Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeambiwa walikimblia Arusha ambako Godblrss Lema ni Mbunge na Kwao Ni Hai Gari ya Lisu ilikotupiwa mawe
Ikumbukwe Arusha kwa Lema ndiko ofisi ya Chadema ilichomwa Moto.
Connect dots Ni Nani alikuwa nyuma ya hao wachoma ofisi na kutupia mawe magari ya Lisu ili wapate kura za huruma na huruma ya kimataifa
Sabaya atakuwa mkuu wa wilaya wa kwanza nchini kufikishwa ICCOle Sabaya bado yupo ofisini,hawa ndo watasababisha nchi iwe kama Syria, Time will tell
Wale polisi walio act kama spectators badala ya kutimiza wajibu wao wa kulinda usalama wamechukuliwa hatua zipi?
Mkuu wa wilaya ambaye ni mwenyekiti kamati ya ulinzi na usalama je?
Lile halikuwa tukio dogo.
Polisi wanafanyia uchunguzi tukio hilo na wamekamata hao 12 na wengine kukimbia. Sasa kwa vile wewe unawajua hao watu wa Chadema waliochona moto, itabidi Polisi wakutafute au Uende kituoni ukatoe hizo taarifa za hao watu ili wakamatwe. Naamini kama una akili zote kichwani huwezi ropoka usichokijua.Chadema wanaigiza kuchoma ofisi moto na kutupia magari Yaao wenyewe mawe kutafuta kura za huruma
Duuuh....!!!Chadema wanaigiza kuchoma ofisi motona kutupia magari Yaao wenyewe mawe kutafuta kura za huruma
Kawaida Polisi ikiwakamata watu kama hao wanatajwa majina,umri na kabila mbele ya press conference,je hilo limefanyika?
Hakitawaka chochote. Hakuna Mtanzania mwenye nia au uwezo wa kufanya lolote. Tumeizoea amaniSafari hii kitawakaa hatutaki mchezo na wezi wa kijani. Kuonewa sasa baathi. Umeshindwa kufanya siasa za ushindani rudi kwenu chatle kachunge ng'ombe ukisubiria kukabidhiwa ICC.
Vyombo vya dola na tume wana nia ovu. Ona wapinzani wana kamatwa ati wamesababisha maandamano lakini wagombea wa Ccm wana sindikizwa na gari za polisi.Hakitawaka chochote.Hakuna Mtanzania mwenye nia au uwezo wa kufanya lolote.Tumeizoea amani
Kama ni kweli hao waliokamatwa ndo wahusika, basi ni jambo jema, maana yawezekana ni watu wengine wametolewa kafara tu.
Huyo aliyekuwa nyuma yao akakimbia inaelekea ana speed sana kuliko vyombo vya dola, na ndiyo maana hawataki hata kutaja jina lake. Nafikiri ni DC SABAYA
Kwa utaratibu wa sasa huyo utasikia ameukwaa ukuu wa MkoaKale ka DC kanatakiwa kutolewa mara moja ka hovyo kabisa.
Ikirudi Sabaya RCFunika kombe mwanaharamu apite, imetoka hiyo.
Ugoro mtupuUmeambiwa walikimblia Arusha ambako Godblrss Lema ni Mbunge na Kwao Ni Hai Gari ya Lisu ilikotupiwa mawe
Ikumbukwe Arusha kwa Lema ndiko ofisi ya Chadema ilichomwa Moto.
Connect dots Ni Nani alikuwa nyuma ya hao wachoma ofisi na kutupia mawe magari ya Lisu ili wapate kura za huruma na huruma ya kimataifa