IPECACUANHA
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 3,226
- 1,919
Cinema la kichina
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo makada wa ccm ndiyo tunatakiwa kuunganisha dot kwao...! Mbona mnatufanya tunakwazika kwa kutufanya hatuna akili.Umeambiwa walikimblia Arusha ambako Godbless Lema ni Mbunge na Kwao Ni Hai Gari ya Lisu ilikotupiwa mawe
Ikumbukwe Arusha kwa Lema ndiko ofisi ya Chadema ilichomwa Moto.
Connect dots Ni Nani alikuwa nyuma ya hao wachoma ofisi na kutupia mawe magari ya Lisu ili wapate kura za huruma na huruma ya kimataifa
Wawekwe hadharani kama watuhumiwa wengine kisha washtakiwe na kuhukumiwa haraka ikiwezekana chini ya hati ya dharura na kupewa vufungo vigumu ili iwe MFANO NA FUNDISHO kwa wengine wenye tabia kama hizo kipindi hiki cha uchaguzi mkuu
Kwa kufanya hivyo tutaiona NIA YA DHATI ya mamlaka katika kupambana na wahuni
Hatuwez kuwahukumu kwa sababu baadhi yao ni watu wa kitengo na walokuwa ktk special task siku hiyoWawekwe hadharani kama watuhumiwa wengine kisha washtakiwe na kuhukumiwa haraka ikiwezekana chini ya hati ya dharura na kupewa vufungo vigumu ili iwe MFANO NA FUNDISHO kwa wengine wenye tabia kama hizo kipindi hiki cha uchaguzi mkuu
Kwa kufanya hivyo tutaiona NIA YA DHATI ya mamlaka katika kupambana na wahuni
Bila kumkamata Sabai, ni maigizo tu.Uko sahihi kabisa, huyu Sabai amewafanyia wapinzani maafa/mauaji/ukatili mkubwa bila kukemewa, the implication of which is that the higher authority is behind him! Ana kibali cha Mfalme kufanya haya anayoyafanya. Hii ya kujitia kuwakamata hawa vijana ni gheresha tu kujikosha mbele ya macho ya dunia!
Kakamate na we we unaowafahamu. Sijui nyie mnashidaaa ganiiii. Polisi wakifanya kazi hamuwaaminii wakikaaa kimyaaa mnalalamikaaa, sasa mnataka iwejeee? Basi jitokeze uisaidie polisi kukamata wewe unaowajua.
Hatuwez kuwahukumu kwa sababu baadhi yao ni watu wa kitengo na walokuwa ktk special task siku hiyo
Sasa wewe si uisadie polisi kutaja hayo majina? Viacheni vyombo vya dola vifanye kazi zakeeHawajataja hata majina yao kama wahalifu wengine. Wanawadanganya wafadhili tu ili kupata misaada.
Sasa wewe si uisadie polisi kutaja hayo majina? Viacheni vyombo vya dola vifanye kazi zakee
nyie hata mfanyiwe vipi hamuishi kulalamika sasa ulitaka wasikamatwe? bado ungesema serikali haijali yaaninyie ni kama watoto wa kambo yaani ni walalamishi balaa hawaishi kuona wanaonewa wao tu da nyie aliyewaloga hayupo duniani angewasaidiaYawezekana "kukamatwa" kwa waliofanya fujo kwenye msafara wa Lissu ni propaganda ya kujisafisha tu lakini sio kwa nia ya halisi ya kulinda usalama. Kwa sasa dunia nzima inatuangalia kwahiyo sitoshangazwa kama walikuwa wanatuhadaa tu na kutufanya sisi na jumuiya za kimataifa ni mazuzu. Kesho na keshokutwa wakienda kuomba misaada watasema hao watu walichukuliwa hatua kumbe ni maigizo tu.
Mpaka hao waliofanya fujo wakifungwa ndio nitaamini kweli haki inatendeka.