Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale chawa wake waliokuwa wanasema anaonewa pamoja na wachambuzi uchwara sijui wataficha wapi aibu zaoWanaosikiliza Uhai FM muda huu, Nugaz anatamba huko kuwa Haji karudi kwao Yanga
======
Aliyekuwa Afisa Habari wa klabu ya Simba, Haji Manara leo Agosti 24, 2021 amejiunga na klabu ya Yanga huku akitoa ahadi kushirikiana na yanga katimu msimu mpya wa 2021/22 kuhakikisha Yanga inafikia malengo iliyojiwekea
"Nakwenda Yanga kwa sababu ina viongozi watakaonipa nafasi ya kuwasaidia, nilibanwa mno, nilidhihakiwa mno, sijawahi kuwa na matatizo na Simba.
“Baada ya kutanga kuondoka Simba nilipokea ofa kutoka klabu nyingi, Yanga walivyonitafuta nilishangaa sana, nikawauliza malengo yao ni yapi, nimejiunga na klabu yenye mipango ya kushinda makombe,”
Ana haki ndio hakuna anayemkataza ila undumilakuwili haukubaliki na boss yeyote yule na leo ame proveHamna maajabu,ana haki ya kutafuta kazi popote pale kwenye riziki ya halali,tumtakie kila la kheri
Hamna maajabu,ana haki ya kutafuta kazi popote pale kwenye riziki ya halali,tumtakie kila la kheri
yuko sawa kazi popote paleHapo umenena.
Vipi mkuu,, umeaminiii?[emoji38][emoji38]Sio kwamba tu umevuta
hii kitu ya Rchuga utakuwa umejifusha nayo kabisha
Ishu ya Senzi ni tofauti kidogo na ManaraSISHANGAI SANA KWA YEYE KUJA, HATA SENZO MAZINGIZA ALIKUJA YANGA AKITOKEA SIMBA
Intelijensia nzuri mno tena,hasa kipindi hiki cha transformation.Kumbe alikuwa ni shushushu wao
Simba wana inteligensia nzuri,bora wamemstukia mapema