covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
Huwezi kumthibiti mtu maisha yake uliyekutana nae ukubwana akiamua afanye na asepe kabisa..Nawasanua wana musije kusema sijawaambia.
Nimewahi kuwa na uhusiano na mke wa mtu, najua ninachokiongea hapa.
Maisha ni mafupi sana kupeana unnecessary stress!
