James Martin
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,206
- 1,509
nyie hata mfanyiwe vipi hamuishi kulalamika sasa ulitaka wasikamatwe? bado ungesema serikali haijali yaaninyie ni kama watoto wa kambo yaani ni walalamishi balaa hawaishi kuona wanaonewa wao tu da nyie aliyewaloga hayupo duniani angewasaidia
Tutawaambia wafadhili ukweli.