pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
- Thread starter
-
- #61
Umeona sasa walivyo?mwaka jana tulipata tatizo la luku ilipiga short, tukapiga simu tanesco na ndani lisaa wakafika wakaungani wavojua wenyewe tukatumia zaidi ya wiki moja bure mpaka walipo leta luku mpya,
juzi shinda jana jirani yetu mti umeangukia waya za umeme hadi leo hawajaja pamoja na kupigiwa simu kadhaa
Sent from my SM-S920L using JamiiForums mobile app
Shida Mimi kufanya kazi huko au kutatuliwa tatizo lakoWewe unafanya kazi huko?
aliweza sikuhizi haki yako inapotea nauna angamizwa,Umeona sasa walivyo?
Jamaa aliweza sana maeneo hayo
Wakati wa Magufuli 2016 au 17 kama sijakosea nilipata loose connection kwenye mstimu nje ya nyumba ninayoishi, nikapiga emergency TANESCO na ndani ya robo saa wakafika na kurekebisha kisha nikawapa 15,000 kama ahsante, haki ya Mungu waliikataa
Leo tatizo limetokwa tena nikapiga simu wakasema mafundi wanakuja, nimesubiri weeee masaa yamepita nikaamua kwenda ofisini kwao nikawakuta mafundi wakaniambia nenda tunakuja, nikaondoka masaa yakapita tena hawajaja nikaenda tena nawabembeleza niwape hela wanirudishie huduma pia wanadengua labda kiwango hakitoshi
Kweli Magufuli alikuwa jembe
Na sidhani kama atatokea kama yeye tena
Wakati wa Magufuli 2016 au 17 kama sijakosea nilipata loose connection kwenye mstimu nje ya nyumba ninayoishi, nikapiga emergency TANESCO na ndani ya robo saa wakafika na kurekebisha kisha nikawapa 15,000 kama ahsante, haki ya Mungu waliikataa
Leo tatizo limetokwa tena nikapiga simu wakasema mafundi wanakuja, nimesubiri weeee masaa yamepita nikaamua kwenda ofisini kwao nikawakuta mafundi wakaniambia nenda tunakuja, nikaondoka masaa yakapita tena hawajaja nikaenda tena nawabembeleza niwape hela wanirudishie huduma pia wanadengua labda kiwango hakitoshi
Kweli Magufuli alikuwa jembe
Na sidhani kama atatokea kama yeye tena
Yule ni specie nyingine kabisa. Huoni alivyowavuruga mle ndani mpaka wengine wakakimbia nchi! Wacha niishie hapaKwani Magu si ni CCM? Na sasa bado ni CCM wanaongoza? NANI ALIKUAMBIA KUNA MTU ANAISHI MILELE? Ndio shida ya watu kuweka tegemezi kwa binadamu.
Aisee πππMambo yamebadirika saana.
Ukitaka kujuwa ona yule TANESCO wa Jamiiforums alivyo kimyaa siku hizi. Wakati ule, angekuwa ameshakuja hapa haraka kuomba details za mlalamikaji.
Mbowe amewekwa rumande miezi michache tu, CHADEMA imepoteana.Kwani Magu si ni CCM? Na sasa bado ni CCM wanaongoza? NANI ALIKUAMBIA KUNA MTU ANAISHI MILELE? Ndio shida ya watu kuweka tegemezi kwa binadamu.
Mambo ya aibu sana haya mkuu! Yaani mpaka msemwe ndiyo mfanye majukumu yenu?Sawa, Naomba namba yako ya simu waje watatue hiyo issue yako
Ni kweli kabisa usemayo! Nakuhakikishia wapo watu zaidi ya Magufuli wapo mitaani miongoni mwetu milioni 60! Lakini nafasi yao kushika uraisi ni ndogo Sana na ndiyo maana wengine wamesema haitakaa itokee! Mfano mdogo tu, unadhani ndani ya CCM kuna fisadi yeyote anayeweza kuruhusu mtu wa aina ya Magufuli kuchukua uongozi??Itoshe kusema tu Magufuli alikuwa ni jembe
Lakini siyo kusema hudhani atatokea tena kama yeye.
Watanzania tuko 60M huenda kuna wazuri kuliko alivyokuwa yeye ni suala la Mda tu.!
Tayari wameniomba na nimewapaPole sana...
Ngoja waje Kwa kukuomba number ya simu na location...
Tumpe mama nafasi. Anahujumiwa na Sukuma Gang.Watakuja kukupa muongozo kuwa umelipwa na UVCCM ya sukuma gang kuja kumpigia promo aliyekwenda zake[emoji23][emoji23].
Kuna mijitu ina roho ngumu yaan magumu yote haya anayosababisha huyu bibi wa kizenji, inajifanya haitaki kukumbuka ule mseleleko wa Magu, hayo yote yanasababishwa na chuki walizopandikizwa na viongoz wao wa hovyo hovyo.
Bitter truth, yajayo yanafurahisha, huyu bibi kaboronga na anazidi kuboronga
Utawala upi uliopita au uliopoMimi nililipa laki 372500 kuunganaishwa mita 20 nyumba yangu nilisikitika sana sitasahahu ule utawala nilitesek sana
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app