Haji Manara ahamia Yanga SC yeye na familia yake

Kesi ya CAS imeishaje hukumu?
 
haya sasa tuliwaambia watu kua yule ni snitch mkabisha

Enhee yale manung'uniko yake kwenye zile clips akilia kua yeye ni simba damu na hanunuliki kwa thamani ya pesa yako wapi?
Simba ilishamfukuza sasa ulitaka akae bila kazi?
 
haya sasa tuliwaambia watu kua yule ni snitch mkabisha

Enhee yale manung'uniko yake kwenye zile clips akilia kua yeye ni simba damu na hanunuliki kwa thamani ya pesa yako wapi?
Kashauza mafaili yoote na jinsi tulivyokuwa tuna nunua matokeo
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] sasa kila siku atakuwa anazungumza mabaya ya viongozi wa simba .
wakati huo huo Simba itakuwa inacheza uwanjani. Hata sasa Simba wapo pre season, Yanga wapo Serena kwenye press ya Manara
 
Kumbukeni na Ezekiel anaondoka baada ya miezi miwili gabachori awe msemaji rasmi
 

Hata yule bwana wa Twitter kasajiliwa Lumumba FC, kwa hakika hamna jipya
 
 

Attachments

  • VID-20210824-WA0070.mp4
    736.4 KB
Kila La Heri Kwa Hadji Manara
Tulia Fanya Kazi Mengine Ni Pesa Tu Hitaji Kwa Kila Mtanzania
 
Kwanza nmpongoze Mwamba haji manara pamoja na mikimiki yote hajapoteza ubora thaman yake bado ipo ndo mana yanga wamemchukua.siamn Kama alharbu simba kW kushabia yaNga bali n mitihani y kazi...kwahyo mlitak taaluma yake ife?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…