DOKEZO Habari hii ikufikie Waziri wa Afya, ubabe wa Hospitali ya Muhimbili utaniua

DOKEZO Habari hii ikufikie Waziri wa Afya, ubabe wa Hospitali ya Muhimbili utaniua

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Sasa,kwa hali ya kawaida. Uliwahi ona mahakama inayopitisha kesi bila kujilidisha? Kwani huko mwanzo si upelelezi unakua umeshafanyika?

Uzuri umempa mfano wa vipimo vya HIV. Na ni Hospitali moja. Sembuse hili la hospitali mbili tofauti,daktari wawili tofauti,af ulazimishe wa pili,tena ngazji ya juu,aidhinishe kuwa unaumwa.

Mkuu,kama we ni daktari,mnapokuwa na kesi ya mgonjwa kupelekwa nje,si vikao visivyoisha? Sasa wewe imagine mgonjwa ulomtibu kafa,na inaonekana ulifanya uzembe?
Tatizo watu huwa hawaelewi wanafikiri Taaluma ya udaktari ni simple hivyo kwamba nimepokea majibu kutoka hospitali x ameandikiwa ana uvimbe kichwani bhasi na mimi bila kujiridhisha naandika Aende for Emmegency craniotomy...
Vipi ukapasua ukakuta sio Uvimbe?
 
Unalolisema ni kweli. Issue hapo iwe mfumo huo,tena utalipa na zaidi. Hata ukilipia,wataziupload,japo nahisi ulielewa vibaya. Hizo picha kuwa uploaded,zinachukuliwa vipandevipande,kwenye machine husika,vinachukuliwa na kupelekwa kwenye mfumo wa CD unayopewa wewe. Sasa, hiyo ni wazi ingekuwa janja janja, kama mlitaka mfumo wa Mhimbili usome data za Hospitali uliyotokea. Na kwanza kwa zile machine zilivyo,haiwezekani kukopi CD na kuyiweka kisa ina hizo data. Hakika ulichoambiwa ni kulipia CT-Scan na hamkuelewana. Hapo tatizo si kutopata tiba,bali ki gharana kubwa
Ct-scan na x-ray nililipia bila tatizo kwani hivyo mimi pia nilivihitaji, na Xray na CT- scan siyo sh. 86,000/= ni hela ndefu zaidi.
 
Swala la gharama za matibabu zinaanzia kwa dakitari, hizo hazikuwa tatizo kwangu kwani ukipokelewa tu unaanza kulipa. Nataka kujua uhalali wa hiyo sh 86,000/= bila jasho ni pesa nyingi sana kwa kukopi tu!
Hapa hamjaelewana. Kwanza alikopi aziweke wapi? Sasa,kama huna tatizo la kulipia, na uliambiwa watakopi CD,huo ni wizi wa wazi wazi. Tema mtupu
DR Mambo AMP , tueleweshe. Inaruhusiwa kukopi nankuhifsdhi data za mgonjwa kutoka kwenye mfumo mwingine? Na unavyojua hizo machine,hiki kitu kiko fare?
 
Ukiambiwa uvirudie tena na tena utapiga! Haujipendi na unahela za mchezo.
Kwa X-Ray kwakuwa ina low dose ya Radiation unapiga hata mara 6 kwa siku ila kaa CT scan unaweza kupiga mara mbili kwa siku hiyo ni kwa mujibu wa sheria za ALARA (as low as reasonably achievable)
 
Mkuu,
Kwanza pole sana kwa changamoto unazozipitia. Nakuelewa mimi. Kikawaida,japo maelezo hapa ni kama hayajitoshelezi,ila kuna haya:

1. Kiukweli mpaka CT-Scan, ni kwamba kuna tatizo.

2. Ili ifanyike hiyo CT-Scan au vipimo vya mashine hizo, lazima kuna daktari aliyekuandikia kufanya hivyo vipimo.

Mara zote iwe hiyo X-ray, Iwe CT-Scan, iwe MRI, Cd zinazotolewa huambatana na karatasi inayoripoti waliokupima wameona nini.

Hawa watu wanaokupima, ni watumiaji tu wa mashine hizo,hawawezi kamwe kuintapreti walichokiona na kumwambia mgonjwa. Wanaheshimu sana maagizo. Hivyo,unapopewa majibu,yanakuwa yamefungwa na hurudishwa kwa daktari alieomba vipimo hivyo tu.

Ikitokea hayupo karibu,huomba anaemfahamu mwenye uwezo wa kusoma na kuelewa.

Nadhani kutoka huko ulikozipata,iwe praiveti au hospitali ya serikali kwenda Muhimbili, ulipewa referal na ulitakiwa umuone either doctor fulani au uende kitengo furani na majibu yako,wakutengee doctor wa kuyasoma na kukusaidia.

Kama uliondoka na CD tu,bado unakosa ripoti inayoelezea ugonjwa wako,kwa sababu wengine akishasoma ile ripoti ataelewa tatizo lako hata asipocheza hiyo CD.

Kingine nachokiona hapa,hutaki kukili lakini ulikosea. Na kamwe usirudie au na mwingine asijaribu.
Wewe umesema kwamba hiyo CD kwenye computer inacheza. Ni kweli.
Ulijuaje inacheza?

Kwa sababu inapotoka sehemu kwenda sehemu nyingine,licha ya kuwa labda aliyekuandikia mara ya kwanza aliitazama,hawezi kukupa wazi wazi kuipeleka bila kufungwa,hiyo ni siri ya mgonjwa na ajuae ni daktari tu.

Labda yeye akwambie mwenyewe. Sasa,kuna uwezekano pia wa wao kuisusia baada ya kuona imeletwa katika mazingira yasiyo salama. Kama ulifungua,ulitakiwa uombe radhi na uahidi kutorudia.
Maana akisema ulipewa uwaletee,ukapeleka kwingine,ana point.

Harafu,kwa jazba ulonayo hapa,inaoekana huenda ulifika ukawagombeza. Na wale jamaa wana akili mbovu asikwambie mtu. Japo hupaswi kubembeleza tiba,inapobidi huna namna.

Mi nahisi haya makosa mawili ulifanya.
Japo sikumbuki vizuri,si lazima watu wa ICT waupload ndo aicheze,kama ana computer inayoisoma ni rahisi.
Changamoto ipo tu kwenye hizo gharama.

Nadhani ungeweka wazi kitengo,na waliotakiwa wafanye hivyo.

JF ina kila aina ya watu na si kwamba hili hawalioni. We elezea shida bila kupindisha maneno,nakuhakikishia utapata msaada tena haraka sana. Na kama ni kosa ulifanya,we jishushe uwe mkweli,wengine ni watu wazima wanaelewa ujana na maumivu,utasaidiwa
Umeeleza vizuri

Ila huyu mgonjwa mleta mada binafsi namuona ni Mgonjwa aliyechangamka
 
Hapa hamjaelewana. Kwanza alikopi aziweke wapi? Sasa,kama huna tatizo la kulipia, na uliambiwa watakopi CD,huo ni wizi wa wazi wazi. Tema mtupu
DR Mambo AMP , tueleweshe. Inaruhusiwa kukopi nankuhifsdhi data za mgonjwa kutoka kwenye mfumo mwingine? Na unavyojua hizo machine,hiki kitu kiko fare?
Kama aliambiwa ku-Upload kwwnye mfumo ili iwe accesible kwwnye mfumo wa taarif zake za kitabibu wako sawa...
Ila kama aliambiwa wakopi CD ili wawe na copy yao kwa 86k sio sawa (japo nahisi haikuwa hivyo)
 
Hata ma IT wanaonewa. Mi ni mtaaram wa tiba,lakini hata ukisema kuna IT alifanya ntashangaa. Na ma IT pamoja na kazi yake lakini kuna red line. Yaani kitengo cha radiology,na wataaramu wake,wewe ulete taarifa za nje uingize kwenye mfumo wao? Wagundue? Utapona?
-Hiyo CD si bongo movie ya kucopy unavyotaka.
-Radiology huupload data kutoka kwenye data zilizochukuliwa na machine.
Ila kwa hili kwa asieelewa utendajikazi wa hizi mashine mpaka CD inapatikana na taarifa zinahifadhiwa,utakesha kumuelewesha.

Hapa haki imetendeka,sema tu mgonjwa analazimisha atibiwe anavyofikilia yeye,kitu ambacho hakipo.
Tatizo siyo kutibiwa tatizo kwanini dakitari asiisome hiyo CD na kisha anitibu bila ya kutaka picha yangu iingizwe kwenye seva za Muhimbili, ili iweje.
 
Mkuu,
Kwanza pole sana kwa changamoto unazozipitia. Nakuelewa mimi. Kikawaida,japo maelezo hapa ni kama hayajitoshelezi,ila kuna haya:

1. Kiukweli mpaka CT-Scan, ni kwamba kuna tatizo.

2. Ili ifanyike hiyo CT-Scan au vipimo vya mashine hizo, lazima kuna daktari aliyekuandikia kufanya hivyo vipimo.

Mara zote iwe hiyo X-ray, Iwe CT-Scan, iwe MRI, Cd zinazotolewa huambatana na karatasi inayoripoti waliokupima wameona nini.

Hawa watu wanaokupima, ni watumiaji tu wa mashine hizo,hawawezi kamwe kuintapreti walichokiona na kumwambia mgonjwa. Wanaheshimu sana maagizo. Hivyo,unapopewa majibu,yanakuwa yamefungwa na hurudishwa kwa daktari alieomba vipimo hivyo tu.

Ikitokea hayupo karibu,huomba anaemfahamu mwenye uwezo wa kusoma na kuelewa.

Nadhani kutoka huko ulikozipata,iwe praiveti au hospitali ya serikali kwenda Muhimbili, ulipewa referal na ulitakiwa umuone either doctor fulani au uende kitengo furani na majibu yako,wakutengee doctor wa kuyasoma na kukusaidia.

Kama uliondoka na CD tu,bado unakosa ripoti inayoelezea ugonjwa wako,kwa sababu wengine akishasoma ile ripoti ataelewa tatizo lako hata asipocheza hiyo CD.

Kingine nachokiona hapa,hutaki kukili lakini ulikosea. Na kamwe usirudie au na mwingine asijaribu.
Wewe umesema kwamba hiyo CD kwenye computer inacheza. Ni kweli.
Ulijuaje inacheza?

Kwa sababu inapotoka sehemu kwenda sehemu nyingine,licha ya kuwa labda aliyekuandikia mara ya kwanza aliitazama,hawezi kukupa wazi wazi kuipeleka bila kufungwa,hiyo ni siri ya mgonjwa na ajuae ni daktari tu.

Labda yeye akwambie mwenyewe. Sasa,kuna uwezekano pia wa wao kuisusia baada ya kuona imeletwa katika mazingira yasiyo salama. Kama ulifungua,ulitakiwa uombe radhi na uahidi kutorudia.
Maana akisema ulipewa uwaletee,ukapeleka kwingine,ana point.

Harafu,kwa jazba ulonayo hapa,inaoekana huenda ulifika ukawagombeza. Na wale jamaa wana akili mbovu asikwambie mtu. Japo hupaswi kubembeleza tiba,inapobidi huna namna.

Mi nahisi haya makosa mawili ulifanya.
Japo sikumbuki vizuri,si lazima watu wa ICT waupload ndo aicheze,kama ana computer inayoisoma ni rahisi.
Changamoto ipo tu kwenye hizo gharama.

Nadhani ungeweka wazi kitengo,na waliotakiwa wafanye hivyo.

JF ina kila aina ya watu na si kwamba hili hawalioni. We elezea shida bila kupindisha maneno,nakuhakikishia utapata msaada tena haraka sana. Na kama ni kosa ulifanya,we jishushe uwe mkweli,wengine ni watu wazima wanaelewa ujana na maumivu,utasaidiwa
Ndo kitu nilichosema mimi kwamba Watamzungusha sana kwa sababi yeye mwwnyewe anaonekana ni mbishi..
Bila kupinga ni kwamba huyu jamaa kwanza kabishana nao na kuna uwezekano kaiweka CD kwenye computer hata kabla hajaenda hospitalini aone kumewekwa nini 🤣🤣
Inaonekana pia alikuwa janja janja kujifanya anajua na ndo maana wamempa hiyo njia ndefu🤣🤣
 
Kwa X-Ray kwakuwa ina low dose ya Radiation unapiga hata mara 6 kwa siku ila kaa CT scan unaweza kupiga mara mbili kwa siku hiyo ni kwa mujibu wa sheria za ALARA (as low as reasonably achievable)
Nadhani gharama zake unazijua na kama hauzijui ulizia.
 
Hata ma IT wanaonewa. Mi ni mtaaram wa tiba,lakini hata ukisema kuna IT alifanya ntashangaa. Na ma IT pamoja na kazi yake lakini kuna red line. Yaani kitengo cha radiology,na wataaramu wake,wewe ulete taarifa za nje uingize kwenye mfumo wao? Wagundue? Utapona?
-Hiyo CD si bongo movie ya kucopy unavyotaka.
-Radiology huupload data kutoka kwenye data zilizochukuliwa na machine.
Ila kwa hili kwa asieelewa utendajikazi wa hizi mashine mpaka CD inapatikana na taarifa zinahifadhiwa,utakesha kumuelewesha.

Hapa haki imetendeka,sema tu mgonjwa analazimisha atibiwe anavyofikilia yeye,kitu ambacho hakipo.
Na hicho ndo nilichokiona mimi Tangu mwanzo kabisa 🤣🤣
Kuna kitu kwa huyu jamaa hakipo sawa its either ana majibu mabaya kwa Watumishi au Alikuwa anajaribu kumfundisha daktari au kubisana naye kuhusu nini cha kufanya...
Maana kwa hali ya kawaida haingii akilini kabisa Kutumwa kwa IT 😅😅
Its either alitaka abaki na CD au chochote kitakuwa kilitojea angetoa muhtasari wote akasaidika
 
Komaaaa. Tiba unayotaka apewe tofauti na kuelekezwa anachotakiwa kufanya ni nini? Short and clear. Mgonjwa anaeletwa na ambulance,huyo anakuwa amezidiwa na anapewa kipaumbele. Mgonjwa anaetembea, bado ana uwezo wa kusubiria au kuwatumia waliomsindikiza kufata taratibu. Sasa niache na roho mbaya yangu ila ukweli ndo huo. Hata nikifa leo,ukweli utabaki pale pale. Kuliko kutokwa na pavu humu,si ungeongozana nae ukamsaidie kadai haki yake?
Kamati ya roho mbaya mpo vizuri sana

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Ndo kitu nilichosema mimi kwamba Watamzungusha sana kwa sababi yeye mwwnyewe anaonekana ni mbishi..
Bila kupinga ni kwamba huyu jamaa kwanza kabishana nao na kuna uwezekano kaiweka CD kwenye computer hata kabla hajaenda hospitalini aone kumewekwa nini 🤣🤣
Inaonekana pia alikuwa janja janja kujifanya anajua na ndo maana wamempa hiyo njia ndefu🤣🤣
Walioitengeneza CD ndio walionionesha ili nihakikishe iko sawa na kisha wakaifunga na kunikabidhi na taarifa zake wakaambatanisha, huo ndio utaratibu wao kwani hauwezi kuingia bila ruhusa.
 
Walioitengeneza CD ndio walionionesha ili nihakikishe iko sawa na kisha wakaifunga na kunikabidhi na taarifa zake wakaambatanisha, huo ndio utaratibu wao kwani hauwezi kuingia bila ruhusa.
Mkuu Kama ungesema ukweli kuhusu Ukivyofika muhimbili kulitokea nini?
Ulijibizana au kujaribu kumwelekeza Daktari ulimwonyesha kama unaijua CT scan au umeisoma na unajua shida yako?
 
Tatizo watu huwa hawaelewi wanafikiri Taaluma ya udaktari ni simple hivyo kwamba nimepokea majibu kutoka hospitali x ameandikiwa ana uvimbe kichwani bhasi na mimi bila kujiridhisha naandika Aende for Emmegency craniotomy...
Vipi ukapasua ukakuta sio Uvimbe?
Dadeki.

Hii picha hapa, ya mtu mmoja.
Aliugua mda mrefu,akavimba tumbo. Alienda kwa doctor,tena private,akampima akasema ana tatizo la uvimbe kwenye milija ya uzazi,na alitakiwa afanyie upasuaji kwamba kalipia uvimbe unapasuka. Na ukipasuka anakufa.

Kwa kuwa operation ilikuwa ya haraka,walitumia ripoti hiyo wakaenda hospitali kubwa na wakamuona daktari bingwa wa wanawake.
Kuna vichekesho. Akatumia ile ripoti,akaangalia kwenye X-Ray,akamlaza na kesho yake akampasua kweli.
Alipopasuliwa, doctor huyo huyo aliyepokea ripoti na kuisoma na kupiga picha tena, eti alikuta siyo uvimbe kama alivyokuwa anaona,kumbe ni kiuvimbe kimelalia tu mirija ya uzazi.
Hapo alitakiwa ahusike doctor mwingine. Akawa yupo likizo. Wagonjwa wengi wana appointment yake. Huyu,tayali wameshampasua. Walifunga na kushona,akakaa na kidonda wiki nzima.
Baada ya wiki yule doctor kaja,nae kaongeza tundu,kufika ndani,eti kitu kilichopo hajawahi kukiona. Kumbuka nae kama daktari bingwa,amecheck picha za wenzie na kupiga zake.
Nchi nzima hakukuwa na doctor wa kumtibu,ilibidi ripoti itilewe wizara ya afya akasafilishwe kwenda India.
Bahati nzuli walikuwa na doctor mgeni,akaitwa kama mtaalam kwenye kikao,kabla ya kupitisha kupelekwa,kikao kilisitishwa kwa mda,akapiga picha zake, akaona anaweza kumtibu. Kikao kiliitishwa tena, ikapangwa siku akapasuliwa kwa mara ya tatu, kikatolewa.

Sasa,haya ni badhi ya makosa madaktari wanayoyafanya,ikiwemo kuaminiana na kutofanya uchunguzi wa kina,kisa daktari furani aliona hali fulani. Huyu angekuwa simple simple,alikuwa anaondoka kwa makosa ya watu. Japo huwezi jua kikao kimeamua nini,lakini kwa vyovyote wanasutwa na kupotezewa imani.
Kwa hiyo,ni mara chache taarifa za mgonjwa kuaminiwa na doctor mwingine
 

Attachments

  • Screenshot_20231114-162755.jpg
    Screenshot_20231114-162755.jpg
    56.9 KB · Views: 1
Mkuu Kama ungesema ukweli kuhusu Ukivyofika muhimbili kulitokea nini?
Ulijibizana au kujaribu kumwelekeza Daktari ulimwonyesha kama unaijua CT scan au umeisoma na unajua shida yako?
Nimeshauli mimi akiacha kiburi akaomba msamaha,hata humu atapata msaada. Lakini akiendelea kuwa mbishi,ndo hivyo. Huenda alifika akatibuana na watu,sasa haemi ukweli
 
ulipofika hospitali ulipokelewa na kusajiliwa kama mgonjwa wa rufaa au ulitafuta daktari koridoni?
Nina imani hapo muhimbili kuna ofisi za kupokea malalamiko ni vyema ungieanzia hapo kabla ya kufika kwa Waziri
 
Watanzania tafuteni hela mjue huduma za afya ni gharama sana, la sivyo mtaendelea kulalamika kila siku. Matibabu siku hizi sio bure ni hela.
 
Back
Top Bottom