Hakuna anayemhujumu Rais Samia. Wananchi kwa macho yao wanaona namna anavyoboronga ila hawana mbadala kwa sasa

Hakuna anayemhujumu Rais Samia. Wananchi kwa macho yao wanaona namna anavyoboronga ila hawana mbadala kwa sasa

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Bei ya vya vyakula ni mateso raia wa kawaida sasa ni mateso kuishi Tanzania kwa raia wa kipato cha chini. Maana kula imekuwa anasa.

Wale mabwenyeye CCM wasio na huruna na raia wanyonge wameshika hatamu. Maana umeme kero,.maji kero ajira kero na amayeumia ni mlalahoi.

Madeni ya taifa yanamuumiza raia wa kawaida kwa nguvu kubwa. Bunge linapitisha serikali ikoope tril 10. Lakini zinakopwa tril 15 bila maelezo. Sasa hapa kwa nini raia wa kawaida wasiumie?

Mama anaupiga mwingi kuumiza wanyonge!
 
Kwa vile hakuna WATU WASIOJULIKANA na hakuna habari za kutekana tekana ovyo.

Hakuna kugawa kugawa fedha ovyo barabarani.

Matatizo mengine ni ya kimfumo wa wa CCM kuwa mbovu.
Huyu mama atutawale tu kule yule mzee wa Chato. Nchi iliongozwa kishamba mpaka ikawa aibu kusema I'M A TANZANIAN.
 
Kwa vile hakuna WATU WASIOJULIKANA na hakuna habari za kutekana tekana ovyo.

Hakuna kugawa kugawa fedha ovyo barabarani.

Matatizo mengine ni ya kimfumo wa wa CCM kuwa mbovu.
Huyu mama atutawale tu kule yule mzee wa Chato. Nchi iliongozwa kishamba mpaka ikawa aibu kusema I'M A TANZANIAN.

Duuh inasikitisha Tanzania kuna vijana wa design hii duuh tunasafar ndefu sana japo hatuwez fanana msimamo hiki n kiashiria cha hatari acha tupate nafas ya kuondoka Tanzania
 
Kwa vile hakuna WATU WASIOJULIKANA na hakuna habari za kutekana tekana ovyo.

Hakuna kugawa kugawa fedha ovyo barabarani.

Matatizo mengine ni ya kimfumo wa wa CCM kuwa mbovu.
Huyu mama atutawale tu kule yule mzee wa Chato. Nchi iliongozwa kishamba mpaka ikawa aibu kusema I'M A TANZANIAN.
Bora kutekana kuliko hali ya sasa....watu wanateseka mno. Umeme na maji ni vitu basic sana kwa mtanzania wa sasa....ila hayo hamyaoni.
Wananchi wanalalamika, Mrs tourism naye anawalalamikia wananchi.

Big sign of incompetence in that high office.
 
Bora kutekana kuliko hali ya sasa....watu wanateseka mno. Umeme na maji ni vitu basic sana kwa mtanzania wa sasa....ila hayo hamyaoni.
Wananchi wanalalamika, Mrs tourism naye anawalalamikia wananchi.

Big sign of incompetence in that high office.
Na mimi nasema hivi, MUNGU FUNDI!! kuna lipi la ajabu ambalo huyo shujaa wenu angelifanya sasa?!!zaidi ya kutuachia mzigo wa madeni ambayo hayana maelezo!! ni mara ngapi umeme ulikuwa una katika lakini wahusika wanaogopa kusema kama kuna mgao?!! kipindi kile wananchi wanalalamika kuwa vyakula vimepanda bei sana, anasema tena wakulima pandisheni kabisa, ukitaka nenda kalime. ADUI WA NCHI HII NI MSITU NA WALA SIO NYANI. Bora hata sasa kwenye mapungufu mnaambiwa tu ndio uongozi kuliko lile jamaa kila kitu uongo tu.
 
Bei ya vya vyakula ni mateso raia wa kawaida sasa ni mateso kuishi Tanzania kwa raia wa kipato cha chini. Maana kula imekuwa anasa.

Wale mabwenyeye CCM wasio na huruna na raia wanyonge wameshika hatamu. Maana umeme kero,.maji kero ajira kero na amayeumia ni mlalahoi.

Madeni ya taifa yanamuumiza raia wa kawaida kwa nguvu kubwa. Bunge linapitisha serikali ikoope tril 10. Lakini zinakopwa tril 15 bila maelezo. Sasa hapa kwa nini raia wa kawaida wasiumie?

Mama anaupiga mwingi kuumiza wanyonge!
Mama Samia anahangaika sana kutafuta hela ambazo kwasababu ya wingi wa mianya ya wizi ,zote zinaishia mikononi mwa wajanja wachache
 
Bora kutekana kuliko hali ya sasa....watu wanateseka mno. Umeme na maji ni vitu basic sana kwa mtanzania wa sasa....ila hayo hamyaoni.
Wananchi wanalalamika, Mrs tourism naye anawalalamikia wananchi.

Big sign of incompetence in that high office.
Angetekwa mama yako leo unge comment hivi?
 
Bei ya vya vyakula ni mateso raia wa kawaida sasa ni mateso kuishi Tanzania kwa raia wa kipato cha chini. Maana kula imekuwa anasa.

Wale mabwenyeye CCM wasio na huruna na raia wanyonge wameshika hatamu. Maana umeme kero,.maji kero ajira kero na amayeumia ni mlalahoi.

Madeni ya taifa yanamuumiza raia wa kawaida kwa nguvu kubwa. Bunge linapitisha serikali ikoope tril 10. Lakini zinakopwa tril 15 bila maelezo. Sasa hapa kwa nini raia wa kawaida wasiumie?

Mama anaupiga mwingi kuumiza wanyonge!
Yule kijana aliyechora ile katuni ya mama akiboronga na jk akimkingia kifua alitakiwa apewe nishani badala ya kukamatwa na kufunguliwa mashtaka
 
Bei ya vya vyakula ni mateso raia wa kawaida sasa ni mateso kuishi Tanzania kwa raia wa kipato cha chini. Maana kula imekuwa anasa.

Wale mabwenyeye CCM wasio na huruna na raia wanyonge wameshika hatamu. Maana umeme kero,.maji kero ajira kero na amayeumia ni mlalahoi.

Madeni ya taifa yanamuumiza raia wa kawaida kwa nguvu kubwa. Bunge linapitisha serikali ikoope tril 10. Lakini zinakopwa tril 15 bila maelezo. Sasa hapa kwa nini raia wa kawaida wasiumie?

Mama anaupiga mwingi kuumiza wanyonge!
Anaborongaje? Ndio maana Wananchi wanawapuuza..

Yaani ukamwambie mkulima arudi Misri kuuza gunia 20,000 ili wewe wa Mjini na likitwmbi lako unenepeane kwa jasho lake? Rais na Wakulima walishakataa huo upuuzi..

Kama huna Pesa za kuishi Mjini Rudi kijijini huwezi endelea kulalamika Hadi 2030..

Ukame uliosababisha maji na umeme kupungua hajaleta Rais bali mlaumuni yule taahira Mwendazake aliyeamini Nchi haiwezi kukimbwa na ukame akaweka vyanzo mbadala vya umeme na mabwawa ya maji..

Mwisho umeme na Maji sio madarasa kwamba utajenga kwa miezi 4 vikakamilika,lazima msubirie mwaka zaidi ndio nafuu ije.
 
Serikali ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania Chini ya uongozi shupavu wa Rais mama Samia suluhu Hassani umekuwa Ni uongozi uliojikita katika kuwatumikia watanzania, imejikita katika kutatua matatizo ya watanzania,kutoa majibu kwa maswali, kuleta matumaini kwa waliokata Tamaa, kuonyesha njia kwa waliopoteza njia,kuleta mwanga kwenye maisha ya watanzania waliopoteza nuru na kuona Giza machoni mwao,kuleta Tabasamu katika maisha ya watanzania kwa walio na huzuni.

Hakuna kero ambayo haifanyiwi kazi na serikali ya Mama Samia,hakuna swali linalokosa majibu. Vijana Wana Imani na uongozi wa mama Samia kwani Ni mashahidi kuwa muda mfupi tu baada ya kuapishwa Rais Samia alitoa maelfu ya ajira katika secta mbalimbali zinazofikia elfu 42, Hali hii ilileta kicheko na furaha kwa vijana wengi wa kitanzania walioguswa na kupata ajira hizi

Ukienda katika wakulima unakuta wamejaa Tabasamu usoni Pao Hadi mioyoni mwao baada ya Rais Samia kutoa mbolea za Ruzuku ambazo zimewanufaisha wakulima wengi sana,.

Ukienda katika Afya,Elimu, n.k unakuta kazi kubwa imefanyika katika kugusa maisha ya mtanzania
 
Serikali ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania Chini ya uongozi shupavu wa Rais mama Samia suluhu Hassani umekuwa Ni uongozi uliojikita katika kuwatumikia watanzania, imejikita katika kutatua matatizo ya watanzania,kutoa majibu kwa maswali, kuleta matumaini kwa waliokata Tamaa, kuonyesha njia kwa waliopoteza njia,kuleta mwanga kwenye maisha ya watanzania waliopoteza nuru na kuona Giza machoni mwao,kuleta Tabasamu katika maisha ya watanzania kwa walio na huzuni.

Hakuna kero ambayo haifanyiwi kazi na serikali ya Mama Samia,hakuna swali linalokosa majibu. Vijana Wana Imani na uongozi wa mama Samia kwani Ni mashahidi kuwa muda mfupi tu baada ya kuapishwa Rais Samia alitoa maelfu ya ajira katika secta mbalimbali zinazofikia elfu 42, Hali hii ilileta kicheko na furaha kwa vijana wengi wa kitanzania walioguswa na kupata ajira hizi

Ukienda katika wakulima unakuta wamejaa Tabasamu usoni Pao Hadi mioyoni mwao baada ya Rais Samia kutoa mbolea za Ruzuku ambazo zimewanufaisha wakulima wengi sana,.

Ukienda katika Afya,Elimu, n.k unakuta kazi kubwa imefanyika katika kugusa maisha ya mtanzania
Ndio maana Hawa jamaa wanapuuzwa.
 
Bei ya vya vyakula ni mateso raia wa kawaida sasa ni mateso kuishi Tanzania kwa raia wa kipato cha chini. Maana kula imekuwa anasa.

Wale mabwenyeye CCM wasio na huruna na raia wanyonge wameshika hatamu. Maana umeme kero,.maji kero ajira kero na amayeumia ni mlalahoi.

Madeni ya taifa yanamuumiza raia wa kawaida kwa nguvu kubwa. Bunge linapitisha serikali ikoope tril 10. Lakini zinakopwa tril 15 bila maelezo. Sasa hapa kwa nini raia wa kawaida wasiumie?

Mama anaupiga mwingi kuumiza wanyonge!
Mnaumia kuliko kipindi gani? na ni hivi hivi tu kwa serikali ya ua chama chetu pendwa
 
Ukaona aibu kwa nani wewe shoga? Bora kutekana kuliko hali ya sasa....watu wanateseka mno. Umeme na maji ni vitu basic sana kwa mtanzania wa sasa....ila hayo hamyaoni.
Wananchi wanalalamika,Mrs tourism naye anawalalamikia wananchi.

Big sign of incompetence in that high office.
Bora kutekana?.
 
Back
Top Bottom