Ila "makolo" alilowabatiza Simba unaliimba kikasuku! Acha kujichanganya.Nikiwa mpenzi wa mpira na mpenzi wa klabu bingwa Tanzania, Dar Young African!nimefurahishwa sana na hii adhabu!sikuwahi kumkubali tangu akiwa makolo FC na sasa Yanga!!mimi ni muumini wa soka/utani wa kistaarabu na uungwana!!haiwezekani mtu anatukana wenzie,akiguswa tu anakimbilia anaonewa!!mtu hataki watu waikosoe club anayoifanyia kazi na matokeo yake wachambuzi wengi wanaogopa kuikokosoa Yanga kwa kuogopa manara atawararua katika ukurasa wake!!mambo ya ovyo sana haya!!ngoja akae benchi ajifunze weledi kazini!
Na kweli hawana akili. Kwani kitendo Cha kushupaza shingo kumtetea kinathibitisha tu.imagine hata wanaomtetea humu walishatukanwa kwamba wooote hawana akili. Msolwa alishaambiwa kazubaa zubaa, Mwakalabela aliitwa kilo 800
Kweli kabisa. Ile ilikuwa "calculated move" kuwaandaa wadau wa soka kwa hiki kilichotokea.Hatari kwelikweli wapi kwa kosa lile alitakiwa kufungiwa maisha, walianza kwa kupunguza adhabu ya wale maafisa wa Mbeya Kwanza ili Haji akipewa adhabu ndogo watu wasihoji na hapo watamwambia akate rufaa ili upunguzwe zaidi.
Kitenge yupo watatambulishaHa ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha
Kicheko cha Bumbuli chooni, polenii sana wanajangwani, kwa hiyo hatatambulisha wachezaji siku ya mwananchi?
Atauzungumzia kwenye vyoo vya stendi labdaManara ataendelea ku uzungumzia mpira kama mwandishi na si kama Kiongozi.
Sijui wanakwama wapi hawa wakongwe, au pesa za kuhonga wajumbe hawana ?I wish wachezaji wa zamani waangalie namna ya kuirudisha TFF mikononi mwao.
Mtu wenu huyo mbona mnamkana na kadi ya uanachama mlimpatiaAcha apumzike kidogo makelele yamezidi,akimaliza kifungo arudi kwao huko huko Kwa Mikia wenzie
Hata akiwa Simba alishawahi kuadhibiwaKaria alimbeba alipokuwa simba sasa kahamia mtaa wa7 ndo hayo
Yanga walikosea kumpa huyo mtu nafasi na ametoka nje ya Yanga,wakati wazalendo kama kina kitenge hawapewi hiyo nafasi.Hiyo ni kazi ya Maulid Kitenge na Zembwela, huyo Manara wamchukuwe GSM akasimamie maroli yao.
Byuti ya nyokweKumekuchaaaaaaaaaaaaaah!!!!!!
Byuti byuti.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 2298507
naona kuna wanaoitisha mchango wa mil 20 ,mzungu pori atawapigaMtu wenu huyo mbona mnamkana na kadi ya uanachama mlimpatia
🤣🤣🤣🤣Acha apumzike kidogo makelele yamezidi,akimaliza kifungo arudi kwao huko huko Kwa Mikia wenzie
Fursanaona kuna wanaoitisha mchango wa mil 20 ,mzungu pori atawapiga
Adhabu ni kali sqna .imekaa kukomoana .Sijui wachezaji wanaopiga mwamuzi watafungiwa muda ganiMsemaji wa Yanga, Haji Manara amefungiwa kujihusisha na mpira ndani na nje ya nchi kwa muda wa miaka 2 na kupigwa faini ya Tsh milioni 20
Manara amekumbwa na adhabu hiyo kutokana na sakata lake na Mwenyekiti wa TFF
View attachment 2298517
====
Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limemfungia Msemaji Klabu ya Yanga, Haji Manara kujihusisha na mpira ndani na nje ya nchi kwa muda wa miaka 2 na kupigwa faini ya Tsh. milioni 20
Amekutwa na hati kwa makosa ya kumvunjia heshima Rais wa TFF, Wallace Karia kwenye fainali ya ASFC kati ya Yanga na Coastal Jijini Arusha
View attachment 2298509
Mkuu kwanza ungeonesha sehemu yoyote niliyomuunga mkono ili kudhirisha kauli yako.Wapi ulionyeshwa kuchukiza kuja kwake? Mbona hujaonekana kujitenga na mihemko na kauli zake?
Labda shabiki ambaye alionyesha dhahiri kuwa hamkubali Manara ni Matola kwa hali zote..!
Kuna wajinga wanajisahaulisha hii fact.Yanga imehujumiwa kipi? Mafanikio ya Yanga ni pesa za GSM na si vinginevyo, ukiona mtu anachukiwa na wengi ujuwe ana tatizo.
Akafie mbali huyo pungua_ni.Keshaanza kutuma message za kutafuta kuonewa huruma. Muda huu ndio atazumgumziwa kama m2 anaehitaji huruma kutokana na maumbile