mkuu ndiyo kabisa Refferal system yoyote hutakiwi kumwamini Wa chini yako hata kama Anafanya vizuri kiasi gani kwa sababu kumbuka Hatudeal na magari kwamba Unaweza ukakosea Then umakirekebisha..kwa ni vyema kuwa care na kuanza Upya
 
KIZIMKAZI hana muda na Watanganyika zaidi y kuuza Mali zao TU. Na pia anacho weza YY kuteua na kutengua tu
 
Issue ya mifumo kusomana, nimeona Prof Jay, ameizungumzia sana! amegundua wekness hiyo baada ya kukaa Muhimbili mwaka na siku kadhaa.

Halii hiyo inapelekea Madaktari kukosa historia sahihi ya mgonjwa kwa tatizo linalomsumbua.
 
Hahah πŸ˜…πŸ˜…
Kwa tanznia Mkuu bado sana utakuta watu Wametoa taarifa nyingi za uongo humo πŸ˜…πŸ˜…
Na ndo maana Daktari yupo kwa ajili ya kuverify taarifa zake za ugonjwa yeye ndo anajua kuwa ukisem dalili fulan huendaan na kitu fulani kwahyi nikikosa dalili fulin huyu sio fulan...

Unajua nilipoanza kazi niliwahi kujicheka sana kuna kipindi nilikusa najifanya kuumwa Sana nikiwa advance maana tulikuwa tunabanwa sana halafu msosi hafifu kila nikipelekwa hospitali dakktari alikuwa anacheka ananiambia dogo kachukue dawa ananipa amoxyxiline na Panadol sasa japo nilikuwa naiigiza kwelikweli nilipokuja kuingia kwenye mfumo huu nikajicheka kuona kumbe jamaa alikuwa ananichora tu anacheka anaona dogo hna anachoumwa 🀣🀣
 
Shida sana hii madaktari jitahidi I kufata miiko mloapw na muwe na huruma na utu kwa wagonjwa sio fair kabisa kumsumbua mgonjwa kiasi hiki
 
Mpaka sasa sijaona mtu akiguswa na hiyo gharama ya shs. 86,000/= kukopi.
Bro, si kwamba watu hawajaguswa.

Kuna mawili:
1. Yawezekana kukawa na kosa lako(kutokuwa nanripoti kamili au kufungua hiyo CD)
2. Yawezekana kukawa pia na kosa la mfumo wa kutoa huduma kwa hospitali husika(Mhimbili)

Yawezekana sasa labda ikawa hivi: daktali wa hospitali iliyokupa transfer,alisoma akaelewa lakini kwa msaada zaidi,akawa anawahitaji wanaomzidi uwezo. Hizo ghalama zikawa zimeishia huko.

Sasa unapoingia Mhimbili, wana utaratibu wao si kwamba gharama ulizotumia hospitali ya kwanza zina uhusiano. Unajua kuonana na doctor, hasa kama ni specialist, kuna gharama zake. Na hazikwepeki. Labda huduma au vipimo vingine.

Japo na mi bado hujaelezea vizuli. Kuna doctor mlionana akakupokea,akasoma ripoti na ndo akakwambia CD ipelekwe kitengo cha ICT?

Na mbona hata kama ni hivyo, madaktali wa levo hiyo, huwa na wasaidizi hapo wanaotumwa. Ilikuwaje ukatakiwa kupeleka mwenyewe wakati hao watu wapo?
 
Mkuu ndiyo kabisa Refferal system yoyote hutakiwi kumwamini Wa chini yako hata kama Anafanya vizuri kiasi gani kwa sababu kumbuka Hatudeal na magari kwamba Unaweza ukakosea Then umakirekebisha..kwa ni vyema kuwa care na kuanza Upya
Kinachozungumziwa si watu ni kifaa, picha zinazopigwa Mwananyamala lazima ziaminike Muhimbili hili halina ubishi, vinginevyo ukipiga xray Mwananyamala asuhuhi na ukapelekwa Muhimbili mchana itabidi wakupige xray tena! Hapana.
 
Mkuu ndiyo kabisa Refferal system yoyote hutakiwi kumwamini Wa chini yako hata kama Anafanya vizuri kiasi gani kwa sababu kumbuka Hatudeal na magari kwamba Unaweza ukakosea Then umakirekebisha..kwa ni vyema kuwa care na kuanza Upya
Safi sana. Refferal ni tiketi ya kukuwezesha kuanza matibabu kwenye ngazi ya juu,si ya kufanya uendeleze matibabu kupitia kilichoonekana ulikoanzia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…