Tatizo watu huwa hawaelewi wanafikiri Taaluma ya udaktari ni simple hivyo kwamba nimepokea majibu kutoka hospitali x ameandikiwa ana uvimbe kichwani bhasi na mimi bila kujiridhisha naandika Aende for Emmegency craniotomy...
Vipi ukapasua ukakuta sio Uvimbe?
Dadeki.
Hii picha hapa, ya mtu mmoja.
Aliugua mda mrefu,akavimba tumbo. Alienda kwa doctor,tena private,akampima akasema ana tatizo la uvimbe kwenye milija ya uzazi,na alitakiwa afanyie upasuaji kwamba kalipia uvimbe unapasuka. Na ukipasuka anakufa.
Kwa kuwa operation ilikuwa ya haraka,walitumia ripoti hiyo wakaenda hospitali kubwa na wakamuona daktari bingwa wa wanawake.
Kuna vichekesho. Akatumia ile ripoti,akaangalia kwenye X-Ray,akamlaza na kesho yake akampasua kweli.
Alipopasuliwa, doctor huyo huyo aliyepokea ripoti na kuisoma na kupiga picha tena, eti alikuta siyo uvimbe kama alivyokuwa anaona,kumbe ni kiuvimbe kimelalia tu mirija ya uzazi.
Hapo alitakiwa ahusike doctor mwingine. Akawa yupo likizo. Wagonjwa wengi wana appointment yake. Huyu,tayali wameshampasua. Walifunga na kushona,akakaa na kidonda wiki nzima.
Baada ya wiki yule doctor kaja,nae kaongeza tundu,kufika ndani,eti kitu kilichopo hajawahi kukiona. Kumbuka nae kama daktari bingwa,amecheck picha za wenzie na kupiga zake.
Nchi nzima hakukuwa na doctor wa kumtibu,ilibidi ripoti itilewe wizara ya afya akasafilishwe kwenda India.
Bahati nzuli walikuwa na doctor mgeni,akaitwa kama mtaalam kwenye kikao,kabla ya kupitisha kupelekwa,kikao kilisitishwa kwa mda,akapiga picha zake, akaona anaweza kumtibu. Kikao kiliitishwa tena, ikapangwa siku akapasuliwa kwa mara ya tatu, kikatolewa.
Sasa,haya ni badhi ya makosa madaktari wanayoyafanya,ikiwemo kuaminiana na kutofanya uchunguzi wa kina,kisa daktari furani aliona hali fulani. Huyu angekuwa simple simple,alikuwa anaondoka kwa makosa ya watu. Japo huwezi jua kikao kimeamua nini,lakini kwa vyovyote wanasutwa na kupotezewa imani.
Kwa hiyo,ni mara chache taarifa za mgonjwa kuaminiwa na doctor mwingine