Hakika wanaume wenye tabia kama ya Messi tumebaki wachache sana

Hakika wanaume wenye tabia kama ya Messi tumebaki wachache sana

Kuna siku mwaka 2016 nikiwa kwenye kijiji fulani nje kidogo ya jiji la Rosario niligundua jambo ambalo wengi wenu hamjui. Nakumbuka siku hiyo alfajiri nilikuwa nina safari ya kwenda kwa mtaalamu (Mganga) aitwaye Mzee Marcelo. Nikiwa ninaingia kwenye kijumba cha mtaalamu wangu nikapishana na Messi mlangoni... nikiwa katika hali ya kushangaa ndo mtu mwingine aliyejitambulisha kwa jina la Thiago akanidokeza kuwa Messi alikuwa pale kusafisha nyota na kumtengeneza mpenzi wake Rocuzzo. Na moja ya masharti aliyopewa ni kutojiingiza kwenye mahusiano mengine.
 
UNAAMBIWA Lionel MESSI hajawahi kumgusa mwanamke mwingine zaidi ya mkewe Antonela Roccuzzo aliyeanza naye mahusiano tangu utotoni huko Rosario, Argentina.

Mnamo 2017, Messi na Antonella walifunga ndoa iliyotajwa kama ‘ndoa ya karne’ na kujaaliwa watoto watatu Thiago, Mateo na Ciro.

Raccuzzo ambaye kwa sasa ni Mwanamitindo ana taaluma Udaktari wa meno na mawasiliano ya kijamii aliyosomea katika Chuo Kikuu cha Taifa cha Rosario kabla ya kujitolea kumsaidia Messi na kuzingatia familia yao.

Kupitia taaluma yake ya Uanamitindo amefanya kazi na chapa maarufu kama Stella McCartney, Adidas, na hivi majuzi, Alo.

Messi anampenda sana mwanamke huyo mrembo amejitolea sana kwake kiasi kwamba hata hawagusi wanawake wengine. Inaelezwa Messi alitaka kuwa mchezaji bora wa soka duniani ili aweze kumhudumia Roccuzzo na kumpa maisha mazuri.

Walipofunga ndoa, mashabiki wengi wa kike walijaribu kujaribu kumshawishi. Shabiki mmoja Suzy Cortez (almaarufu Miss BumBum) alijichora tatoo ya Messi mwilini mwake na kujaribu kumtumia picha zake akiwa katika jezi yake lakini Messi alim-block mara moja.

Messi amekuwa katika muonekano usio wa kawaida anapokuwa karibu na Wanawake wengine katika picha akiibana mikono yake au hata kuiweka mifukoni kuliko kugusana au hata kuweka begani kwa mwanamke mwingine.

Messi hufanya hivyo kuepuka vyombo vya habari kupindisha picha hizo kwa njia isiyo sahihi na kufanya ionekane kuwa kuna kitu kinaendelea wakati hakipo.

Mwanamuziki Shakira alipiga naye picha lakini alijiweka mbali na kuweka wazi kuwa mambo ni ya kiplato kabisa. Hamwekei mikono mwanamke mwingine kwa sababu kwake, ukaribu wa kimwili unabaki kwa mke wake tu.

Messi ni mmoja wa wanaume wachache ambao huweka mipaka kwa wanawake ambao sio mke wake. Anataka kuishi maisha ya faragha na Roccuzzo na watoto wao, na anaweka wazi mara kwa mara kwamba ana upendo wake ni kwa mpenzi wake huyo wa tangu ujanani.

NB: Uhusiano wa kiplato (platonic relationship) ni ule ambao watu wawili wana uhusiano wa karibu lakini hawana uhusiano wa kimapenzi. (Dhana hii inatokana na mawazo ya mwanafalsafa wa kale Plato). Kwenye hili wanaume wengi tutafeli.

Wanawake yapi maoni yenu kwa aina hii ya wanaume wenye tabia ya kufanana na Messi?
View attachment 2740981View attachment 2740982
Yaani bro na huo umri wako bado haujawajua vizuri wanaume wafupi walivyo na tumisimamo mshenzi

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Nna wasiwasi kama we ni he,na kama ni he basi ni mvulana mdogo mwanafunzi uliyevurugwa na penzi la chuo,so akili yako inakutuma uko hivyo.Kuhusu Messi sidhani kama hyo story ya kusadikika uliyoileta kama ni kweli,ila mtu maarufu yoyote wa ulaya na mwenye pesa anawindwa kuanzia na washindani wake,maadui zake na hata malaya wanaotaka kuvuna kwa kutengeneza kesi za uongo za kubakwa au kujizalisha watoto.Jamaa kama mwanaume lazima anapenda papuchi ila amefanikiwa kumantain low profile.
Kwahiyo akifanikiwa yeye ni sawa ila sisi wengine ni wavulana tuliovurugwa na mapenzi ya chuo?
 
Most African men are womanizers.They're not loyal at all.

Ukiona mwanaume wa kiAfrica asiyechepuka jua huyo Ni Hana pesa umaskini unawaponza wanaume wengi Sana huku Africa ila wakizipata wanafunguliaa mbwa sio poa kbsa.
Nakubaliana nawe kwa asilimia kubwa huku kwetu mtu akiwa hayupo vizuri kiuchumi anatulia ila akizipata na tabia inabadilika sana japo wapo wenye nazo na n waaminifu.
 
Tangu niponee chupu chupu miaka 3 ilopita sitaki kabisa kucheza tena na life! Kuwa na afya njema ni kitu kikubwa sana tulichopewa na Mwenyezi Mungu kwa wale waamini.

Kuwa Player sio kitu cha kujivunia kabisa. Tangu nigundue maisha yanahitaji utulivu acha nitulie tu hapa nilipo. Nikiona mizigo au shape naziangalia tu kwa mbali na kuomba nizidi kuepushwa na kikombe hicho.
 
Tangu niponee chupu chupu miaka 3 ilopita sitaki kabisa kucheza tena na life! Kuwa na afya njema ni kitu kikubwa sana tulichopewa na Mwenyezi Mungu kwa wale waamini.

Kuwa Player sio kitu cha kujivunia kabisa. Tangu nigundue maisha yanahitaji utulivu acha nitulie tu hapa nilipo. Nikiona mizigo au shape naziangalia tu kwa mbali na kuomba nizidi kuepushwa na kikombe hicho.
Mkuu kila la heri, watu wengi tunapenda kujifunza kwa majuto na hii ni mbaya sana wakati kujizuia inawezekana.
 
chakata mbususu kama cr7, leo domo zege hata huyo mke wake alimpata kwa bahati tu, historia unaijua?
 
chakata mbususu kama cr7, leo domo zege hata huyo mke wake alimpata kwa bahati tu, historia unaijua?

Unaambiwa wameanza tokea zamani unaleta habari za domo zege.

Ok, na kuhusu kuwa makini kwenye picha na kushikana au ukaribu na walimbwende wengine nao ni domo zege?

Ita ukakavyoita lakini jamaa amechagua kujitenga na umalaya, kitu ambacho Kwa wanaume wengi ni mtihani bila kujali kipato ulichonacho.
 
Unaambiwa wameanza tokea zamani unaleta habari za domo zege.

Ok, na kuhusu kuwa makini kwenye picha na kushikana au ukaribu na walimbwende wengine nao ni domo zege?

Ita ukakavyoita lakini jamaa amechagua kujitenga na umalaya, kitu ambacho Kwa wanaume wengi ni mtihani bila kujali kipato ulichonacho.
Mkuu sitakiwi kuambiwa, leo alimpata mke wake kwa bahati tu, leo domo zege, hutaki kajinyonge, chakata mbususu za warembo kama cr7, leo domo zege huo ndo ukweli, mengine mbwembwe tu.
 
Mkuu sitakiwi kuambiwa, leo alimpata mke wake kwa bahati tu, leo domo zege, hutaki kajinyonge, chakata mbususu za warembo kama cr7, leo domo zege huo ndo ukweli, mengine mbwembwe tu.

Sasa hata hiyo ya kumpatia Kwa Bahati nayo si umeambiwa? Kuchakata mbususu sio hitaji kuu la Kila mwanaume, wewe kama ni kipaumbele chako zichakate kadri uwezavyo Mkuu.
 
Back
Top Bottom