Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndiyo unaona watanzania ni wajinga. Lini na wapi idadi ya watalii ikapimwa kwa kiwango cha kushuka au kupanda kwa shilingi dhidi ya dola ya kimarekani? Factors nyingi zinafanya Dollar kuwa juu au chini na siyo tu utaliiKama wanavyosema watu kwamba ujinga ni mtaji mkubwa sana wa Wanasiasa hasa wa Africa na zaidi Tanzania. Ukizingatia kwamba ujinga bado ni tatizo kubwa sana kwa Tanzania, wanasiasa wanachofanya ni ku'capitalize' kwenye ujinga wa Watanzania.
Mtu akishakujua wewe ni mjinga maana yake hata akiamua kukudanganya bado atafanikiwa kwa sababu wewe ni mjinga. Ujinga ni hali ya kutokujua jambo fulani, ila ukishajua unakua sio mjinga tena kwenye hilo jambo. Tatizo la Tanzania watu wengi ni wajinga karibu kwenye kila kitu hata vile vitu vya msingi ambavyo unatarajia kua mtu lazima awe anavijua kwa Tanzania bado ni tatizo.
Ujinga uliopo sasa ni wa takwimu, serikali na wanasiasa kupika takwimu ili kutetea filamu ya royal tour. Juzi nimemsikia kiongozi mmoja akisema Watalii Tanzania wamejaa hadi mwezi wa 9, yaani hoteli za Tanzania zimejaa kwa miezi 3 ijayo ziko full booked kutokana na mafanikio ya Royal Tour.
Kuna kiongozi mwingine leo kaenda mbali zaidi akasema Tanzania kwa sasa inaongoza kwa kua na watalii wengi Afrika nzima kutokana na Royal Tour.
Kwa wasiofahamu, Kabla ya Covid, Nchi iliyokua inaongoza kwa idadi ya Watalii Afrika ilikua ni South Afrika ambayo ilikua inapokea watalii milioni 16 kwa mwaka ikifuatiwa na Tunisia milioni 12 kwa mwaka. Ila baada ya Covid, South Afrika mwaka jana imepata watalii 9.5m huku ikizidiwa na Tunisia iliyopata watalii 10m. Tanzania kwa miaka yote imekua ikiambulia watalii kati ya milioni moja hadi milioni 1.8 kwa mwaka.
Turudi kwenye hoja yangu ya uongo ulipo. Kama watanzania wangekua wanajua facts chache tu ambazo ziko wazi wala wasingehangaika na maneno ya wanasiasa.
Ili ujue kama Watalii wanaongezeka Tanzania ama lah angalia thamani ya shilingi dhidi ya Dollar ya Marekani kwa kipindi cha miezi 5 iliyopita hadi leo hii June 2022.
Thamani ya shilingi imezidi kuporomoka siku hadi siku kutokana na kwamba hakuna vyanzo vya kuingiza Dollar nchini. Kwa Tanzania vyanzo pekee vya kuingiza pesa za kigeni ni utalii na mauzo ya mazao ghafi kama Korosho, Kahawa ama Pamba.
Ukiangalia takwimu za Shilingi dhidi ya Dollar, shilingi ilipanda mwezi Septemba mwaka jana hadi December kutokana na mauzo ya Korosho, msimu wa korosho ulipoisha tu Dollar imekua ikipanda kwa fujo na labda itashuka tena kuanzia Septemba mwaka huu.
Iwapo kungekua na inflow kubwa hivyo ya watalii kama inavyosemwa na wanasiasa, inflow ya Dollar ingeonyesha matokeo yake kwenye thamani ya shilingi dhidi ya Dollar. Kwa tunaojua soko la Dollar shilingi tunajua ni maneno tu ya wanasiasa maana dollar haipo kabisa sokoni.
Watanzania wengi wangekua wanajua hata hizi naked facts wanasiasa wasingekua wanathubutu kusema uongo ila kwa kua wanajua watanzania wengi ni wajinga, watasema wanachotaka kusema.
Ahsante sana.
You have made it!Kama wanavyosema watu kwamba ujinga ni mtaji mkubwa sana wa Wanasiasa hasa wa Africa na zaidi Tanzania. Ukizingatia kwamba ujinga bado ni tatizo kubwa sana kwa Tanzania, wanasiasa wanachofanya ni ku'capitalize' kwenye ujinga wa Watanzania.
Mtu akishakujua wewe ni mjinga maana yake hata akiamua kukudanganya bado atafanikiwa kwa sababu wewe ni mjinga. Ujinga ni hali ya kutokujua jambo fulani, ila ukishajua unakua sio mjinga tena kwenye hilo jambo. Tatizo la Tanzania watu wengi ni wajinga karibu kwenye kila kitu hata vile vitu vya msingi ambavyo unatarajia kua mtu lazima awe anavijua kwa Tanzania bado ni tatizo.
Ujinga uliopo sasa ni wa takwimu, serikali na wanasiasa kupika takwimu ili kutetea filamu ya royal tour. Juzi nimemsikia kiongozi mmoja akisema Watalii Tanzania wamejaa hadi mwezi wa 9, yaani hoteli za Tanzania zimejaa kwa miezi 3 ijayo ziko full booked kutokana na mafanikio ya Royal Tour.
Kuna kiongozi mwingine leo kaenda mbali zaidi akasema Tanzania kwa sasa inaongoza kwa kua na watalii wengi Afrika nzima kutokana na Royal Tour.
Kwa wasiofahamu, Kabla ya Covid, Nchi iliyokua inaongoza kwa idadi ya Watalii Afrika ilikua ni South Afrika ambayo ilikua inapokea watalii milioni 16 kwa mwaka ikifuatiwa na Tunisia milioni 12 kwa mwaka. Ila baada ya Covid, South Afrika mwaka jana imepata watalii 9.5m huku ikizidiwa na Tunisia iliyopata watalii 10m. Tanzania kwa miaka yote imekua ikiambulia watalii kati ya milioni moja hadi milioni 1.8 kwa mwaka.
Turudi kwenye hoja yangu ya uongo ulipo. Kama watanzania wangekua wanajua facts chache tu ambazo ziko wazi wala wasingehangaika na maneno ya wanasiasa.
Ili ujue kama Watalii wanaongezeka Tanzania ama lah angalia thamani ya shilingi dhidi ya Dollar ya Marekani kwa kipindi cha miezi 5 iliyopita hadi leo hii June 2022.
Thamani ya shilingi imezidi kuporomoka siku hadi siku kutokana na kwamba hakuna vyanzo vya kuingiza Dollar nchini. Kwa Tanzania vyanzo pekee vya kuingiza pesa za kigeni ni utalii na mauzo ya mazao ghafi kama Korosho, Kahawa ama Pamba.
Ukiangalia takwimu za Shilingi dhidi ya Dollar, shilingi ilipanda mwezi Septemba mwaka jana hadi December kutokana na mauzo ya Korosho, msimu wa korosho ulipoisha tu Dollar imekua ikipanda kwa fujo na labda itashuka tena kuanzia Septemba mwaka huu.
Iwapo kungekua na inflow kubwa hivyo ya watalii kama inavyosemwa na wanasiasa, inflow ya Dollar ingeonyesha matokeo yake kwenye thamani ya shilingi dhidi ya Dollar. Kwa tunaojua soko la Dollar shilingi tunajua ni maneno tu ya wanasiasa maana dollar haipo kabisa sokoni.
Watanzania wengi wangekua wanajua hata hizi naked facts wanasiasa wasingekua wanathubutu kusema uongo ila kwa kua wanajua watanzania wengi ni wajinga, watasema wanachotaka kusema.
Ahsante sana.
Kwa vile mlizoea kuua na hiyo nafasi mmenyumwa sasa mnatamani mchokoze kila Mtu. Mmekuwa Chawa wanyonya damu kwa miaka 5 mkipokea Matunda ya damu za watu wasio na hatia. Huo uchungu dhidi ya watanzania mmeutoa wapi ghafla nyie wauaji?Utaitwa sukuma gang!
Uzuri ni kwamba hii awamu ina machawa kutoka pande zote 2. Kuna yale machawa kutoka ccm na yale ya kutoka chadema
Na wewe kuwa Chawa mkuu ila ndio hivyo EuroWings wameanzisha safari za Kia-Frankfurt..Chawa mwingine huyu hapa [emoji28][emoji28]View attachment 2250077
Rais wetu anawashinda akina Angeline Jolie, Nicole Kidman, Jeniffer Lawrence, Lupita Nyong'o na mastaa wengineo wa namna hiyo; unataka kuleta mchezo?Rais unaanzaje kuigiza?
Ujue mie mwenzenu mpaka Leo bado sielewi elewi.(pole jamani nje ya mada )
Wacha uowngo wewe ; hizo program za safari za msimu (seasonal ) zipo kila mwaka.Na wewe kuwa Chawa mkuu ila ndio hivyo EuroWings wameanzisha safari za Kia-Frankfurt..
Wiki ijayo Turkish airline inaanza tena safari zake zilizositishwa kwa zaidi ya miaka 2
We Jamaa unapenda sana Mapicha picha...Mafanikio ya Royal tour,
Ndege ya shirika la EuroWings imeanzisha safari za moja kwa moja kutoka Frankfurt to KIA,imetua leo asubuhi ikiwa na zaidi ya Watalii 130 [emoji116]
Ulitaka nikupende wewe?We Jamaa unapenda sana Mapicha picha...
Niletee EuroWings kutoka ujerumani kwa miaka ya nyuma sio kuropoka kama kasukuWacha uowngo wewe ; hizo program za safari za msimu (seasonal ) zipo kila mwaka.
Wewe huyu bibiako ushungi ana roho ya mauti ndo maana mauaji yamekiwa mengi sana kwa wananchi wake!Kwa vile mlizoea kuua na hiyo nafasi mmenyumwa sasa mnatamani mchokoze kila Mtu. Mmekuwa Chawa wanyonya damu kwa miaka 5 mkipokea Matunda ya damu za watu wasio na hatia. Huo uchungu dhidi ya watanzania mmeutoa wapi ghafla nyie wauaji?
Bado zamu yako,chepuka utaonamoto utakavyokatwa shingo huko usukumani kwenuWewe huyu bibiako ushungi ana roho ya mauti ndo maana mauaji yamekiwa mengi sana kwa wananchi wake!
Safari za utalii za msimu huwa hazijirudii; kila mwaka kuna program tofauti. Kama mwaka huu kuna programa hiyo ya EuroWings, basi ujue ni ya muda mfupi tu huu wa summer break, halafu kmwakani kunaweza kujitokeza program nyingine. Nikikurudisha nyuma kumbuka hayaNiletee EuroWings kutoka ujerumani kwa miaka ya nyuma sio kuropoka kama kasuku
Kaweke status basi...Ulitaka nikupende wewe?
1. Crops sales.You have made it!
Any other naked fact apart from external crop sales?
Safari za utalii za msimu huwa hazijirudii; kila mwaka kuna program tofauti. Kama mwaka huu kuna programa hiyo ya EuroWings, basi ujue ni ya muda mfupi tu huu wa summer break, halafu kmwakani kunaweza kujitokeza program nyingine. Nikikurudisha nyuma kumbuka haya
Unavyopenda kutumia neno" mjinga," inaonyeshwa kuwa wewe utakuwa ni mtu mjinga sana, tena wa kutupwa. Nimeanza kuona ujinga wako kwa kushindwa kuelewa maana ya habari kuhusu utalii, wewe unaona habari ni shirika la utalii lililoltea watu. Hata hujui kuwa aShirrika hupelekea watu kule wanakotaka kwenda, lenyewe nlina facilitate tu. Kama kilwa mwaka huwa wanakuja lakini mwaka huu shirika sulani likafaciliatate safari zao kwa unafcuu wewe unaona hiyo ndiyo roya tua. Huo ni upumbavu es hsli ya juu sana; wapumbavu wa aina yako ndio mikipewa perememde tu basi mnaingia chumbani kwa kujisifia.Sijaomba safari za mashirika mengine bali nataka EuroWings ..
Ulivyokuwepo mjinga,Tumuamini wewe au tumuamini boss wa EuroWings/Lufthansa aliyesema wameanzisha safari za Frankfurt-Kia?
Unaweka hadi Ethiopia Airlines wakati wapo Kia miaka yote
Halafu kipindi anahojiwa bila wasiwasi anasema hakuwahi kuendesha gari kwa muda wa miaka zaidi ya kumiRais wetu anawashinda akina Angeline Jolie, Nicole Kidman, Jeniffer Lawrence, Lupita Nyong'o na mastaa wengineo wa namna hiyo; unataka kuleta mchezo?