muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Haji manara alishafungwa jela Kwa ubadhilifu wa fedha za ccm mkoa wa Dar es salaam na alivaa uniform kabisa amshukuru Jakaya ndie alimtoa Kwa msamaha
Ni suala la muda tu ataingia kwenye 18 zaoHuyo Utopolo abanwe makende kwanza hata siku 2 then aachiwe! , watu wakimjalia huwa anatafuta masifa ya kipuuzi sana......" Wenye akili kule wawili tu".
Liko wapi hilo tamko ,nilichukue nimtumie WhatsApp aanze kutetemekaHaya magereza washatoa tamko kali huko muda sio mrefu ataanza kulia lia mliokua mnamtetea mtaenda nae kwa manyapara huko
Chini hapo mkuuLiko wapi hilo tamko ,nilichukue nimtumie WhatsApp aanze kutetemeka
Uzuri kapewa onyo Kali ,hapo lazima ataibuka kuomba msamaha kijanja huyu mndengerekoChini hapo mkuu
Mannara ni chizi, simba ndiomaana walimtimua huyo mshenziHuyu haji manara mdomo wake ni mchafu anajikuta ana mamlaka ya kumtusi na kumdhalilisha yeyote kama kesi ilikuwa na magereza wafungwa wamefuata nini anasahau naye kesho anaweza kuwa mfungwa.
Na hao kituo cha sheria za haki za binadamu hatusikii wakikemea kitu wafungwa wapo kutumikia makosa yao sasa kama haji kakoromewa na magereza ya nini awadhalilishe na wafungwa
Mtu huyu hastahili huruma kwa ule ulemavu wake achukuliwe hatua tu!
Haji Manara ni nani katika nchi hii!
Kwa kweli Hajj anatakiwa kuliomba msamaha Jeshi zima la Magereza. Amewadhalilisha sana na amekosa uungwana. Anawakemea askari na kuwaambia waende kwa wafungwa wenzao? Kwamba askari Magereza pia ni wafungwa? Hivi huyo Manara watu wakiamua kumtukania si atakimbia?Huyu haji manara mdomo wake ni mchafu anajikuta ana mamlaka ya kumtusi na kumdhalilisha yeyote kama kesi ilikuwa na magereza wafungwa wamefuata nini anasahau naye kesho anaweza kuwa mfungwa.
Na hao kituo cha sheria za haki za binadamu hatusikii wakikemea kitu wafungwa wapo kutumikia makosa yao sasa kama haji kakoromewa na magereza ya nini awadhalilishe na wafungwa
Mtu huyu hastahili huruma kwa ule ulemavu wake achukuliwe hatua tu!
Haji Manara ni nani katika nchi hii!
Ha ha ha ha haMwanaume kasikika akisema
" Hizi shari ndio nazipenda, haya kusanya maaskari wenzio mje""
Huku anashuka kwenye gari kikomandoo.
Hii ndio ccm bwana.
Naomba Kadi na mimi.
Ha ha ha haDah ndugu yangu kama una ndugu aliwahi fungwa mwambie akueleze kuhusu askari magereza, waone vile vile mtaani wamepooza wanyongeeee ,
Wakiwa kazini kwao/ gerezani ni (wachangamfu) mno mnoo kwanza huwezi kuongea na askari magereza ukiwa umesimama , unachuchumaa kwanza ndio ujieleze
Na hii imetokana tu na nature ya kudili na watu walioshindikana so automatic lazima wawe harsh vile ,
Wale jela wanaitwa BABA elewa neno BABA Zanzibar jeshi la magereza wanaitwa chuo cha mafunzo kwa hiyo hawa askari magereza ni wahadhiri wakubwa tu🤣🤣🤣