Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
- Thread starter
- #161
Hayo mambo ya mabishoo haswa na watoto wa 2007Ahahah hapana kile unavaa tu af unatoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo mambo ya mabishoo haswa na watoto wa 2007Ahahah hapana kile unavaa tu af unatoka
Mimi 2006 😂Hayo mambo ya mabishoo haswa na watoto wa 2007
Basi ndio maana, kwanza salimiaMimi 2006 😂
Una demu mmoja tu?Bado sijaoa mkuu
Sina hata huyo mmojaUna demu mmoja tu?
That's is fact.Anajijua yeye ni pesa hivyo anakaa nao mbali na kwa umakini
Akikosea akishika vibaya tu kiuno ratiba za mahakamani zinaanza
Sitak 😂Basi ndio maana, kwanza salimia
Marahaba hujamboooSitak 😂
hakika ni wachache mno tutakuwa hatujachokaAtafika mbinguni hajachoka kabisaa...
Kwahiyo wanaume wengi wa hivyo hawana nguvu?Nilitakakusemaukutehananguvu.
basi
oops watoto
tekinolijia
Hawa ni stress tupu ila tuishi nao maana ndio tuliojaliwa.Ni Jambo zuri ngono inaondoa Mafanikio mke mmoja anatosha Ila sio Hawa wakibongo
Mr dragon hii kamba Sasa🤣😂tupo wachache sana bro
nikipata mke nitatuliaMr dragon hii kamba Sasa🤣😂
Kumbe ukipata 🤔, ila sa hivi ni kuki chafua tu😂🤣nikipata mke nitatulia