Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
- Thread starter
- #181
huyo ndio anajiita sukari ya waremboVipi diamond.na vipesa vyake anao wangapi ivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyo ndio anajiita sukari ya waremboVipi diamond.na vipesa vyake anao wangapi ivi
Mbwa koko au mbwa yupi!Siamini...wanaume wote sisi ni mbwa
Yawezekana ndiyo maana wanafika mbali kimafanikioWachezaji wengi huko ulaya ndoa zao hutokana na urafiki wao tokea utotoni nzuri sana hii
Sio huku umependa kalio mwenzako kapenda usafiri miaka 5 lazima kiumane [emoji1]
Joanah wazungu wanaweza kuwa waaminifu kwa wenza wao ila waafrika hapana kwa Kweli😂Kupanga ni kuchagua,wanaume mnaweza kuwa loyal mkiamua...
Suarez pia nilisikia mke wake wameanza mahusiano tangu enzi na enzi
[emoji3531]Anajijua yeye ni pesa hivyo anakaa nao mbali na kwa umakini
Akikosea akishika vibaya tu kiuno ratiba za mahakamani zinaanza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anajijua yeye ni pesa hivyo anakaa nao mbali na kwa umakini
Akikosea akishika vibaya tu kiuno ratiba za mahakamani zinaanza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anajijua yeye ni pesa hivyo anakaa nao mbali na kwa umakini
Akikosea akishika vibaya tu kiuno ratiba za mahakamani zinaanza
Mbwa ni wewe.Siamini...wanaume wote sisi ni mbwa
Hii ni uongoNakosaje? Mimi ndio kijana wa kuigwa mtaani
Ukweli ni upi sasa? UnaniharibiaHii ni uongo
😝😝😝😝 ngoja niondoke kabla ya maangamizi.🤣labda sio sisi watanzania huku ngono ni tamu sana hasa lile jiji litakaloaangamizwa 2024
We jirani tokaaaaa! 😂Mimi na Messi hatutofautiani kabisa...😊
Mtanisamehe! Ndugu zangu.😝😝😝😝 ngoja niondoke kabla ya maangamizi.
Ila watu waaminifu wapo, kuna watu mapenzi na sex ni katika harakati za kutimiza “ukamilifu” tu na sio kwamba ndio kitu ambacho wanakiangalia sana katika maisha.
Nna wasiwasi kama we ni he,na kama ni he basi ni mvulana mdogo mwanafunzi uliyevurugwa na penzi la chuo,so akili yako inakutuma uko hivyo.Kuhusu Messi sidhani kama hyo story ya kusadikika uliyoileta kama ni kweli,ila mtu maarufu yoyote wa ulaya na mwenye pesa anawindwa kuanzia na washindani wake,maadui zake na hata malaya wanaotaka kuvuna kwa kutengeneza kesi za uongo za kubakwa au kujizalisha watoto.Jamaa kama mwanaume lazima anapenda papuchi ila amefanikiwa kumantain low profile.UNAAMBIWA Lionel MESSI hajawahi kumgusa mwanamke mwingine zaidi ya mkewe Antonela Roccuzzo aliyeanza naye mahusiano tangu utotoni huko Rosario, Argentina.
Mnamo 2017, Messi na Antonella walifunga ndoa iliyotajwa kama ‘ndoa ya karne’ na kujaaliwa watoto watatu Thiago, Mateo na Ciro.
Raccuzzo ambaye kwa sasa ni Mwanamitindo ana taaluma Udaktari wa meno na mawasiliano ya kijamii aliyosomea katika Chuo Kikuu cha Taifa cha Rosario kabla ya kujitolea kumsaidia Messi na kuzingatia familia yao.
Kupitia taaluma yake ya Uanamitindo amefanya kazi na chapa maarufu kama Stella McCartney, Adidas, na hivi majuzi, Alo.
Messi anampenda sana mwanamke huyo mrembo amejitolea sana kwake kiasi kwamba hata hawagusi wanawake wengine. Inaelezwa Messi alitaka kuwa mchezaji bora wa soka duniani ili aweze kumhudumia Roccuzzo na kumpa maisha mazuri.
Walipofunga ndoa, mashabiki wengi wa kike walijaribu kujaribu kumshawishi. Shabiki mmoja Suzy Cortez (almaarufu Miss BumBum) alijichora tatoo ya Messi mwilini mwake na kujaribu kumtumia picha zake akiwa katika jezi yake lakini Messi alim-block mara moja.
Messi amekuwa katika muonekano usio wa kawaida anapokuwa karibu na Wanawake wengine katika picha akiibana mikono yake au hata kuiweka mifukoni kuliko kugusana au hata kuweka begani kwa mwanamke mwingine.
Messi hufanya hivyo kuepuka vyombo vya habari kupindisha picha hizo kwa njia isiyo sahihi na kufanya ionekane kuwa kuna kitu kinaendelea wakati hakipo.
Mwanamuziki Shakira alipiga naye picha lakini alijiweka mbali na kuweka wazi kuwa mambo ni ya kiplato kabisa. Hamwekei mikono mwanamke mwingine kwa sababu kwake, ukaribu wa kimwili unabaki kwa mke wake tu.
Messi ni mmoja wa wanaume wachache ambao huweka mipaka kwa wanawake ambao sio mke wake. Anataka kuishi maisha ya faragha na Roccuzzo na watoto wao, na anaweka wazi mara kwa mara kwamba ana upendo wake ni kwa mpenzi wake huyo wa tangu ujanani.
NB: Uhusiano wa kiplato (platonic relationship) ni ule ambao watu wawili wana uhusiano wa karibu lakini hawana uhusiano wa kimapenzi. (Dhana hii inatokana na mawazo ya mwanafalsafa wa kale Plato). Kwenye hili wanaume wengi tutafeli.
Wanawake yapi maoni yenu kwa aina hii ya wanaume wenye tabia ya kufanana na Messi?
View attachment 2740981View attachment 2740982
Ebu ngoja kwanza jirani, kuna kijana amrnipa tuhuma nzito hapa jukwaani nataka tuwekane sawaWe jirani tokaaaaa! 😂
Anajijua yeye ni pesa hivyo anakaa nao mbali na kwa umakini
Akikosea akishika vibaya tu kiuno ratiba za mahakamani zinaanza