Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kunathibitisha kupitia clip yake, ulisikiliza clip yake?Kufanya kazi club nyingine hakuthibitishi usaliti wakrme,hata wachezaji huhama team,hata makocha pia huhama team,mbona ni jambo la kawaida tuu hilo.
Kwa kweli.Madam Super woman.......Very intelligent .....Very Genius
Madam wetu ana jicho la mbali sanaaaaaaaaaa.
Shadeeya View attachment 1906584
Kama hujasoma CUBA huwezi kuelewa mkuuIngawa Mimi ni Yanga ila mpaka sasa sijajua dhamira ya viongozi
kuua soo ishu ya moroco ya wachezaji kuja kimafunguIngawa Mimi ni Yanga ila mpaka sasa sijajua dhamira ya viongozi
Yap! Hiki ndo kimemleta na upande wa mapenzi kwa Yanga hayapo.Manara hana professional nyingine ya kumuingizia kipato chake ili aweze kuilisha familia yake,
Acheni akapate kazi ya kuendeleza maisha yake,
Lazima akatafue mkate wake mkuu ili familia yake maisha yaendekunathibitisha kupitia clip yake, ulisikiliza clip yake?
Manara was a project....Msaliti mkubwa huyu, waliokuwa wakimtetea leo wamemuone dhahiri anavyoonyesha usaliti wake.
Angetuvuruga zwazwa huyu,bora alivyoshtukiwa tu,ndio maana kumbe povu limemtoka sana kwa kuwa mision yake ni incompleteIntelijensia nzuri mno tena,hasa kipindi hiki cha transformation.
Nimesoma DIT mkuuKama hujasoma CUBA huwezi kuelewa mkuu
Inahitaji uwe umepita University of Cuba Na ukatoka na degree yako
Yaah ndo hivyo na hana namna nyingine ili aendelee kuishi na madeal mengi anayapata kupitia usemaji wa sokaYap! Hiki ndo kimemleta na upande wa mapenzi kwa Yanga hayapo.
Na ndio sababu wakati namsikiliza kuna sehemu alisema Klabu yenu. 🙃 angekuwa mshabiki kweli asingetumia hiyo yenu.
Tafuta watu waliosoma Cuba watakuelewesha hili jambo mkuuNimesoma DIT mkuu