Hakuna kifo kiliniumiza kama cha Magufuli

Namaanisha hata Mungu anashuhudia!

Niwe wazi, hata kifo cha baba yangu sikuumia moyo kwa kiwango kama ilivyokuwa kwa Hayati Magufuli!

R.I.P JPM.

R.I.P BABA.
Kuna mawe pale ikulu dodoma unaweza kua unalala juu ya mawe kumuenzi
 
Jpm usimfananishe na ccm
 
Namaanisha hata Mungu anashuhudia!

Niwe wazi, hata kifo cha baba yangu sikuumia moyo kwa kiwango kama ilivyokuwa kwa Hayati Magufuli!

R.I.P JPM.

R.I.P BABA.
Kwa kuwa ulikua kimada wake kuumia lazma
 
Na leo kalale chooni kabisa tena choo
kile cha shimo unamokunyaga maji yanakurukia matakonni

Pumbovo mkumbwa


Baada ya uliyoandika haifanyi nibadili mtazamo wenu kuhusu huyo jamaa yenu
 
Mlaniwe mnaowategemea binadamu wezenu kama kinga
 
Muuaji , Jambazi, katili, analiliwa kweli Taifa la wasio-ona.
 
We syo bashite kweli[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Wewe unaongea uongo kabisa kupoteza uhai wababa Yako sio rahisi wewe kwanza kuamini kuwa hayupo kifunguliwa jeneza ukamwona acha tu , pumzi unakosa , malaika wambinguni walinipa moyo kabisa sikuwa napumua japo hakuwa mzuri Wala kitabia ila kweli iliuma baba ambaye alikubembeleza pale umeshindwa jambo 🥲😪😪😪🥲🥲🥲 hujui tu hadi nilitoka njee ya kanisa nilikuwa huko nyuma hadi Saa yakuweka udongo acha tu usikumbushe watu machungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…