Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
- Thread starter
-
- #61
Duuh watoto aliozaa na huyo baba na alikana MAHAKAMANI????Yes, mpaka leo watoto wake ni watu wazima na hata wakati anakamatwa walikuwa tayari watu wazima na hawataki kuamini kama mama yao alifanya hayo
Kabisa yaaniNa unajihisi hatia kuzini
Kama ni yeye nadhani alihisi hatiaJe Magufuli alijisikiaje baada ya kuwaua akina Ben Saanane na Azory Gwanda?
Halafu sijui baada kufeli kumuua Tundu Lissu alijionaje?
Ksma ni yeye nadhani alihisi hatiaJe Magufuli alijisikiaje baada ya kuwaua akina Ben Saanane na Azory Gwanda?
Halafu sijui baada kufeli kumuua Tundu Lissu alijionaje?
Hivi inatokeaga kwa wanaume tu???Kabisa yaani
Hata wanawake. Wengine anaenda nyumbani anafika analia.Ksma ni yeye nadhani alihisi hatia
Hivi inatokeaga kwa wanaume tu???
Duuuh kenya hiyo????Au kesi walifanyia ulaya kwa wadachi??Huwa danadana nyingi wanakamatwa na kuachiwa hata huyo mjane wa cohen familia iliweka pingamizi asiwe na access na mali za marehemu kwanza lakini akapewa na akatumia vzuri kutuliza kesi.
Huyo gavana since day 1 niliona kuwa hakuna kesi pale.
Mm nilidhani kwa wanaume tu.Wewe mkuu ishawahi kukutokea??Hata wanawake. Wengine anaenda nyumbani anafika analia.
Uko sahihi.Sio kila kuua ni dahambi na sio kila ya aliyeua ana furaha Kuna mauji ukikosa kuua ndio unakosa furaha na amani ila ukiua ndio unakuwa na furaha na amani tele
Kuna staution tatu(3) ambazo naweza kuua mtu na baada ya kuua nikafurahi na amani tele
1) Ukitaka kuondosha uanaume wangu/Manhood (kunirawiti) kwa njia yoyote either chuki/unidharirishe nk nikifanikiwa kupata kipande Cha ubapa/Zuna/Panga nakupelekea makali.
2) Ukitaka kuniua, ukiwa kwenye staution ya kuniua either mwizi umekuja unidhuru uniibie, chuki, migogoro nikikamata kishoka nakupelekea kweli sitanii
3) Ukitaka kuua wakaribi yangu (wazazi, wadogozangu, mke) nikikikamata kipande cha bisibisi napeleka shingoni
Alizaa na mmewe wa kwanza. Yah alikana kila kituDuuh watoto aliozaa na huyo baba na alikana MAHAKAMANI????
🤣🤣🤣🤣🤜Ufumaniwe na mke wa mtu ndo utajua kama .wauaji huwa wanakuwa na furaha ..
Kama kosa lipi mkuuUko sahihi.
Kuna mtu usipomuua kwa aina ya kosa alilofanya, unakosa raha kabsa milele yote.
Hadi Kuna dini zinaamin baadhi ya dhambi hazisafishiki zaidi ya kumwaga damu ya muhusika kama sadaka.
Kuna makosa namna pekee ya kumsamehe mhusika ni kumuua!
Ndio mara nyingi tuMm nilidhani kwa wanaume tu.Wewe mkuu ishawahi kukutokea??
HakikaMnakuwaga wakakamavu hivi hivi ila baada ya kutekeleza tukio kila siku kanisani kuitafuta amani ambayo kimsingi hutaipata mpaka unakufa.
Kuua binadamu ni complex issue
Unacheeka🤣🤣🤣🤣🤜
TrueHakika
Hivi inasababishwa na nini?????Au ile hisia ya kufanya uzinziNdio mara nyingi tu
Kenya, huyo bilionea alimuoa mkikuyu yeye alikuwa mkubwa sana kuliko huyo mwanamke na biashara zake zilikuwa kenya na alikuwa na utajiri wa dola milion 700. Ila alikuwa ashajua kuwa mwanamama anataka kumuua na utajiri wake mkubwa alimwachia dadake na watoto wake wawiliDuuuh kenya hiyo????Au kesi walifanyia ulaya kwa wadachi??
Duuh na mali anatumia???Wanawake wana roho ngumuAlizaa na mmewe wa kwanza. Yah alikana kila kitu
Kwahiyo mpaka leo dadake na wale watoto wawili ndio wamiliki????Hapo kidogo haki imetendekaKenya, huyo bilionea alimuoa mkikuyu yeye alikuwa mkubwa sana kuliko huyo mwanamke na biashara zake zilikuwa kenya na alikuwa na utajiri wa dola milion 700. Ila alikuwa ashajua kuwa mwanamama anataka kumuua na utajiri wake mkubwa alimwachia dadake na watoto wake wawili
Nafsi inajihesabia HatiaHivi inasababishwa na nini?????Au ile hisia ya kufanya uzinzi