Habari za uongo kuhusu mafanikio ya Royal Tour

Habari za uongo kuhusu mafanikio ya Royal Tour

Halafu kipindi anahojiwa bila wasiwasi anasema hakuwahi kuendesha gari kwa muda wa miaka zaidi ya kumi

Hivi MTU hajaendesha gari kwa muda wote huo halafu unampa gari ghafra aendeshe, tiss wanajua kwa kiasi gani walikua wanahatarisha maisha ya rais wetu? Kwa kumruhusu kuendesha? Vipi kama angejisahau akakanyaga pedal ya mafuta kwa nguvu, gari ikapanda kilima kisha ikaanguka upsidedown? (Madereva niambieni, ukae miaka 10 bila kuendesha gari)Wangesemaje? Maana ndani ya gari alikua yeye na beberu tu, ile scene ilikua ya hatari sana.
Speed kiduchu labda..
 

Imejifia Kibudu, Umeiona Wapi Ikionyeshwa Kwenye Television Zetu? Peter Ametupiga Mchana Kweupe Kuku Wanaona

Kila siku iko live Tanzania safari channel na juzi Taifa kwenye Kombe la Dunia ilikuwa live..

Kama tumepigwa sawa tuu maana matunda haya hapa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220604-122749.png
    Screenshot_20220604-122749.png
    107.3 KB · Views: 11
  • Screenshot_20220604-082109.png
    Screenshot_20220604-082109.png
    106.7 KB · Views: 11
  • Screenshot_20220604-081354.png
    Screenshot_20220604-081354.png
    127.7 KB · Views: 12

Imejifia Kibudu, Umeiona Wapi Ikionyeshwa Kwenye Television Zetu? Peter Ametupiga Mchana Kweupe Kuku Wanaona


Soko la Utalii lingekuwa kwa ajili yako wala tusingehangaika na hizi kelele… huna unalolifahamu hiyo si igizo la kaole ni marketing ads with targeting market haupo kwenye hilo kundi mefiii wewe.
 
Uzi mzuri..umesaidia kuonyesha ujinga wako na ujinga wa hao unaowaponda.
Kimsingi mafanikio ya jambo lolote yana muda..yaani muda mfupi, wa kati na muda mrefu. Hivyo,ni mapema sana kuanza kusifia au kukosoa kuhusu Royal Tour.
 
Utaitwa sukuma gang!

Uzuri ni kwamba hii awamu ina machawa kutoka pande zote 2. Kuna yale machawa kutoka ccm na yale ya kutoka chadema
Wapumbavu nyinyi...

Period.
 
Ningeona Ana Akili sana , awe sponsor kwenye movies zinazojulikana kama Fast & Furios , Avengers kwa hiyo hela , wamtengenezee scene yenye vivutio vya Tanzania katikati ya stori ya movie

Au angefanya Digital Marketing, nchi ya Marekani Ni namba moja katika matumizi ya intaneti , So kila anayeingia mtandaoni anakutana na matangazo ya Utalii Tanzania.
Au amtumie mtu maarufu kuitangaza nchi kwenye page zao za mtandaoni mf. wanamichezo bora duniani, wasanii n.k hzo bilion 11 zingetosha sana.
 
Watalii wanaongezeka. Endeleeni kukaza shingo, lakini kazi inaonekana vitendo
Screenshot_20220604-123642_Instagram.jpg
 
Hata wakiongezeka 100 hiyo itakuwa ni faida ya royo tua.
 
Hahaha yani ole wake mtalii aje lazima royal tour asingiziwe hahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama wanavyosema watu kwamba ujinga ni mtaji mkubwa sana wa Wanasiasa hasa wa Africa na zaidi Tanzania. Ukizingatia kwamba ujinga bado ni tatizo kubwa sana kwa Tanzania, wanasiasa wanachofanya ni ku'capitalize' kwenye ujinga wa Watanzania.

Mtu akishakujua wewe ni mjinga maana yake hata akiamua kukudanganya bado atafanikiwa kwa sababu wewe ni mjinga. Ujinga ni hali ya kutokujua jambo fulani, ila ukishajua unakua sio mjinga tena kwenye hilo jambo. Tatizo la Tanzania watu wengi ni wajinga karibu kwenye kila kitu hata vile vitu vya msingi ambavyo unatarajia kua mtu lazima awe anavijua kwa Tanzania bado ni tatizo.

Ujinga uliopo sasa ni wa takwimu, serikali na wanasiasa kupika takwimu ili kutetea filamu ya royal tour. Juzi nimemsikia kiongozi mmoja akisema Watalii Tanzania wamejaa hadi mwezi wa 9, yaani hoteli za Tanzania zimejaa kwa miezi 3 ijayo ziko full booked kutokana na mafanikio ya Royal Tour.

Kuna kiongozi mwingine leo kaenda mbali zaidi akasema Tanzania kwa sasa inaongoza kwa kua na watalii wengi Afrika nzima kutokana na Royal Tour.

Kwa wasiofahamu, Kabla ya Covid, Nchi iliyokua inaongoza kwa idadi ya Watalii Afrika ilikua ni South Afrika ambayo ilikua inapokea watalii milioni 16 kwa mwaka ikifuatiwa na Tunisia milioni 12 kwa mwaka. Ila baada ya Covid, South Afrika mwaka jana imepata watalii 9.5m huku ikizidiwa na Tunisia iliyopata watalii 10m. Tanzania kwa miaka yote imekua ikiambulia watalii kati ya milioni moja hadi milioni 1.8 kwa mwaka.

Turudi kwenye hoja yangu ya uongo ulipo. Kama watanzania wangekua wanajua facts chache tu ambazo ziko wazi wala wasingehangaika na maneno ya wanasiasa.

Ili ujue kama Watalii wanaongezeka Tanzania ama lah angalia thamani ya shilingi dhidi ya Dollar ya Marekani kwa kipindi cha miezi 5 iliyopita hadi leo hii June 2022.

Thamani ya shilingi imezidi kuporomoka siku hadi siku kutokana na kwamba hakuna vyanzo vya kuingiza Dollar nchini. Kwa Tanzania vyanzo pekee vya kuingiza pesa za kigeni ni utalii na mauzo ya mazao ghafi kama Korosho, Kahawa ama Pamba.

Ukiangalia takwimu za Shilingi dhidi ya Dollar, shilingi ilipanda mwezi Septemba mwaka jana hadi December kutokana na mauzo ya Korosho, msimu wa korosho ulipoisha tu Dollar imekua ikipanda kwa fujo na labda itashuka tena kuanzia Septemba mwaka huu.

Iwapo kungekua na inflow kubwa hivyo ya watalii kama inavyosemwa na wanasiasa, inflow ya Dollar ingeonyesha matokeo yake kwenye thamani ya shilingi dhidi ya Dollar. Kwa tunaojua soko la Dollar shilingi tunajua ni maneno tu ya wanasiasa maana dollar haipo kabisa sokoni.

Watanzania wengi wangekua wanajua hata hizi naked facts wanasiasa wasingekua wanathubutu kusema uongo ila kwa kua wanajua watanzania wengi ni wajinga, watasema wanachotaka kusema.

Ahsante sana.
 
Kama wanavyosema watu kwamba ujinga ni mtaji mkubwa sana wa Wanasiasa hasa wa Africa na zaidi Tanzania. Ukizingatia kwamba ujinga bado ni tatizo kubwa sana kwa Tanzania, wanasiasa wanachofanya ni ku'capitalize' kwenye ujinga wa Watanzania.

Mtu akishakujua wewe ni mjinga maana yake hata akiamua kukudanganya bado atafanikiwa kwa sababu wewe ni mjinga. Ujinga ni hali ya kutokujua jambo fulani, ila ukishajua unakua sio mjinga tena kwenye hilo jambo. Tatizo la Tanzania watu wengi ni wajinga karibu kwenye kila kitu hata vile vitu vya msingi ambavyo unatarajia kua mtu lazima awe anavijua kwa Tanzania bado ni tatizo.

Ujinga uliopo sasa ni wa takwimu, serikali na wanasiasa kupika takwimu ili kutetea filamu ya royal tour. Juzi nimemsikia kiongozi mmoja akisema Watalii Tanzania wamejaa hadi mwezi wa 9, yaani hoteli za Tanzania zimejaa kwa miezi 3 ijayo ziko full booked kutokana na mafanikio ya Royal Tour.

Kuna kiongozi mwingine leo kaenda mbali zaidi akasema Tanzania kwa sasa inaongoza kwa kua na watalii wengi Afrika nzima kutokana na Royal Tour.

Kwa wasiofahamu, Kabla ya Covid, Nchi iliyokua inaongoza kwa idadi ya Watalii Afrika ilikua ni South Afrika ambayo ilikua inapokea watalii milioni 16 kwa mwaka ikifuatiwa na Tunisia milioni 12 kwa mwaka. Ila baada ya Covid, South Afrika mwaka jana imepata watalii 9.5m huku ikizidiwa na Tunisia iliyopata watalii 10m. Tanzania kwa miaka yote imekua ikiambulia watalii kati ya milioni moja hadi milioni 1.8 kwa mwaka.

Turudi kwenye hoja yangu ya uongo ulipo. Kama watanzania wangekua wanajua facts chache tu ambazo ziko wazi wala wasingehangaika na maneno ya wanasiasa.

Ili ujue kama Watalii wanaongezeka Tanzania ama lah angalia thamani ya shilingi dhidi ya Dollar ya Marekani kwa kipindi cha miezi 5 iliyopita hadi leo hii June 2022.

Thamani ya shilingi imezidi kuporomoka siku hadi siku kutokana na kwamba hakuna vyanzo vya kuingiza Dollar nchini. Kwa Tanzania vyanzo pekee vya kuingiza pesa za kigeni ni utalii na mauzo ya mazao ghafi kama Korosho, Kahawa ama Pamba.

Ukiangalia takwimu za Shilingi dhidi ya Dollar, shilingi ilipanda mwezi Septemba mwaka jana hadi December kutokana na mauzo ya Korosho, msimu wa korosho ulipoisha tu Dollar imekua ikipanda kwa fujo na labda itashuka tena kuanzia Septemba mwaka huu.

Iwapo kungekua na inflow kubwa hivyo ya watalii kama inavyosemwa na wanasiasa, inflow ya Dollar ingeonyesha matokeo yake kwenye thamani ya shilingi dhidi ya Dollar. Kwa tunaojua soko la Dollar shilingi tunajua ni maneno tu ya wanasiasa maana dollar haipo kabisa sokoni.

Watanzania wengi wangekua wanajua hata hizi naked facts wanasiasa wasingekua wanathubutu kusema uongo ila kwa kua wanajua watanzania wengi ni wajinga, watasema wanachotaka kusema.

Ahsante sana.
Kizazi Sana
 
Halafu kipindi anahojiwa bila wasiwasi anasema hakuwahi kuendesha gari kwa muda wa miaka zaidi ya kumi

Hivi MTU hajaendesha gari kwa muda wote huo halafu unampa gari ghafra aendeshe, tiss wanajua kwa kiasi gani walikua wanahatarisha maisha ya rais wetu? Kwa kumruhusu kuendesha? Vipi kama angejisahau akakanyaga pedal ya mafuta kwa nguvu, gari ikapanda kilima kisha ikaanguka upsidedown? (Madereva niambieni, ukae miaka 10 bila kuendesha gari)Wangesemaje? Maana ndani ya gari alikua yeye na beberu tu, ile scene ilikua ya hatari sana.
Kwani aliendesha bila rehearsal .? Fikiria kwanza.
 
Kama wanavyosema watu kwamba ujinga ni mtaji mkubwa sana wa Wanasiasa hasa wa Africa na zaidi Tanzania. Ukizingatia kwamba ujinga bado ni tatizo kubwa sana kwa Tanzania, wanasiasa wanachofanya ni ku'capitalize' kwenye ujinga wa Watanzania.

Mtu akishakujua wewe ni mjinga maana yake hata akiamua kukudanganya bado atafanikiwa kwa sababu wewe ni mjinga. Ujinga ni hali ya kutokujua jambo fulani, ila ukishajua unakua sio mjinga tena kwenye hilo jambo. Tatizo la Tanzania watu wengi ni wajinga karibu kwenye kila kitu hata vile vitu vya msingi ambavyo unatarajia kua mtu lazima awe anavijua kwa Tanzania bado ni tatizo.

Ujinga uliopo sasa ni wa takwimu, serikali na wanasiasa kupika takwimu ili kutetea filamu ya royal tour. Juzi nimemsikia kiongozi mmoja akisema Watalii Tanzania wamejaa hadi mwezi wa 9, yaani hoteli za Tanzania zimejaa kwa miezi 3 ijayo ziko full booked kutokana na mafanikio ya Royal Tour.

Kuna kiongozi mwingine leo kaenda mbali zaidi akasema Tanzania kwa sasa inaongoza kwa kua na watalii wengi Afrika nzima kutokana na Royal Tour.

Kwa wasiofahamu, Kabla ya Covid, Nchi iliyokua inaongoza kwa idadi ya Watalii Afrika ilikua ni South Afrika ambayo ilikua inapokea watalii milioni 16 kwa mwaka ikifuatiwa na Tunisia milioni 12 kwa mwaka. Ila baada ya Covid, South Afrika mwaka jana imepata watalii 9.5m huku ikizidiwa na Tunisia iliyopata watalii 10m. Tanzania kwa miaka yote imekua ikiambulia watalii kati ya milioni moja hadi milioni 1.8 kwa mwaka.

Turudi kwenye hoja yangu ya uongo ulipo. Kama watanzania wangekua wanajua facts chache tu ambazo ziko wazi wala wasingehangaika na maneno ya wanasiasa.

Ili ujue kama Watalii wanaongezeka Tanzania ama lah angalia thamani ya shilingi dhidi ya Dollar ya Marekani kwa kipindi cha miezi 5 iliyopita hadi leo hii June 2022.

Thamani ya shilingi imezidi kuporomoka siku hadi siku kutokana na kwamba hakuna vyanzo vya kuingiza Dollar nchini. Kwa Tanzania vyanzo pekee vya kuingiza pesa za kigeni ni utalii na mauzo ya mazao ghafi kama Korosho, Kahawa ama Pamba.

Ukiangalia takwimu za Shilingi dhidi ya Dollar, shilingi ilipanda mwezi Septemba mwaka jana hadi December kutokana na mauzo ya Korosho, msimu wa korosho ulipoisha tu Dollar imekua ikipanda kwa fujo na labda itashuka tena kuanzia Septemba mwaka huu.

Iwapo kungekua na inflow kubwa hivyo ya watalii kama inavyosemwa na wanasiasa, inflow ya Dollar ingeonyesha matokeo yake kwenye thamani ya shilingi dhidi ya Dollar. Kwa tunaojua soko la Dollar shilingi tunajua ni maneno tu ya wanasiasa maana dollar haipo kabisa sokoni.

Watanzania wengi wangekua wanajua hata hizi naked facts wanasiasa wasingekua wanathubutu kusema uongo ila kwa kua wanajua watanzania wengi ni wajinga, watasema wanachotaka kusema.

Ahsante sana.
Huo utalii usipotangazwa watakujaje kwa wingi..? Kila kitu mnahubiri kupigwa hivi royal tour ni ya kwanza ulimwemguni kucheza na mhusika akawa raisi..?
 
Mtu akishakujua wewe ni mjinga maana yake hata akiamua kukudanganya bado atafanikiwa kwa sababu wewe ni mjinga. Ujinga ni hali ya kutokujua jambo fulani, ila ukishajua unakua sio mjinga tena kwenye hilo jambo. Tatizo la Tanzania watu wengi ni wajinga karibu kwenye kila kitu hata vile vitu vya msingi ambavyo unatarajia kua mtu lazima awe anavijua kwa Tanzania bado ni tatizo.
Mjinga siyo mtu aliyefichwa taarifa sahihi; bali ni yule aliye na taarifa sahihi ila hawezi kuzichakata sawaswa na kufanya interpretation inayoendana na taarifa hizo sahihi alizonazo.

Kwa upande mwingine yule aliyefichwa taarifa sahihi kwa kupewa taarifa fake, huyo siyo mjinga; japo akiamua kuzifanyia kazi taarifa hizo, zitapekea awe na wrong conclusion na hivyo kuepelea na yeye kuonekana kama ni mjinga

Kwa mfano, tukichukulia upande wa wale waliosoma sheria, mojawapo ya conditions muhimu kabisa mtu anapotakiwa kuingia mkataba na mtu mwingine, ni kuwa mkweli (disclosure of material facts). Hiki kipengele ni cha muhimu sana kwenye mikataba na ikitokea kikakiukwa, basi yule aliyedanganywa, sheria inakuwa upande wake na yuke aliyedanganya , kawaida lazime ile kwake

Kwa hali hiyo basi, inapotokea watu wawili wameingia mkataba na mmoja akaamua kumdanganya mwenzake, kisheria aliyedanganywa siyo majinga isipokuwa kama ikitokea akafanya kosa kwenye maamuzi yake linalotokana na kudanganywa huko, basi sheria huwa inamchukulia kuwa "he acted upon false information" na hivyo aliyetoa false information ndiyo anakuwa na makosa.

Actually anayedanganya ndiyo mjinga na si yule aliyedanganywa.

Now, are you saying, mamlaka zinazohusika na takwimu zinawadanya Watanzania? Je, unadhani Watanzania ni wajinga? Takwimu sahihi wewe unazo? Ni zipi?
 
Mjinga siyo mtu aliyefichwa taarifa sahihi; bali ni yule aliye na taarifa sahihi ila hawezi kuzichakata sawaswa na kufanya interpretation inayoendana na taarifa hizo sahihi alizonazo.

Kwa upande mwingine yule aliyefichwa taarifa sahihi kwa kupewa taarifa fake, huyo siyo mjinga; japo akiamua kuzifanyia kazi taarifa hizo, zitapekea awe na wrong conclusion na hivyo kuepelea na yeye kuonekana kama ni mjinga

Kwa mfano, tukichukulia upande wa wale waliosoma sheria, mojawapo ya conditions muhimu kabisa mtu anapotakiwa kuingia mkataba na mtu mwingine, ni kuwa mkweli (disclosure of material facts). Hiki kipengele ni cha muhimu sana kwenye mikataba na ikitokea kikakiukwa, basi yule aliyedanganywa, sheria inakuwa upande wake na yuke aliyedanganya , kawaida lazime ile kwake

Kwa hali hiyo basi, inapotokea watu wawili wameingia mkataba na mmoja akaamua kumdanganya mwenzake, kisheria aliyedanganywa siyo majinga isipokuwa kama ikitokea akafanya kosa kwenye maamuzi yake linalotokana na kudanganywa huko, basi sheria huwa inamchukulia kuwa "he acted upon false information" na hivyo aliyetoa false information ndiyo anakuwa na makosa.

Actually anayedanganya ndiyo mjinga na si yule aliyedanganywa.

Now, are you saying, mamlaka zinazohusika na takwimu zinawadanya Watanzania? Je, unadhani Watanzania ni wajinga? Takwimu sahihi wewe unazo? Ni zipi?
Akikupa hizo takwimu zake hapa ni tag
 
Back
Top Bottom