Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Kuacha pombe sio rahis kiivo, utaaacha Kwa kipindi flan siku mzuka wake ukija utatembea Kwa miguu na mikono😁, Ile unafika tu unapiga kama glass kadhaaa ukimaliza ndo utulie uanze kunywa rasmiKitu kinawatesa lakini mnarudia tena. Kuna siri gani kwenye pombe?
Yaan natamani kujua uzuri wa pombe ni upi? Unakuta mtu anakunywa anakunja sura ila haachi anaendelea kunywa. Huwa mnajisikiaje yaan ndio nataka kujua.Kuacha pombe sio rahis kiivo, utaaacha Kwa kipindi flan siku mzuka wake ukija utatembea Kwa miguu na mikono😁, Ile unafika tu unapiga kama glass kadhaaa ukimaliza ndo utulie uanze kunywa rasmi
Namimi nasubiri jibu, japo niliwahi ambiwa na x wangu kuwa tusiokuwa walevi tuna vinyongo sana. Sijajua alichukua sample ya watu wangapi.Sisi tusiokuwa walevi tumewakosea nini? 😂
Izo ni pombe za bei rahisi ndo zinakunjisha sura mpaka mwili unakufa ganzi kama gongo na visunguraYaan natamani kujua uzuri wa pombe ni upi? Unakuta mtu anakunywa anakunja sura ila haachi anaendelea kunywa. Huwa mnajisikiaje yaan ndio nataka kujua.
...... Ingia uchezeYaan natamani kujua uzuri wa pombe ni upi? Unakuta mtu anakunywa anakunja sura ila haachi anaendelea kunywa. Huwa mnajisikiaje yaan ndio nataka kujua.
Uraibu, pombe ni mhadarati.Kitu kinawatesa lakini mnarudia tena. Kuna siri gani kwenye pombe?
Mwsnaume wsko aliyekutenda siyo kama sisi wsnaume husband materials1. Asiekunywa pombe (sio mlevi)
2. Mfupi (ukiolewa nae ndo utajua maana ya ndoa ndoano)
3. Asiekua na hofu ya Mungu
4. Bahili (kama haezi kukuhudumia kwenye uchumba sahau kutunzwa vizuri kwenye ndoa)
5. Mwenye hela (ambazo hujui chanzo chake)
6. Anaezingatia 50/50 (wale wa "mimi siwezi kuoa goalkeeper")
7. Mwanajeshi, Dereva, mwanasiasa, DJ, Daktari, Mganga wa kienyeji
8. Mwenye elimu kubwa sana mfano PhD holder [hawa akili zao hazipo sawa)
9.mcheza kamari
Usijesema hukuambiwa
Raha ya kunywa ni kulewaYaan natamani kujua uzuri wa pombe ni upi? Unakuta mtu anakunywa anakunja sura ila haachi anaendelea kunywa. Huwa mnajisikiaje yaan ndio nataka kujua.
Tulia bibieMwsnaume wsko aliyekutenda siyo kama sisi wsnaume husband materials
Halafu sisi tusio walevi tumekukosea nini binti?
Zumaridi bana.Tulia bibie
Inasikitisha sana watanzania kukariri maneno yasiyokuwa na maana.Mwenye hofu ya Mungu wakati huo awe mlevi,😆
Umeandika upupuInasikitisha sana watanzania kukariri maneno yasiyokuwa na maana.
Utasikia ''anaempenda Mungu'', au, ''mwenye hofu ya Mungu''
Haya ni maneno yasiyo na maana yeyote na ni ya kijinga tu.
Kuwa na hofu ya au kumpenda Mungu ndio nini?
Nani kasema kutenda mazuri, kuwajibika au kuwa mtu mwema ni hadi uwe na hofu na Mungu au umpende Mungu?
Mungu yupi kwanza?
Mbona kuna Mungu wengine wanaamrisha watu wachinjwe, na kuna Mungu mwingine anahalalisha hadi biashara ya utumwa.
Mnaposemaga hofu ya Mungu sijui kumpenda Mungu huwa mnamaanisha nini?
Hizi ni kauli za kijinga kabisa za watu wapumbavu.
Kuna wanawake wa kuolewa miaka hii au unatania?1. Asiekunywa pombe (sio mlevi)
2. Mfupi (ukiolewa nae ndo utajua maana ya ndoa ndoano)
3. Asiekua na hofu ya Mungu
4. Bahili (kama haezi kukuhudumia kwenye uchumba sahau kutunzwa vizuri kwenye ndoa)
5. Mwenye hela (ambazo hujui chanzo chake)
6. Anaezingatia 50/50 (wale wa "mimi siwezi kuoa goalkeeper")
7. Mwanajeshi, Dereva, mwanasiasa, DJ, Daktari, Mganga wa kienyeji
8. Mwenye elimu kubwa sana mfano PhD holder [hawa akili zao hazipo sawa)
9.mcheza kamari
Usijesema hukuambiwa
Mara ya kwanza kupiga fundo la nyagi sio sura tu nlikunja hadi miguuIzo ni pombe za bei rahisi ndo zinakunjisha sura mpaka mwili unakufa ganzi kama gongo na visungura
Mi first time nmepiga iyo Konyagi nusura nitapike nyongo. Sijawahi na sitegemei kurudiaMara ya kwanza kupiga fundo la nyagi sio sura tu nlikunja hadi miguu
Jibu hoja.Umeandika upupu
How Old are you please
Nilishaonja mbaya mnoo. Siwezi kunywa kitu badala ya kufurahia nianze kuteseka....... Ingia ucheze
No thank youJibu hoja.
Ni Mungu yupi huyo ambae unataka tuwe na hofu nae, wa kwenye bibilia au kwenye kuruani? Maana hawa ni Mungu wawili tofauti.