Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,502
- 9,070
Kama ukimwi ni ugonjwa wa masikini. Inakuaje huyo bilionaire anao ukimwi?ππHuyu mcheza kikapu maarufu ambaye hivi juzi ametangazwa kuwa bilionea ameishi na ngoma kw miaka 32. Aligundulika na UKIMWI mwaka 1991. Akatangaza hadharani kuwa kaukwaa. Hadi leo mwaka wa 32, akiwa na miaka 64 bado anadunda nao. Tajiri hafi kwa ngoma.
View attachment 2800302
Yaniπππ€£.. nimekoma kua kiherehere wa kucommentHiyo ilikuwa ni sandakalawe imekuangukia
Madam si mchezo aisee acha kabisaaaa,Heeeeπ³π³πππ
Zaidi ya dola milioni 8 wakati anafariki huko ni kufulia? Unachangamsha kijiwe kumbeEazy E alikuwa kafulia. Kwanza na ule ugensta asingkubali kupiga dawa. Mercury yeye alishajikatia tamaa, msikilize mashairi yake ya mwishoni mwishoni.
I wish kungekuwepo hata na movies ambazo waliigiza hao watu wa zamani ili vijana tuonyeshwe,.. maana vijana wa sikuizi wanapuuza sana mamboMadam si mchezo aisee acha kabisaaaa,
Na Corona je?Kumbe unapita kimyakimya ππ
Kichwa chakoπ€¨π€πππ.. sawaWala hata usiwaze zingatia mazoezi pata muda wa kupumzika na matunda kwa wingi dawa kwa wakati pia
Nadhani bora Corona..UKIMWI ni gonjwa la aibu mkuuNa Corona je?
Kanitisha inabidi nirudishe nyuma mpango wangu kwako!..πYaniπππ€£.. nimekoma kua kiherehere wa kucomment
Ona sasa, nishapishana na zariπ€¦ββοΈπ€¦ββοΈπ€¦ββοΈKanitisha inabidi nirudishe nyuma mpango wangu kwako!..π
Kwan unadhani zamani sana wala miaka ya 2005 huko ulikuwa kuna sehemu ukiporavkama mbeya yan mwenye ngoma unamjua tu ilikuwa ikikunasa hakuna rangi utaacha kuona, huu ukimwi sikuiz umepungua makali sana aisee yan mgonjwa wa ukimwi anashinda bar wakati kipindi kile mgonjwa wa ukimwi anashinda toi yan mavi hayakai aisee hayakai kabisa yaniI wish kungekuwepo hata na movies ambazo waliigiza hao watu wa zamani ili vijana tuonyeshwe,.. maana vijana wa sikuizi wanapuuza sana mambo
Bet yangu kwako ilikuwa hivi...Ona sasaπ€¦ββοΈπ€£π€£
Mkuu inaonekana kuna mengi sana unayajua... unaonaje ukianzisha uzi uwapige biti vijana wakae kwenye mstari maana hali sio shwariπββοΈπββοΈKwan unadhani zamani sana wala miaka ya 2005 huko ulikuwa kuna sehemu ukiporavkama mbeya yan mwenye ngoma unamjua tu ilikuwa ikikunasa hakuna rangi utaacha kuona, huu ukimwi sikuiz umepungua makali sana aisee yan mgonjwa wa ukimwi anashinda bar wakati kipindi kile mgonjwa wa ukimwi anashinda toi yan mavi hayakai aisee hayakai kabisa yani
Jamaniππππππ€¦ββοΈBet yangu kwako ilikuwa hivi...
View attachment 2800336
Ule wa zamani na wa sasa unafanana sema zamani kilichokuwa kinawafanya waasilika wakonde ni kule kutengwa na kunyanya paliwa na jamii na si vinginevyoMkuu naona ukimwi wa skuizi umechoka choka wa zamani ulikuwa sio mchezo,picha linaanza ilikuwa lazima ukonde