Ni mjinga pekee ndiye huamini bila kuhoji[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23].
Hii nchi ili kuendelea ni lazima raia wabadiri mindset zao kutoshobokea uongo wa wanasiasa ili tuone huo upumbavu wao watampa nan.
Huyu maza pamoja na genge lake wameshindwa kupika data mpaka wanasanukiwa mapema hivi?
Huyu mvaa majuba akivuka 2025 bila kung'olewa ama kujing'oa mwenyewe basi mjuwe the karma is wrong na waTz tutakuwa tumeshindikana ktk level ya uvumilivu wa Upumbavu&Ujinga.
View attachment 2249822