granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 3,249
- 7,948
nimeambiwa na nani, unanifahamu wewe, unataka kujifanya unanifahamu kuliko ninavojifahamu mwenyewe, mkuu naomba tuheshimiane basi, hili ni jukwaa huru, umecomment na mm nimecomment, tusipangiane maisha tafadhali sana, nad,ani umenielewa, kama una jingine sema, mtifuano uanze, tena shika adabu yako wewe.Sasa hata hiyo ya kumpatia Kwa Bahati nayo si umeambiwa? Kuchakata mbususu sio hitaji kuu la Kila mwanaume, wewe kama ni kipaumbele chako zichakate kadri uwezavyo Mkuu.