Pesa muhimu sana kwenye maisha ya binadamu..usimkatae mama,baba na watoto zako tu kwasababu ya pesa,ila wengine tupa kule chukua [emoji385]Wanaosikiliza uhai fm muda huu nugaz anatamba huko kuwa haji karudi kwao yanga
Hakika.Kumbe Simba walikuwa sahihi kumshuku kabisaaaaaa juu ya kuhujumiwa na huyu bwana
Acha siasa za kishamba.Hakika ilani ya CCM inabamba kila kona na sasa Haji Manara amejiunga na timu iliyopigania uhuru wa Tanganyika Dar es salaam Young Africans!
Ni kawaida yake yule,huwa hakai sehemu moja akafanya kazi kwa maelewano mtu wa zengwe na fitna.Ameenda kujiunga utopolo na gongowazi,
Kumbe alikuwa ni shushushu waoHakika.
Hahahaaaa....... Utapata tabu sana!Acha siasa za kishamba.
Uongozi ndio unatakiwa uwe hivi sasa,huyu angeendelea kuna dhahama lilikuwa linakuja huko mbele kwa SimbaKwakweli Uongozi wa Simba SC Una Jicho Kali Sana Kung'amua Hili..!