Habari za Kiuchunguzi kuhusu Maelfu ya Askari wa Rwanda waliouawa katika mapigano ya DRC

Habari za Kiuchunguzi kuhusu Maelfu ya Askari wa Rwanda waliouawa katika mapigano ya DRC

..EAC ndio kichwa cha mwendawazimu kabisa.

..inawezekana vipi mwanachama mmoja akamvamia kijeshi mwanachama mwingine?

..au mwanachama mmoja akawa anafuga makundi ya waasi / magaidi dhidi ya mwanachama mwingine?

..kabla ya kuwa mwanachama wa EAC nchi husika ilipaswa kuwa na vigezo fulani ikiwemo utawala wa sheria, stability, etc
Kundi la wanga huwa wanajaribiana kujua je na wewe mwanga kweli au unazuga tu?

Afrika bara la ajabu sana, Angalia AU/OAU wako kimya hawahusiki, EAC-SADC wanahangaika hata sijui wananguvu kiasi gani.

Kuna majeshi ya SADC mashariki mwa Kongo, lakini M23 na DRC wanaendelea kupigana na wao wanapigwa vikumbo hadi kuuwawa, wapo wapo tu.

Hiyo AMANI wanailindaje?

Au wanamlinda nani DRC au M23?
 
Afrika bara la ajabu sana, Angalia AU/OAU wako kimya hawahusiki, EAC-SADC wanahangaika hata sijui wananguvu kiasi gani.
Afrika inataka kupewa kiti UN Baraza la Usalama ikiwa na kura yenye nguvu.
Ninapinga sana AU kupewa kiti hata cha kusikiliza, hawana kitu wanachoweza

Hawawezi mgogoro wa M23 wanataka kura ya kuamua ugomvi wa Russia, India, China , USA au Europe
Kuna majeshi ya SADC mashariki mwa Kongo, lakini M23 na DRC wanaendelea kupigana na wao wanapigwa vikumbo hadi kuuwawa, wapo wapo tu.
Kosa lilikuwa ''rapid expansion'' ya EAC na kuwashirikisha Congo, Rwanda and Burundi.
Hawa wangekuwa nje ya EAC kungekuwa na mandate ya kuwaamuru lakini sasa ni ''miongoni'

M23 ni Rwanda wanaotaka kupanua eneo lao kwa ksingizio cha Congo.

Juzi kulikuwa na mjadala JF, Mh Zitto alialikwa kama mto mada.
Swali aliloulizwa mara 3 ni, M23 wanakosa haki gani ndani ya Congo kiasi cha kuchukua silaha.

Zitto Kabwe hakuweza kujibu alizunguka zunguka licha ya kwamba ndiye alisema M23 washirikishwe serikali ya Kinshasa.

Kwa hoja za Zitto Ruyagwa, kwa mtazamo wangu ipo siku Watu wa Kigoma wenye ''elements'' za huu mgogoro watabeba silaha wakitaka Serikali ya Tanzania iwashirikishe. Jambo la hatari sana

Suluhishio ni SADC-EAC kuwapa kipigo M23 kisha kutengeneza Buffer Zone katika mpaka wa Rwanda.
Au wawafurushe hadi Rwanda ndani kabisa ili Rwanda wapate joto la vita
 
Afrika inataka kupewa kiti UN Baraza la Usalama ikiwa na kura yenye nguvu.
Ninapinga sana AU kupewa kiti hata cha kusikiliza, hawana kitu wanachoweza

Hawawezi mgogoro wa M23 wanataka kura ya kuamua ugomvi wa Russia, India, China , USA au Europe

Kosa lilikuwa ''rapid expansion'' ya EAC na kuwashirikisha Congo, Rwanda and Burundi.
Hawa wangekuwa nje ya EAC kungekuwa na mandate ya kuwaamuru lakini sasa ni ''miongoni'

M23 ni Rwanda wanaotaka kupanua eneo lao kwa ksingizio cha Congo.

Juzi kulikuwa na mjadala JF, Mh Zitto alialikwa kama mto mada.
Swali aliloulizwa mara 3 ni, M23 wanakosa haki gani ndani ya Congo kiasi cha kuchukua silaha.

Zitto Kabwe hakuweza kujibu alizunguka zunguka licha ya kwamba ndiye alisema M23 washirikishwe serikali ya Kinshasa.

Kwa hoja za Zitto Ruyagwa, kwa mtazamo wangu ipo siku Watu wa Kigoma wenye ''elements'' za huu mgogoro watabeba silaha wakitaka Serikali ya Tanzania iwashirikishe. Jambo la hatari sana

Suluhishio ni SADC-EAC kuwapa kipigo M23 kisha kutengeneza Buffer Zone katika mpaka wa Rwanda.
Au wawafurushe hadi Rwanda ndani kabisa ili Rwanda wapate joto la vita
Vita huwa inaleta heshima, lakini sijaelewa hasa hawa M23 wanadai nini DRC zaidi ya kutaka kujimegea eneo na kujitenga, na pia sielewi inakuwaje taifa lkubwa lenye resources za kutosha wanakubali kipigo kutoka kwa M23.

Wanashindwa au hawana vifaa, au hwana ujuzi wa kupigana, au tatizo la DRC ni nini hasa?

Na kama ni kujitenga eneo hilo wanalodai ni lao kweli au ndio kutafuta ardhi kibabe tu?

Na ikiwa hiyo ndiyo nia yao eneo wanalolihitaji ni kiasi gani, maana huwa nasikia vita KIVU na Goma tu, lina watosha DRC wakiamua kuwaachia? Au watarudi kutaka zaidi?
 
..

..maiti wamekuwa wengi mno, askari wa vyeo vya chini wanazikwa katika mass graves huko DRC.

..miili ya maofisa inayorudishwa Rwanda ina hali mbaya ya kutisha, familia zinalazimishwa kuzika bila kuonyeshwa wapendwa wao.

..Mzee Kagame amekiri "kiaina" katika moja ya hotuba zake alipogusia kwamba mchango wa askari waliopoteza maisha hautasahaulika.

..kupata taarifa nzima soma hapa chini.

Wanajeshi au Wapiganaji kufa vitani ni jambo la kawaida, isipokuwa Hoja ya msingi inabaki kuwa: Je, kulikuwa na ULAZIMA wa kupigana Vita hiyo?
Endapo kama swali hili jibu lake ni Ndiyo, Basi Wanajeshi hao watakuwa wamekufa kishujaa.
 
Afrika inataka kupewa kiti UN Baraza la Usalama ikiwa na kura yenye nguvu.
Ninapinga sana AU kupewa kiti hata cha kusikiliza, hawana kitu wanachoweza

Hawawezi mgogoro wa M23 wanataka kura ya kuamua ugomvi wa Russia, India, China , USA au Europe

Kosa lilikuwa ''rapid expansion'' ya EAC na kuwashirikisha Congo, Rwanda and Burundi.
Hawa wangekuwa nje ya EAC kungekuwa na mandate ya kuwaamuru lakini sasa ni ''miongoni'

M23 ni Rwanda wanaotaka kupanua eneo lao kwa ksingizio cha Congo.

Juzi kulikuwa na mjadala JF, Mh Zitto alialikwa kama mto mada.
Swali aliloulizwa mara 3 ni, M23 wanakosa haki gani ndani ya Congo kiasi cha kuchukua silaha.

Zitto Kabwe hakuweza kujibu alizunguka zunguka licha ya kwamba ndiye alisema M23 washirikishwe serikali ya Kinshasa.

Kwa hoja za Zitto Ruyagwa, kwa mtazamo wangu ipo siku Watu wa Kigoma wenye ''elements'' za huu mgogoro watabeba silaha wakitaka Serikali ya Tanzania iwashirikishe. Jambo la hatari sana

Suluhishio ni SADC-EAC kuwapa kipigo M23 kisha kutengeneza Buffer Zone katika mpaka wa Rwanda.
Au wawafurushe hadi Rwanda ndani kabisa ili Rwanda wapate joto la vita
1. Suala hili la Mgogoro wa huko DRC (Zaire) ni Complex sana. Lina historia ndefu Sana.

Isipokuwa kuna Ukweli mchungu Sana kwamba Watu/Raia wengi wa DRC wa kutoka kwenye maeneo hayo ya pembezoni mwa nchi hiyo ikiwamo na Majimbo ya Kivu na Katanga huwa wanahesabika Kama Raia wa Daraja Pili au raia wa Daraja la mwisho kabisa kwenye nchi hiyo. Hii ni kutokana na Mfumo au Sera ya Siasa mbaya sana za Kuwagawa Watu ili Watawala wa nchi hiyo ya DRC waweze kutawala kiurahisi. Kuna tatizo la Siasa za Ubaguzi kwa Watu wa maeneo hayo ya Mashariki mwa nchi hiyo ya DRC na kuwapendelea zaidi Watu wengine wa kutoka katika maeneo mengine ya nchi hiyo. Watu wengi wa Mashariki mwa DRC kwa kiasi kikubwa Sana wanahesabika Kama siyo WaCongoman, hiki ndio chanzo kikubwa Sana Cha kuwepo kwa huo Mgogoro usiokoma, ukiachana na vyanzo vingine kama vile kuwepo kwa rasilimali nyingi sana za madini ya vito, udhaifu wa Jeshi la DRC, Udhaifu wa Utawala wa nchi hiyo ya DRC, n.k..

2. Siyo rahisi hata kidogo kulipiga na kulifurusha Jeshi la M23 kwa sababu nyingi sana. Mathalani, Watu/Wananchi wengi Sana waishio kwenye maeneo hayo ya Kivu wanawaunga mkono Wapinzani wa Utawala wa nchi hiyo ya DRC, M23 wanaungwa mkono na Wananchi. Aidha, Utawala wa nchi hiyo ya DRC ni dhaifu Sana kupita kiasi. Bad enough, hata Jeshi la nchi hiyo nalo pia ni dhaifu Sana, na pia kuna Mawakala wengi Sana wa M23 ndani ya Serikali na ndani ya Jeshi la Serikali ya DRC. Kuna vitendo vingi Sana vya Uasi wa chini chini ndani ya Jeshi la Serikali ya DRC.

3. Kwa bahati mbaya sana, hata hapa nchini Tanzania, Watu wengi wa kutoka katika mikoa ya pembezoni mwa nchi kama vile Mkoa wa Kigoma, pia wamekuwa wakichukuliwa kama ni 'Wakimbizi.' Tatizo hili lipo sana katika nchi hii, Mimi binafsi nimewahi kushuhudia mara nyingi sana mambo ya namna hii. Kuna ' bad sentiment' miongoni mwa Watu kuwaona Watu wa kutoka Kigoma kuwa ni Wakimbizi kutoka katika nchi za jirani, tatizo hili lipo katika Jamii zetu za Tanzania.
 
Wanajeshi au Wapiganaji kufa vitani ni jambo la kawaida, isipokuwa Hoja ya msingi inabaki kuwa: Je, kulikuwa na ULAZIMA wa kupigana Vita hiyo?
Endapo kama swali hili jibu lake ni Ndiyo, Basi Wanajeshi hao watakuwa wamekufa kishujaa.

..vijana wanatumiwa vibaya na viongozi wao.

..Naanga alishiriki kuharibu uchaguzi, leo anawatoa vijana kafara kujaribu kurekebisha uhuni alioshiriki.

..mtu aliyekuwa mpaka Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi anadai mamlaka za Kinshasa zinamtenga, hazimtambui kama Mcongomani.
 
Hii ni hatari na ni dhahiri kwamba Rwanda na M23 wamedhamiria, maana kama wamepoteza vyote hivyo na hawakururudi nyuma, waliendelea mbele kuteka maeneo huku wakifa kwa maelfu, wameamua kujitoa mhanga, bloodbath na kupigana na vichaa kama hao inabidi na wewe uwe kichaa, uwe tayari kufa sana tu.
Yaani wamekua kama wale magaidi wa waislamu.
 
..vijana wanatumiwa vibaya na viongozi wao.

..Naanga alishiriki kuharibu uchaguzi, leo anawatoa vijana kafara kujaribu kurekebisha uhuni alioshiriki.

..mtu aliyekuwa mpaka Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi anadai mamlaka za Kinshasa zinamtenga, hazimtambui kama Mcongomani.
Kuna tatizo kubwa sana katika tawala za Nchi nyingi za Afrika kuhusiana na suala la Tume Cha Uchaguzi kwenye nchi zao.

Cornel Nangaa wakati fulani aliwahi kusema kwamba alikuwa kwenye shinikizo kubwa sana ' under gun point' kuhusiana na suala hilo la kutangaza kwa matokeo ya Uchaguzi wa Rais huko DRC. Unaweza kuona kwamba ni namna gani hasa Utawala wa nchi hiyo ya DRC inahusika moja kwa moja kwenye Mgogoro huu. Kimsingi, Utawala wa DRC uliopo huko kwa kiasi kikubwa hauna ridhaa ya umma, Wananchi wengi Sana wanaonekana hawaungi mkono Utawala wa nchi hiyo. That's why unaona kwamba DR Congo kuna Utawala dhaifu Sana kupita kiasi, hata Majeshi yake nayo ni dhaifu Sana kupita kiasi.
 
Hii ni hatari na ni dhahiri kwamba Rwanda na M23 wamedhamiria, maana kama wamepoteza vyote hivyo na hawakururudi nyuma, waliendelea mbele kuteka maeneo huku wakifa kwa maelfu, wameamua kujitoa mhanga, bloodbath na kupigana na vichaa kama hao inabidi na wewe uwe kichaa, uwe tayari kufa sana tu.
Yaani wamekua kama wale magaidi wa waislamu.

..viongozi wa Sadc wengi wao, kama sio wote, ni urojo-urojo. Ngoja niwakumbushe kilichotokea wakati DRC inavamiwa kwa mara ya kwanza ili kuelewa hicho nilichokisema.

..mwaka 1998 Sadc walituma fact finding team / mission mara baada ya Rwanda kumvamia Kabila Snr.

..kabla hii mission haijarudi kwa viongozi wa SADC kuna General toka Zimbabwe alituma ripoti kwa Mzee Mugabe kuhusu walichokishuhudia kwamba Rwanda na Uganda walikuwa wanaivamia DRC.

..Mzee Mugabe hakuchelewa kusubiri kikao kizima cha SADC kikae na kufanya maamuzi yeye akaamuru Fifth Brigade ya Zimbabwe iende kuzuia mapinduzi dhidi ya Kabila Snr.

..Ndio maana kipindi kile kulikuwa na makelele ya kùmlaumu Mugabe acting in his capacity as Head of Sadc organ on security kwa ku-act unilaterally kutuma majeshi DRC kwa mgongo wa SADC.

..lakini Mzee Mugabe did the right thing. He saved DRC from being taken over by Rwanda na Uganda. Viongozi wengine wa SADC kipindi hicho ama walidanganywa na Rwanda na Uganda, au walikuwa compromised, au walikuwa cowards.

..makosa yaliyofanywa na SADC kutokuungana na kuzungumza kwa sauti moja dhidi ya uvamizi wa Rwanda na Uganda mwaka 1998 ndio chanzo cha mateso haya wanayopitia Wacongomani leo hii. SADC haijaweza kurekebisha makosa na usaliti waliowafanyia Wacongo mwaka 1998.

..kuna article inaeleza vizuri how things unfolded in 1998 nitaeleta hapa JF.

Cc Nguruvi3
 
..vijana wanatumiwa vibaya na viongozi wao.

..Naanga alishiriki kuharibu uchaguzi, leo anawatoa vijana kafara kujaribu kurekebisha uhuni alioshiriki.

..mtu aliyekuwa mpaka Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi anadai mamlaka za Kinshasa zinamtenga, hazimtambui kama Mcongomani.
Nangaa ni mbinafsi anayestahili kunyongwa.
 
Vita huwa inaleta heshima, sijaelewa hasa hawa M23 wanadai nini DRC zaidi ya kutaka kujimegea eneo na kujitenga
Zitto Kabwe Ruyagwa aliulizwa na hakuweza kujibu. Ikiwa ni Raia wa DRC ni kitu gani wanadhani hawatendewi haki, hakuna mahali wanaeleza. Ndiyo maana naogopa sana huu mzozo kwasababu M23 wakifanikiwa ipo siku wale wa Kigoma wenye asili za huko DRC na Rwanda wataanza madai kama hayo
sielewi inakuwaje taifa lkubwa lenye resources za kutosha wanakubali kipigo kutoka kwa M23.
Wanashindwa au hawana vifaa, au hwana ujuzi wa kupigana, au tatizo la DRC ni nini hasa?
Na kama ni kujitenga eneo hilo wanalodai ni lao kweli au ndio kutafuta ardhi kibabe tu?

Na ikiwa hiyo ndiyo nia yao eneo wanalolihitaji ni kiasi gani, maana huwa nasikia vita KIVU na Goma tu, lina watosha DRC wakiamua kuwaachia? Au watarudi kutaka zaidi?
DRC wana tatizo la utawala kutokana na kuwakaribishwa ''Rwanda' wakati wa kumuondoa Mobutu.
Jeshi la DRC limeingiliwa sana na Wanyarwanda kiasi kwamba mipango yao ipo wazi.
Kuna Kamanda Kaberebe alikuwa kiongozi DRC sasa ni kiongozi Rwanda, think about that
Majeneral wa Jeshi la DRC ni ''alligiance' kwa Rwanda , wakifukuzwa DRC wanakuwa ''M23'' wakiripoti Rwanda
 
..EAC ndio kichwa cha mwendawazimu kabisa.

..inawezekana vipi mwanachama mmoja akamvamia kijeshi mwanachama mwingine?

..au mwanachama mmoja akawa anafuga makundi ya waasi / magaidi dhidi ya mwanachama mwingine?

..kabla ya kuwa mwanachama wa EAC nchi husika ilipaswa kuwa na vigezo fulani ikiwemo utawala wa sheria, stability, etc
nchi kama rwanda, burundi, congo, sudan na somalia hazikupaswa kuruhusiwa kujiunga EAC mpaka hali ya usalama wa mataifa hayo iridhishe. Ni tamaa tu ya kupanua jumuiya ndio ilifanya hizo nchi ziruhusiwe. Sijui kama zinatoa michango yao vema kwenye hiyo jumuiya
 
1. Suala hili la Mgogoro wa huko DRC (Zaire) ni Complex sana. Lina historia ndefu Sana.

Isipokuwa kuna Ukweli mchungu Sana kwamba Watu/Raia wengi wa DRC wa kutoka kwenye maeneo hayo ya pembezoni mwa nchi hiyo ikiwamo na Majimbo ya Kivu na Katanga huwa wanahesabika Kama Raia wa Daraja Pili au raia wa Daraja la mwisho kabisa kwenye nchi hiyo. Hii ni kutokana na Mfumo au Sera ya Siasa mbaya sana za Kuwagawa Watu ili Watawala wa nchi hiyo ya DRC waweze kutawala kiurahisi. Kuna tatizo la Siasa za Ubaguzi kwa Watu wa maeneo hayo ya Mashariki mwa nchi hiyo ya DRC na kuwapendelea zaidi Watu wengine wa kutoka katika maeneo mengine ya nchi hiyo. Watu wengi wa Mashariki mwa DRC kwa kiasi kikubwa Sana wanahesabika Kama siyo WaCongoman, hiki ndio chanzo kikubwa Sana Cha kuwepo kwa huo Mgogoro usiokoma, ukiachana na vyanzo vingine kama vile kuwepo kwa rasilimali nyingi sana za madini ya vito, udhaifu wa Jeshi la DRC, Udhaifu wa Utawala wa nchi hiyo ya DRC, n.k..

2. Siyo rahisi hata kidogo kulipiga na kulifurusha Jeshi la M23 kwa sababu nyingi sana. Mathalani, Watu/Wananchi wengi Sana waishio kwenye maeneo hayo ya Kivu wanawaunga mkono Wapinzani wa Utawala wa nchi hiyo ya DRC, M23 wanaungwa mkono na Wananchi. Aidha, Utawala wa nchi hiyo ya DRC ni dhaifu Sana kupita kiasi. Bad enough, hata Jeshi la nchi hiyo nalo pia ni dhaifu Sana, na pia kuna Mawakala wengi Sana wa M23 ndani ya Serikali na ndani ya Jeshi la Serikali ya DRC. Kuna vitendo vingi Sana vya Uasi wa chini chini ndani ya Jeshi la Serikali ya DRC.

3. Kwa bahati mbaya sana, hata hapa nchini Tanzania, Watu wengi wa kutoka katika mikoa ya pembezoni mwa nchi kama vile Mkoa wa Kigoma, pia wamekuwa wakichukuliwa kama ni 'Wakimbizi.' Tatizo hili lipo sana katika nchi hii, Mimi binafsi nimewahi kushuhudia mara nyingi sana mambo ya namna hii. Kuna ' bad sentiment' miongoni mwa Watu kuwaona Watu wa kutoka Kigoma kuwa ni Wakimbizi kutoka katika nchi za jirani, tatizo hili lipo katika Jamii zetu za Tanzania.
 
Ni rahisi kupigana na jeshi moja kama vita ya Kagera ila ni vigumu sana waasi na nchi yao kupigana na nchi nyingi zenye technology tofauti ya vita , m23 hawataweza kupigana na kushinda majeshi ya Drc ambao ni kwao, Tz, Kenya, SA, Burundi na nchi zinginezo, ni suala la muda tu tutasikia kuko kimya business as usual!!

Kinachotakiwa ni azimio tu la nchi za SADC kuwa waasi waondolewe kwisha kazi, m23 watauwawa sana na haitaoneshwa ili propaganda kuwa wanashinda ziendelee kumbe wanamalizwa na watakwisha wasipokimbia, hebu fikiria vifaa vya kijeshi vya South ambao eti kale kanchi kamewatunishia misuli
Katika ule mkutano wa jana DSM sijaona azimio la kuunda kikosi Kwa ajiri ya kuwaondoa M23 maeneo hayo
 
Kuna tatizo kubwa sana katika tawala za Nchi nyingi za Afrika kuhusiana na suala la Tume Cha Uchaguzi kwenye nchi zao.

Cornel Nangaa wakati fulani aliwahi kusema kwamba alikuwa kwenye shinikizo kubwa sana ' under gun point' kuhusiana na suala hilo la kutangaza kwa matokeo ya Uchaguzi wa Rais huko DRC. Unaweza kuona kwamba ni namna gani hasa Utawala wa nchi hiyo ya DRC inahusika moja kwa moja kwenye Mgogoro huu. Kimsingi, Utawala wa DRC uliopo huko kwa kiasi kikubwa hauna ridhaa ya umma, Wananchi wengi Sana wanaonekana hawaungi mkono Utawala wa nchi hiyo. That's why unaona kwamba DR Congo kuna Utawala dhaifu Sana kupita kiasi, hata Majeshi yake nayo ni dhaifu Sana kupita kiasi.
Mifumo ya utawala ya Kongo ndo dhaifu, haiwezi ku exercise mamlaka ya dola mpaka ngazi za chini kabisa.
Kukubalika au kutokubalikakwa Felix si hoja, kwani hata hata Tz, Rwanda, Uganda huwezi kudhibitisha kuwa viongozi wao wanakubalika. Mfano Rwanda na Uganda, nani asiyejua jinsi Kagame na Mseveni vanavyo wa treat wapinzani wao, tena Kagame ndo worst anawauwa kabisa! Huku tume iktangaza kuwa kashinda kwa % 99.99
Kwa Tanzania nako ni yale yale si aghalabu tume kuwabambikia raia kiongozi wasiye mchaguwa na nguvu za dola zinatumika kuilazimisha umma utii( nguvu za dola pale Congo zinakosekana na ndo chanzo cha shida zote)
Kutoka ukosefu wa nguvu za dola pale Congo imesababisha usalama wake kutegemea USTAARABU WA VIONGOZI WA NCHI MAJIRANI ZAKE. Wale majirani za Congo wenyekuongozwa na marais wasio wastaarabu na wahuni kama walivyo Kagame na Mseveni, wanachokifanya wote tunaona.
 
Back
Top Bottom