Mnyenz
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 2,933
- 8,112
Inasemekana Israel alikua na mpango wa kuishushia mvua ya mabomu Iran siku hizi mbili.
Israel alikua anashea mpango wake huo wa kuishambulia Iran, lakini kwa bahati mbaya/nzuri zimevuja. Inasemekana kuna intelligence agency mmoja chawa upande wa us amezivujisha habari hizo.
Bado haijajulikana kama israel itaendelea na mpango wake au itasitisha.
Source CNN.
View: https://youtu.be/NeV9eZUNerM?si=wXtWlOACknKybjn8
Israel alikua anashea mpango wake huo wa kuishambulia Iran, lakini kwa bahati mbaya/nzuri zimevuja. Inasemekana kuna intelligence agency mmoja chawa upande wa us amezivujisha habari hizo.
Bado haijajulikana kama israel itaendelea na mpango wake au itasitisha.
Source CNN.
View: https://youtu.be/NeV9eZUNerM?si=wXtWlOACknKybjn8