Habari za Kiuchunguzi kuhusu Maelfu ya Askari wa Rwanda waliouawa katika mapigano ya DRC

Habari za Kiuchunguzi kuhusu Maelfu ya Askari wa Rwanda waliouawa katika mapigano ya DRC

Itakuwa bora, mmoja afe mamilioni waishi.
Kama target ni Kagame, ni very wrong target na hahusiki, propaganda machines za wakabila wa Congo and probably France zimewaharibu akili kabisa , vita itaisha kama Banyamurenge haki zao za kiraia zitakuwa secured pamoja na usalama wao, lakini tatizo kuna makundi mengine karibu 100 yanapigana Congo, na solution ya Uber driver na wenzake singizia Kagame and everything solved
 
..viongozi wa Sadc wengi wao, kama sio wote, ni urojo-urojo. Ngoja niwakumbushe kilichotokea wakati DRC inavamiwa kwa mara ya kwanza ili kuelewa hicho nilichokisema.

..mwaka 1998 Sadc walituma fact finding team / mission mara baada ya Rwanda kumvamia Kabila Snr.

..kabla hii mission haijarudi kwa viongozi wa SADC kuna General toka Zimbabwe alituma ripoti kwa Mzee Mugabe kuhusu walichokishuhudia kwamba Rwanda na Uganda walikuwa wanaivamia DRC.

..Mzee Mugabe hakuchelewa kusubiri kikao kizima cha SADC kikae na kufanya maamuzi yeye akaamuru Fifth Brigade ya Zimbabwe iende kuzuia mapinduzi dhidi ya Kabila Snr.

..Ndio maana kipindi kile kulikuwa na makelele ya kùmlaumu Mugabe acting in his capacity as Head of Sadc organ on security kwa ku-act unilaterally kutuma majeshi DRC kwa mgongo wa SADC.

..lakini Mzee Mugabe did the right thing. He saved DRC from being taken over by Rwanda na Uganda. Viongozi wengine wa SADC kipindi hicho ama walidanganywa na Rwanda na Uganda, au walikuwa compromised, au walikuwa cowards.

..makosa yaliyofanywa na SADC kutokuungana na kuzungumza kwa sauti moja dhidi ya uvamizi wa Rwanda na Uganda mwaka 1998 ndio chanzo cha mateso haya wanayopitia Wacongomani leo hii. SADC haijaweza kurekebisha makosa na usaliti waliowafanyia Wacongo mwaka 1998.

..kuna article inaeleza vizuri how things unfolded in 1998 nitaeleta hapa JF.

Cc Nguruvi3

Tatizo kubwa zaidi lililopo DRC ni kuwepo kwa Utawala dhaifu Sana kupita kiasi na Utawala huo kwa kiasi kikubwa umekosa uungwaji mkono kutoka kwa umma/Wananchi walio wengi zaidi.

Kwa Vita vya Mwaka 1997-1998 huko DRC (Zaire), Viongozi wa SADC walifanya vyema kutokutuma Majeshi yao kwenda vitani huko Zaire kwa sababu Dikteta Mobutu Sese Seko alikuwa haungwi mkono kabisa na Wananchi wake wengi zaidi wa nchi hiyo. Hata Jeshi la Ulinzi la nchi hiyo ya Zaire walikuwa hawampendi Rais Mobutu Sese Seko.
But all in all, Dikteta Mobutu Sese Seko ana mchango mkubwa sana wa kuwepo kwa machafuko na Vita visivyoisha ndani ya nchi hiyo ya Zaire. Yeye ndiye muasisi Mkuu wa kuwepo kwa Utawala dhaifu Sana nchini DRC, yeye ndiye aliyehusika moja kwa moja katika kulifanya Jeshi la Ulinzi la nchi hiyo kuwa dhaifu Sana kupindukia kama unavyoliona hivi sasa Jeshi la Ulinzi la nchi hiyo. Ni Mobutu Sese Seko ndiye aliyeanzisha tatizo hili.

Kumbuka: Hatma ya WaCongoman ipo mikononi mwao wao wenyewe.

DRC wana tatizo la utawala kutokana na kuwakaribishwa ''Rwanda' wakati wa kumuondoa Mobutu.
Jeshi la DRC limeingiliwa sana na Wanyarwanda kiasi kwamba mipango yao ipo wazi.
Kuna Kamanda Kaberebe alikuwa kiongozi DRC sasa ni kiongozi Rwanda, think about that
Majeneral wa Jeshi la DRC ni ''alligiance' kwa Rwanda , wakifukuzwa DRC wanakuwa ''M23'' wakiripoti Rwanda

Nafikiri ni General Kabarebe ndiye alikuwa Mkuu wa Majeshi (CDF) nchini DR Congo na kisha baadaye alikuwa pia Mkuu wa Majeshi (CDF) nchini Rwanda.

Janga kubwa zaidi la udhaifu wa Jeshi la DRC ulipata nguvu kubwa sana kupitia kwa Mtu huyo.

Jeshi la Ulinzi la nchi hiyo ya DRC hadi leo hii ni dhaifu Sana kutokana na kuwepo kwa Mamluki wengi sana ambao wanawaunga mkono (M23) Wapinzani wa Utawala wa nchi hiyo ya DRC.
 
1

Isipokuwa kuna Ukweli mchungu Sana kwamba Watu/Raia wengi wa DRC wa kutoka kwenye maeneo hayo ya pembezoni mwa nchi hiyo ikiwamo na Majimbo ya Kivu na Katanga huwa wanahesabika Kama Raia wa Daraja Pili au raia wa Daraja la mwisho kabisa kwenye nchi hiyo.
Hapa ndipo tunataka kujua, wanakosa haki gani?
Kuna tatizo la Siasa za Ubaguzi kwa Watu wa maeneo hayo ya Mashariki mwa nchi hiyo ya DRC na kuwapendelea zaidi Watu wengine wa kutoka katika maeneo mengine ya nchi hiyo. Watu wengi wa Mashariki mwa DRC kwa kiasi kikubwa Sana wanahesabika Kama siyo WaCongoman, hiki ndio chanzo kikubwa Sana Cha kuwepo kwa huo Mgogoro usiokoma, ukiachana na vyanzo vingine kama vile kuwepo kwa rasilimali nyingi sana za madini ya vito, udhaifu wa Jeshi la DRC, Udhaifu wa Utawala wa nchi hiyo ya DRC, n.k..
Wanojitambulisha kama Watutsi ni wao wenyewe . Hatakujua jina la Banyamulenge!

Tanzania tuna makabila 120 wakiwemo Watusi, Wahutu n.k. Jambo moja zuri, ukijitambulisha kwa Kabila hutakuwa utaonekana kituko, at least kabla ya kuja kwa JPM.

Watu wa mashriki DRC wanajitambulisha kwa makabila ya Banyamulenge na si Wacongoman

Pili, udhaifu wa jeshi nimeueleza chanzo chake bandiko kabla ya hili
Tatu, kuhusu rasilimali hicho ndicho chanzo cha Rwanda kuitamani Kivu na Goma !
2. Siyo rahisi hata kidogo kulipiga na kulifurusha Jeshi la M23 kwa sababu nyingi sana. Mathalani, Watu/Wananchi wengi Sana waishio kwenye maeneo hayo ya Kivu wanawaunga mkono Wapinzani wa Utawala wa nchi hiyo ya DRC, M23 wanaungwa mkono na Wananchi.
Hii ni '' deja vu'' . Tumeishi na kuona mengi sana. Tuliambiwa UNITA wanapendwa sana kule Kabinda.
Tena UNITA walikuwa na msaada wa Mataifa makubwa ya magharibi kuzuia influence ya Russia na China kupitia MPLA. Nchi za SADC zilipoamua Savimbi aliondoka. Unajua mipango ilipangwa wapi! Tz

Tuliambiwa RENAMO wanapendwa sana, mwisho wa siku waliamua kuweka silaha chini.
Nguvu likuwa ya SADC

Bad enough, hata Jeshi la nchi hiyo nalo pia ni dhaifu Sana, na pia kuna Mawakala wengi Sana wa M23 ndani ya Serikali na ndani ya Jeshi la Serikali ya DRC.
I agree
3. Kwa bahati mbaya sana, hata hapa nchini Tanzania, Watu wengi wa kutoka katika mikoa ya pembezoni mwa nchi kama vile Mkoa wa Kigoma, pia wamekuwa wakichukuliwa kama ni 'Wakimbizi.' Tatizo hili lipo sana katika nchi hii, Mimi binafsi nimewahi kushuhudia mara nyingi sana mambo ya namna hii. Kuna ' bad sentiment' miongoni mwa Watu kuwaona Watu wa kutoka Kigoma kuwa ni Wakimbizi kutoka katika nchi za jirani, tatizo hili lipo katika Jamii zetu za Tanzania.
Huwezi kuilamu Tanzania kwasababu ilipokea watu zaidi ya milioni 2 kutoka maeneo ya Vita.

Kuna watu wanaingia na kujifanya ni Watanzania wakikingiwa vifua na wenzao waliotangulia.
Serikali iliamua kuwatawanya Wakimbizi waliopewa Uraia kuzuia hali hiyo

Tuna makabila ya mikoa ya Mara, Arusha, Kilimanjaro, Tanga yenye mbadala Kenya.
Hatujasikia malalamiko! sababu kubwa ni ''stability' katika mipaka kama wa Kenya na TZ

Tuna Wawemba wa Zambia na Wangoni wa Malawi, hatujasikia tatizo! sababu ni stability

Upande wa magharibi lazima tuwe waangalifu, ya M23 yanaweza kutusumbua siku zijazo.
Usidhani M23 wataishia DRC, wakimalizana na DRC watahamia Tanzania!

Hii ni expansion ya Himaya!
 
Zitto Kabwe Ruyagwa aliulizwa na hakuweza kujibu. Ikiwa ni Raia wa DRC ni kitu gani wanadhani hawatendewi haki, hakuna mahali wanaeleza. Ndiyo maana naogopa sana huu mzozo kwasababu M23 wakifanikiwa ipo siku wale wa Kigoma wenye asili za huko DRC na Rwanda wataanza madai kama hayo

DRC wana tatizo la utawala kutokana na kuwakaribishwa ''Rwanda' wakati wa kumuondoa Mobutu.
Jeshi la DRC limeingiliwa sana na Wanyarwanda kiasi kwamba mipango yao ipo wazi.
Kuna Kamanda Kaberebe alikuwa kiongozi DRC sasa ni kiongozi Rwanda, think about that
Majeneral wa Jeshi la DRC ni ''alligiance' kwa Rwanda , wakifukuzwa DRC wanakuwa ''M23'' wakiripoti Rwanda
Hawawezi kuwafukuza hao wanyarwanda jeshini kama kuna ulazima huo, kwanini wanakubali kukaa na mamluki? Tangu mwanzo wanaonekana M23 wanapata full support kutoka Rwanda, kuna kigugumizi gani kuwabembeleza, wapigwe wote, M23, na Rwanda akitaka apigwe tupate utulivu.
 
Hawawezi kuwafukuza hao wanyarwanda jeshini kama kuna ulazima huo, kwanini wanakubali kukaa na mamluki? Tangu mwanzo wanaonekana M23 wanapata full support kutoka Rwanda, kuna kigugumizi gani kuwabembeleza, wapigwe wote, M23, na Rwanda akitaka apigwe tupate utulivu.
Walisha infiltrate sana katika mifumo ya DRC kiasi kwamba ni ngumu kuwajua
Katika jeshi, wana siri zote za ulinzi na hapo ndipo tatizo lilipo.

Watu kama Kabarebe walishirikishwa serikali kwasababu waliaminiwa wanatoka mashariki ya DRC ili kuondoa hisia za kwamba eneo hilo linatengwa. Hawa akina Kabarebe ni Wazaliwa wa DRC au Raia kwa miaka mingi. Ghafla tunawaona ni viongozi wa serikali ya PK!

Banyamulenge ambao ni Wanyarwanda hata aliyezaliwa DRC mwaka 1920 bado ana link na Rwanda

CDF General J.J. Nkunda aliposema '' kuna watu wasio Rais wamepewa nafasi za maamuzi'' hayo ni kwasababu kama hizi, kwamba, utawaona ni Watanzania lakini wana link na nchi yao!

Majaluo wa Tz ni Mzawa halisi. Mmakonde ni Mzawa halisi, Mngon ini mzawa halisi. Hawana link
Si kila kabila ni hivyo hasa ya Wahamiaji wa magharibi!

Miaka michache iliyopita kuna Afisa wa Jeshi alikimbia baada ya kuhisiwa, unajua alikwenda wapi! Rwanda
 
..majeshi ya Tanzania, Malawi, na South Africa, yamekutwa flat footed, ndio maana wamepoteza maeneo na ngome zao.

..jeshi la Congo, pamoja na wanamgambo wao, wameonyesha utovu wa nidhamu, na uwezo wa mdogo, katika uwanja wa mapambano.

..pia nchi za SADC hazijaonyesha nia ya dhati kwa kutoa vifaa na askari wa kutosha kuitetea DRC. Mazingira hayo ndiyo yaliyopelekea M23 na Rwanda kujiamini na kushambulia ngome za nchi za SADC.

..DRC na SADC wasipokuwa makini msishangae M23 na Rwanda wakafika Kinshasa.

NB:

..nahisi SADC ya miaka hii imepungukiwa viongozi wenye mioyo ya kishujaa kama Julius Nyerere, Samora Machel, Robert Mugabe, au Sam Nujoma.

Cc Nguruvi3
SADC ina viongozi wapaka makeups
 
Mkuu, msaada tutani, hivi ni nini kilisababisha wimbi la kwanza la wakimbizi wa kinyarwanda miaka ya 60 na 70?
Mkuu Historia haijawahi kuwa nzuri kwa Rwanda na Burundi. Haikuanza miaka ya 60 na 70, ilianza nyuma ya 1957. Ugomvi wa Watutsi na Wahutu una mizizi ingawa siku hizi wanasema ni ''social class'' kwamba Mhutu anaweza kuwa Mtutsi au vice versa kutokana na Utajiri, sikubaliani na dhana hii

Tatizo lilianza na Belgium, lakini pia likakuzwa baada ya Uhuru mwaka 1962 ambapo Wahutu waliwatimua Watutsi. Kuna Theories nyingi lakini moja kubwa ni kwamba Hutu ni Bantu ndio asilia na Tutsi ni Nilotic wanatoka Horn of Afrika. Ugomvi wa '' Watawala na Wageni'' ndicho chanzo
 
Walisha infiltrate sana katika mifumo ya DRC kiasi kwamba ni ngumu kuwajua
Katika jeshi, wana siri zote za ulinzi na hapo ndipo tatizo lilipo.

Watu kama Kabarebe walishirikishwa serikali kwasababu waliaminiwa wanatoka mashariki ya DRC ili kuondoa hisia za kwamba eneo hilo linatengwa. Hawa akina Kabarebe ni Wazaliwa wa DRC au Raia kwa miaka mingi. Ghafla tunawaona ni viongozi wa serikali ya PK!

Banyamulenge ambao ni Wanyarwanda hata aliyezaliwa DRC mwaka 1920 bado ana link na Rwanda

CDF General J.J. Nkunda aliposema '' kuna watu wasio Rais wamepewa nafasi za maamuzi'' hayo ni kwasababu kama hizi, kwamba, utawaona ni Watanzania lakini wana link na nchi yao!

Majaluo wa Tz ni Mzawa halisi. Mmakonde ni Mzawa halisi, Mngon ini mzawa halisi. Hawana link
Si kila kabila ni hivyo hasa ya Wahamiaji wa magharibi!

Miaka michache iliyopita kuna Afisa wa Jeshi alikimbia baada ya kuhisiwa, unajua alikwenda wapi! Rwanda
Ukisema kuna halafu ukashindwa kumtaja jina hiyo inakuwa hearsay ama haox
 
Hapa ndipo tunataka kujua, wanakosa haki gani?

Wanojitambulisha kama Watutsi ni wao wenyewe . Hatakujua jina la Banyamulenge!

Tanzania tuna makabila 120 wakiwemo Watusi, Wahutu n.k. Jambo moja zuri, ukijitambulisha kwa Kabila hutakuwa utaonekana kituko, at least kabla ya kuja kwa JPM.

Watu wa mashriki DRC wanajitambulisha kwa makabila ya Banyamulenge na si Wacongoman

Pili, udhaifu wa jeshi nimeueleza chanzo chake bandiko kabla ya hili
Tatu, kuhusu rasilimali hicho ndicho chanzo cha Rwanda kuitamani Kivu na Goma !

Hii ni '' deja vu'' . Tumeishi na kuona mengi sana. Tuliambiwa UNITA wanapendwa sana kule Kabinda.
Tena UNITA walikuwa na msaada wa Mataifa makubwa ya magharibi kuzuia influence ya Russia na China kupitia MPLA. Nchi za SADC zilipoamua Savimbi aliondoka. Unajua mipango ilipangwa wapi! Tz

Tuliambiwa RENAMO wanapendwa sana, mwisho wa siku waliamua kuweka silaha chini.
Nguvu likuwa ya SADC


I agree

Huwezi kuilamu Tanzania kwasababu ilipokea watu zaidi ya milioni 2 kutoka maeneo ya Vita.

Kuna watu wanaingia na kujifanya ni Watanzania wakikingiwa vifua na wenzao waliotangulia.
Serikali iliamua kuwatawanya Wakimbizi waliopewa Uraia kuzuia hali hiyo

Tuna makabila ya mikoa ya Mara, Arusha, Kilimanjaro, Tanga yenye mbadala Kenya.
Hatujasikia malalamiko! sababu kubwa ni ''stability' katika mipaka kama wa Kenya na TZ

Tuna Wawemba wa Zambia na Wangoni wa Malawi, hatujasikia tatizo! sababu ni stability

Upande wa magharibi lazima tuwe waangalifu, ya M23 yanaweza kutusumbua siku zijazo.
Usidhani M23 wataishia DRC, wakimalizana na DRC watahamia Tanzania!

Hii ni expansion ya Himaya!
Nimekumbuka jina la Jonas Savimbi, kuna siku asubuhi wakati anaendelea kusumbua niliona mzigo mdogo sana ila wa maana mitaa ya kati nikasema Jonas Savimbi kwisha habari yake, niliwaona pia wageni waliotoka mbali ni njia tu walipita wachache wakiwasindikiza ,je yu wapi Lauraa Nkunda ,Joseph Koni? wa wengine,
Kama ni rahisi M23 kujaribu au jina jingine naona Rwanda,Burundi na Congo zitaungana na Tanzania kuwa Taifa moja, na kama Ta Museveni atakuwepo nae ataridhia kujiunga na Tanzania kuwa Taifa moja, maana wananchi hawataka tena vita na propaganda za viongozi
 
PK huwa anadharau vikao vya usuluhishi, leo katua Dar nadhani ni kutokana na vipigo.
Nope Sio Kweli mkuu. Idadi ya vifo vya Askari wa M23 hamaanishi kwamba M23 are defeated.

What do you know about PYRRIC VICTORY?
 
Mtoa mada, what do you know about " Pyrric victory"?
 
Tatizo kubwa zaidi lililopo DRC ni kuwepo kwa Utawala dhaifu Sana kupita kiasi na Utawala huo kwa kiasi kikubwa umekosa uungwaji mkono kutoka kwa umma/Wananchi walio wengi zaidi.

Kwa Vita vya Mwaka 1997-1998 huko DRC (Zaire), Viongozi wa SADC walifanya vyema kutokutuma Majeshi yao kwenda vitani huko Zaire kwa sababu Dikteta Mobutu Sese Seko alikuwa haungwi mkono kabisa na Wananchi wake wengi zaidi wa nchi hiyo. Hata Jeshi la Ulinzi la nchi hiyo ya Zaire walikuwa hawampendi Rais Mobutu Sese Seko.
But all in all, Dikteta Mobutu Sese Seko ana mchango mkubwa sana wa kuwepo kwa machafuko na Vita visivyoisha ndani ya nchi hiyo ya Zaire. Yeye ndiye muasisi Mkuu wa kuwepo kwa Utawala dhaifu Sana nchini DRC, yeye ndiye aliyehusika moja kwa moja katika kulifanya Jeshi la Ulinzi la nchi hiyo kuwa dhaifu Sana kupindukia kama unavyoliona hivi sasa Jeshi la Ulinzi la nchi hiyo. Ni Mobutu Sese Seko ndiye aliyeanzisha tatizo hili.

Kumbuka: Hatma ya WaCongoman ipo mikononi mwao wao wenyewe.



Nafikiri ni General Kabarebe ndiye alikuwa Mkuu wa Majeshi (CDF) nchini DR Congo na kisha baadaye alikuwa pia Mkuu wa Majeshi (CDF) nchini Rwanda.

Janga kubwa zaidi la udhaifu wa Jeshi la DRC ulipata nguvu kubwa sana kupitia kwa Mtu huyo.

Jeshi la Ulinzi la nchi hiyo ya DRC hadi leo hii ni dhaifu Sana kutokana na kuwepo kwa Mamluki wengi sana ambao wanawaunga mkono (M23) Wapinzani wa Utawala wa nchi hiyo ya DRC.

..Mobutu pamoja na mabaya yake yote hakumwaga damu ya Wacongo kwa kiwango ambacho Kagame, Museveni, na vibaraka wao, wamefanya.

..Wacongo waliopoteza maisha tangu 1998 Kagame, Museveni,na vibaraka wao, walipovamia DRC, ni wengi kupita kiasi, na inaleta ugumu mkubwa kuitetea Rwanda, au Uganda, katika madai yao dhidi ya DRC.
 
Back
Top Bottom