Thubutu.Ni katika harakati za kutengeneza stori tu ili waonekane na wao wanampango wa kujibu ila hawatajibu shambulio lolote la moja kwa moja, katika mashambulizi ya moja kwa moja hawamuwezi Iran , Iran anaweza kuifuta Israel kwenye ramani ya dunia
Mtu mwenye akili timamu akisoma ulichoandika atagundua umechanganyikiwa siyo akili za mtu timamuThubutu.
Taifa teule lifutwe? Alishindwa farao wa misri? Walishindwa wanefili !Alishindwa nebukadneza ! Alishindwa hitler!
Israel taifa teule ubarikiwe,watabarikiwa wanao kubariki ,watalaaniwa wanao kulaani. Wewe ni mteule maana kwako tumepata masihi mwenye uwezo wa kifalme mabegani mwake Mungu mwenye nguvu.
Ubarikiwe ewe Israel ,vibarikiwe vizazi vyako ,wabarikiwe wanao kubariki.
Amen.
Kusoma maandiko ni kuchanganyikiwa ?Mtu mwenye akili timamu akisoma ulichoandika atagundua umechanganyikiwa siyo akili za mtu timamu
Kumbe? Nitajie makabila 10 yaliyopelekwa utumwani yalipotelea wapi?Alishindwa
Abraham ndio aliambiwa hivi, ana watoto wengi tu sio waisrael pekee so msijimilikishe baraka za Abraham wakati alikua na watoto zaidi ya 5Israel taifa teule ubarikiwe,watabarikiwa wanao kubariki ,watalaaniwa wanao kulaani
Usipoyatafakari unaonekana kichwa kuliko asiyeyajua kabisaKusoma maandiko ni kuchanganyikiwa ?
HEheeeeeeeee!
Tuambie wewe yalienda wapi?Kumbe? Nitajie makabila 10 yaliyopelekwa utumwani yalipotelea wapi?
Anapotosha maandiko,Kusoma maandiko ni kuchanganyikiwa ?
HEheeeeeeeee!
Nakuuliza wewe si unasema hakuna aliyewafuta ndio nakuuliza kawa hawakufutwa kabila la Dani liko wapi? Hata kwenye ufunuo halitajwi kuexist tena...... unajua kwanini?Tuambie wewe yalienda wapi?
Vita ni mbaya na ina matokeo yasiyotabirika. Hivi unadhani yeye Israel hawezi kutuma makombora kwenda Irani!? Je ,yeye Irani anayo defense system ya kuzuia makombora iwapo Israel ataamua kufanya hivyo!? Unadhani na yeye Irani ataathirika kiasi Gani!?Ni katika harakati za kutengeneza stori tu ili waonekane na wao wanampango wa kujibu ila hawatajibu shambulio lolote la moja kwa moja, katika mashambulizi ya moja kwa moja hawamuwezi Iran , Iran anaweza kuifuta Israel kwenye ramani ya dunia, Air defence system ya Israel ni dhaifu ndo maana juzi Iran kaweza kuichakaza Nevatim base na kuharibu ndege vita zote zilizokua zimejaa pale
Maandiko gani hayo uliyosoma????Abraham ndio aliambiwa hivi, ana watoto wengi tu sio waisrael pekee so msijimilikishe baraka za Abraham wakati alikua na watoto zaidi ya 5
Naunga mkono hoja...Ni katika harakati za kutengeneza stori tu ili waonekane na wao wanampango wa kujibu ila hawatajibu shambulio lolote la moja kwa moja, katika mashambulizi ya moja kwa moja hawamuwezi Iran , Iran anaweza kuifuta Israel kwenye ramani ya dunia, Air defence system ya Israel ni dhaifu ndo maana juzi Iran kaweza kuichakaza Nevatim base na kuharibu ndege vita zote zilizokua zimejaa pale
Pita kule.Anapotosha maandiko,
Kwa vile ni taifa teule ndio wakamuua Yesu,aliyekuja kuwakomboa?Na mpaka leo wanamuita mtoto wa nje ya ndoa.Thubutu.
Taifa teule lifutwe? Alishindwa farao wa misri? Walishindwa wanefili !Alishindwa nebukadneza ! Alishindwa hitler!
Israel taifa teule ubarikiwe,watabarikiwa wanao kubariki ,watalaaniwa wanao kulaani. Wewe ni mteule maana kwako tumepata masihi mwenye uwezo wa kifalme mabegani mwake Mungu mwenye nguvu.
Ubarikiwe ewe Israel ,vibarikiwe vizazi vyako ,wabarikiwe wanao kubariki.
Amen.
We jamaaa pumba....uteule na ushoga wapi na wapiThubutu.
Taifa teule lifutwe? Alishindwa farao wa misri? Walishindwa wanefili !Alishindwa nebukadneza ! Alishindwa hitler!
Israel taifa teule ubarikiwe,watabarikiwa wanao kubariki ,watalaaniwa wanao kulaani. Wewe ni mteule maana kwako tumepata masihi mwenye uwezo wa kifalme mabegani mwake Mungu mwenye nguvu.
Ubarikiwe ewe Israel ,vibarikiwe vizazi vyako ,wabarikiwe wanao kubariki.
Amen.