Haji Manara ni nani hapa Tanzania hadi kuwadhalilisha Askari Magereza na wafungwa bila kuchukuliwa hatua?


Haji yupo sahihi
 
Wafungwa wenzio......ni kweli prison kafungwa nne jana kuna tusi gani hapo!?
 
Haji manara alishafungwa jela Kwa ubadhilifu wa fedha za ccm mkoa wa Dar es salaam na alivaa uniform kabisa amshukuru Jakaya ndie alimtoa Kwa msamaha
 
Huyo ni kada wa yanga
 
Hana adabu,kwa sababu anajuana na viongozi ndy anajiona yuko juu
Ila ngoja siku aingie kwenye 18 zao atawajuaaa vzr

Ova
Uoga jamaa hana ndio maana tunamshangaa Sisi watanzania kwa uoga tumezidi kila mtu mwajiriwa wa serikali anaogopeka kama nini! ukute Askari kuna kitu hajakitenda ipasavyo manara kamkasirikia vizuri tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…