Habari za uongo kuhusu mafanikio ya Royal Tour

Habari za uongo kuhusu mafanikio ya Royal Tour

Wewe Pinga Pinga utakuwa na hoja kweli?

Haya ropoka na kupinga na hapa 👇
Do you think i can buy that cheap propoganda comment from your fellow lice 😂😂😂!
Hamna asiyejua kuwa mmenunua media za mtandaoni ili msambaze ujinga.
Namba ya watalii haija exceed ya miaka ya nyuma how can you justify that Royo Tua imeleta impact yeyote
 
Ni mjinga pekee ndiye huamini bila kuhoji[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23].

Hii nchi ili kuendelea ni lazima raia wabadiri mindset zao kutoshobokea uongo wa wanasiasa ili tuone huo upumbavu wao watampa nan.

Huyu maza pamoja na genge lake wameshindwa kupika data mpaka wanasanukiwa mapema hivi?

Huyu mvaa majuba akivuka 2025 bila kung'olewa ama kujing'oa mwenyewe basi mjuwe the karma is wrong na waTz tutakuwa tumeshindikana ktk level ya uvumilivu wa Upumbavu&Ujinga.View attachment 2249822
Hizi takwim zote ni kutafuta tu kusema na kutuamsha usingizini embu tuacheni tuendelee kulala [emoji848][emoji848]
 
Back
Top Bottom