Hakika UKIMWI ni ugonjwa wa maskini. Magic Johnson kaishi nao miaka 32

Hakika UKIMWI ni ugonjwa wa maskini. Magic Johnson kaishi nao miaka 32

Huyu mcheza kikapu maarufu ambaye hivi juzi ametangazwa kuwa bilionea ameishi na ngoma kw miaka 32. Aligundulika na UKIMWI mwaka 1991. Akatangaza hadharani kuwa kaukwaa. Hadi leo mwaka wa 32, akiwa na miaka 64 bado anadunda nao. Tajiri hafi kwa ngoma.

View attachment 2800302
Kama ukimwi ni ugonjwa wa masikini. Inakuaje huyo bilionaire anao ukimwi?😁😁
Soma ulichoandika. Umeelewa hata wewe?
 
I wish kungekuwepo hata na movies ambazo waliigiza hao watu wa zamani ili vijana tuonyeshwe,.. maana vijana wa sikuizi wanapuuza sana mambo
Kwan unadhani zamani sana wala miaka ya 2005 huko ulikuwa kuna sehemu ukiporavkama mbeya yan mwenye ngoma unamjua tu ilikuwa ikikunasa hakuna rangi utaacha kuona, huu ukimwi sikuiz umepungua makali sana aisee yan mgonjwa wa ukimwi anashinda bar wakati kipindi kile mgonjwa wa ukimwi anashinda toi yan mavi hayakai aisee hayakai kabisa yani
 
Kwan unadhani zamani sana wala miaka ya 2005 huko ulikuwa kuna sehemu ukiporavkama mbeya yan mwenye ngoma unamjua tu ilikuwa ikikunasa hakuna rangi utaacha kuona, huu ukimwi sikuiz umepungua makali sana aisee yan mgonjwa wa ukimwi anashinda bar wakati kipindi kile mgonjwa wa ukimwi anashinda toi yan mavi hayakai aisee hayakai kabisa yani
Mkuu inaonekana kuna mengi sana unayajua... unaonaje ukianzisha uzi uwapige biti vijana wakae kwenye mstari maana hali sio shwari🙇‍♀️🙇‍♀️
 
Mkuu naona ukimwi wa skuizi umechoka choka wa zamani ulikuwa sio mchezo,picha linaanza ilikuwa lazima ukonde
Ule wa zamani na wa sasa unafanana sema zamani kilichokuwa kinawafanya waasilika wakonde ni kule kutengwa na kunyanya paliwa na jamii na si vinginevyo
 
Back
Top Bottom