Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Pole kwa kukubali kuangushwa. Wakati mwingine jiweke physique, usianguke kiboya boya kwa kisingizio dhaifu kuwa umeangushwamkuu bujibuji leo umetuangusha.....tena sana!
Hiyo laki 7 ndiyo mishahara ya watu wengi hapa mjini na degree zaoKama hamna uwezo wa kumlipa zaidi ya hiyo laki 7, si muombe msaada kwa wananchi tuwachangie!! Sisi pale Jangwani Hassan Bumbuli anakula M. 2 na ushee!!
Halafu nyinyi mnamlipa mtu laki 7!! Hamuoni mnachangia kumsababishia msongo wa mawazo? Kwa maisha ya Mjini mbona laki 7 ni hela ndogo sana!!!
Hata mi hii nmeisikia kwa Hanspope.Manara ana muda mrefu kapewa mkataba wa m4 anagoma kusaini
Aseme kwa nini anagoma kusaini
TzsAnalipwa 700? Kwa currency ipi?
Alisikika Fundi viatu mmojaNne si nyingi. Bora laki saba na yupo huru kufanya kazi za kutangaza mpaka kina Suguye.
haya!Pole kwa kukubali kuangushwa. Wakati mwingine jiweke physique, usianguke kiboya boya kwa kisingizio dhaifu kuwa umeangushwa
Nimeshangaa sana. Na jeuri yote ile anavuta kamasi namna hiiKumbe manara mwepesi sana analia!!?
Alipewa million 4 akagomaAcha uongo. Angepewa offer ya namna hiyo asingelalamika kuhusu laki saba. Halafu Mhindi amlipe M20?.Acha uongo.
Ana elimu gani Huyo Manara Hadi milioni nne isiwe nyingi kwakeNne si nyingi. Bora laki saba na yupo huru kufanya kazi za kutangaza mpaka kina Suguye.