Hakuna kitu kinaleta Stress kama kuota Mvi au upara halafu bado hujajipata

Acha Ujinga kwa kua huna upara ww. Nenda China uone vijana wadogo walivyo na upara.U para sio uzee.
 
Mkuu unanigusa,kipara kimeanza kuniota mwishoni mwa mwaka jana na umri (nina 30 to 40 yrs of old) umesonga,hata gari sina nimeishia kuwa na familia ya wake wawili na mji mmoja,kibaruani kazi tembo mshahara sungura,naishia kujishangaa tu.
Duh! Pole sana yaani
 
Formula ya Bongo kujipata ni miaka 50 msidanganyike, kinyume cha hapo hayo ni majizi tu.

Vijana msikate tamaa, hakuna tajiri yoyote Africa ambaye ni self made millionaire ambaye yuko under 50, hakuna.
Asante sana. Huyu jamaa anataka kukatisha vijana tamaa na hajui kuwa wanakumbana na changamoto nyingi sana. Kwenye maisha hakuna kitu kibaya kama kukata tamaa.
 
Unekaa zako na furaha kama zote ghafla Ubongo unakukumbusha umri wako, ""Bro!!! Una 35 wewe huna Kiwanja, huna Mke wala Mtoto wa kusingiziwa""
Unaweza uwe na kiwanja na usijenge.

Maisha ni vile mtu ameridhika yeye na nafsi yake; siyo kuwaridhisha wengine.

Kamwe huwezi kumridhisha mtu mwingine zaidi ya wewe mwenyewe.
 
Hiyo betting ni mbaya sana. Fikiria kijana anapiga mzigo na kutafuta maisha mpaka miaka 50 alafu bilabila. Ndio atake kuanzia familia. Binti wa nani atakuwa tayari kumkubali?
Mimi kila siku huwa nasema wewe ni kilaza. Unajua mtu aliyeanzisha KFC? Unajua alikuwa na miaka mingapi wakati anaanza? Wacha kukatisha vijana wa Tanzania tamaa. Kufanikiwa hakuna umri, kuna watu wanapiga mpaka miaka 80 ndiyo kinaeleweka.
 
mie nilanza kuota mvi nyingi nikiwa mwaka wa3 chuo na hazikua zinaonekana vizuri nilipomaliza na hivyo nilionekana bado mdogo nikashindwa kuaminiwa na wananchi nikapigwa chini...
Awamu ilofata mvi zilikua zimekomaa vizur kuanzia kidevuni na kushoto na kulia mwa kichwa...

Mvi zimenisaidia sana mpaka apa nilipo kwakweli ...

saivi nazipenda nahisi zinanipendeza pia nikijichek halafu,

ila kaupara kanawasha hatar 🐒
 
Safi sana umeelewa nilikua namaanisha nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…